Sibuka FM

Ruwasa

16 December 2025, 8:15 pm

Wafanyabiashara  Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati

Wafanyabiashara mkoani  Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara  ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…

26 November 2025, 10:51 am

Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel

“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…

30 September 2025, 1:01 pm

Walimu FC mabingwa Ngorongoro

Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…

September 3, 2025, 2:47 pm

Ndege nyuki kuleta mapinduzi sekta ya kilimo nchini

Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mussa Kinkaya Mkurugenzi Mtendaji wa…

August 23, 2025, 1:39 pm

Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64

Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…

22 August 2025, 5:45 pm

Watoto waathirika wakuu wa ukatili Zanzibar

Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Zanzibar imesema jumla ya matukio 107 ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia yameripotiwa kwa mwezi wa Julai 2025 ambapo waathirika walikuwa 107 huku waathirika wengi wakiwa watoto sawa na asilimia…

23 July 2025, 6:38 pm

Ubalozi wa amani PPA Kagera wanolewa

Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…

20 June 2025, 8:07 pm

NGOs zatakiwa kufanya kazi kwa kufuata utaratibu

Uwepo wenu ni chachu kubwa ya maendeleo tunazo NGO’s zisizopungua 48 zingine hazitambuliwi. Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mashirika yasiyo ya kiserikali Wilaya ya Kilombero wamekutana leo katika kikao cha Jukwaa hilo kujadili tathmini ya mchango wao kwa Serikali na jamii,…

27 May 2025, 4:03 pm

Maonesho ya biashara na viwanda yakuza uchumi Kilolo

Maonesho ya Biashara na Viwanda yaliyofanyika Wilaya ya Kilolo yameonesha kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wa sekta hizo ili kukuza soko. Na Joyce Buganda Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Mhe. Rebecca Nsemwa Sanga amewapongeza chemba ya biashara viwanda na Kilimo TCCIA…

4 April 2025, 8:21 pm

I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi

Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…

30 March 2025, 8:46 pm

Afariki kwa kupigwa kichwani Hanyengwa mchana

Na Mary Julius. Jeshi la Mkoa wa kusini unguja limesema mtu mmoja, amefariki dunia kwa kupigwa na kitu butu kichwani huko Hanyengwa, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.Akizungumza na zenji fm Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Unguja…

27 March 2025, 1:58 pm

Mtoto wa miaka 14 ambaka mtoto wa mwaka mmoja na nusu

Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kubaka watoto katika matukio mawili tofauti.Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu, Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamanda wa Polisi Mkoa…

20 March 2025, 1:23 pm

DC Gidarya: Wananchi wa Ipililo tunzeni huu mradi wa maji

Baada ya Serikali kujenga Mradi na kuukadhi kwenu, Jukumu la kuulinda na Kuutunza ni lakwenu wananchi wenyewe , hivyo niwaomba wananchi wa Ipililo lindeni miundombinu ya Maji katika Mradi huu, asitokee mwananchi mmoja akaja kukata mabomba halafu nyie mnamuangalia tu.…

17 January 2025, 9:23 am

Miundombinu mibovu Mpanda stendi kero kwa madereva

“Changamoto wanayoipata madereva ni uwepo wa mashimo ndani ya stend hiyo hali inayopelekea uharibifu wa magari yao“ Na Samwel Mbugi-Katavi Madereva wanaofanya shughuli zao katika stand ya zamani manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi  wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya stend…

16 January 2025, 1:09 pm

DC Magembe atangaza vita dhidi ya ‘chagulaga’

Wananchi wamesisitizwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya usalama ili kutokomeza utamaduni huo. Na Zaituni Juma Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Cornel Magembe amekemea vikali utamaduni wa baadhi ya wanaume kuwalazimisha wasichana wadogo kuingia nao kwenye mahusiano ya kimapenzi maarufu kama…