Pangani FM

UZIKWASA

18 June 2026, 09:50

Dawati la jinsia VETA Kigoma tumaini mapambano dhidi ya ukatili

Chuo cha Veta Kigoma kimeendelea kuweka mikakati ya kukabiliana na ukatili kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi kupitia dawati la jinsia lililoanzishwa chuoni hapo Na Timotheo Leonard Ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa changamoto kubwa katika jamii, hali inayochochea juhudi za…

17 June 2026, 6:45 pm

Apoteza maisha baada ya kuzama kwenye dimbwi

Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…

3 June 2026, 14:11

Kigoma yazindua kampeni ya malezi chanya kwa watoto

Malezi bora ya watoto ni msingi muhimu wa kujenga familia imara na taifa lenye maendeleo endelevu na kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ukatili dhidi ya watoto, ikiwemo ulawiti, unyanyasaji na ukatili wa kijinsia, kampeni ya malezi, makuzi na matunzo…

28 May 2026, 11:38

Ukatili wa kiuchumi kikwazo wanawake kufikia ndoto zao Kigoma

Ukatili wa kiuchumi ni aina ya ukandamizaji ambapo mtu mmoja humzuia mwingine kupata, kutumia au kumiliki rasilimali za fedha na mali au kutoshirikishwa katika maamzi ya kiuchumi kwa familia. Na mwandishi wetu Mara nyingi wanawake na wasichana hukumbwa na ukatili…

15 May 2026, 14:13

RAS Kigoma ataka wazazi kufuatilia mienendo ya watoto

Wazazi wana jukumu kubwa la kuhakikisha watoto wao wanalelewa katika mazingira bora yenye maadili mema na usalama na njia muhimu ya kutimiza jukumu hilo ni kufuatilia mienendo ya watoto wao kwani kujua mienendo ya watoto huwasaidia wazazi kuhakikisha usalama wa…

13 May 2026, 12:50

Baraza la watoto Buhigwe lajadili mapambano dhidi ya ukatili

Baraza la watoto lina mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama, yenye upendo na heshima kwa haki zao Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na World Vision, imefanya…

1 May 2026, 1:17 am

Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo

Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za  maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…

25 April 2026, 16:09

Ushiriki wa familia katika malezi, kujifunza lugha kwa mtoto

Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…

15 April 2026, 14:47

Kibondo yaadhimisha siku ya mtoto anayeishi mtaani

Umuhimu wa kimataifa wa watoto wanaoishi mtaani ni suala kubwa la kijamii na haki za binadamu duniani na hii inahusisha juhudi za kulinda, kusaidia, na kuhakikisha watoto hawa wanapata haki zao za msingi Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya…