Pangani FM

UZIKWASA

1 May 2026, 1:17 am

Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo

Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za  maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…

25 April 2026, 16:09

Ushiriki wa familia katika malezi, kujifunza lugha kwa mtoto

Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…

15 April 2026, 14:47

Kibondo yaadhimisha siku ya mtoto anayeishi mtaani

Umuhimu wa kimataifa wa watoto wanaoishi mtaani ni suala kubwa la kijamii na haki za binadamu duniani na hii inahusisha juhudi za kulinda, kusaidia, na kuhakikisha watoto hawa wanapata haki zao za msingi Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya…

3 April 2026, 15:52

Viongozi watakiwa kudhibiti vitendo vya ukatili Kigoma

Wenyeviti wa mitaa pamoja na mabalozi wametakiwa kuongeza juhudi katika kudhibiti vitendo vya ukatili vinavyoendelea kujitokeza katika jamii. Hayo yameelezwa kufuatia ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia, majumbani na dhidi ya watoto katika baadhi ya maeneo. Na Mwandishi wetu…

31 March 2026, 6:56 pm

Afukiwa na kifusi akienda kutoa msaada mgodini

tukio hilo lilotekea tarehe 27/3/2026 majira ya saa kumi na moja jioni Na Adelinus Banenwa na Mussa Kagole Mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Nyamilama kata ya Kabasa alietambulika kwa jina la Mfungo Budigila 62 amefariki dunia kwa kufukiwa na…

24 March 2026, 7:56 pm

Akutwa amefariki chanzo chatajwa ni tembo

Tembo akiwa katika mazingira yake (picha kwa msaada wa mitandao) Baada ya jeshi la polisi kufika walifanya uchunguzi na kukabidhi mwili kwa ndugu kwa ajili ya kuendelea na taratibu za mazishi . Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina…

23 March 2026, 16:31

Tehama yaimarishwa Zanzibar, mapya yanakuja

Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Mudrik Ramadhani Soraga, amesema serikali imefanikiwa kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa wananchi zaidi ya 7,500 kupitia vituo vya TEHAMA jamii Unguja na Pemba. Na Mary Julius. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari…

18 March 2026, 3:15 pm

Serikali ya Burundi yapongezwa kulinda, kudumisha amani DRC

Wanyamulenge imempongeza Rais Evariste Ndayishimiye kwa juhudi zake za kusimamia amani nchini DRC,kusaidia na kuwajali watu wa Kongo Na. Bukuru Daniel Jamii ya Wanyamulenge kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokarsia ya Kongo wamempongeza Rais Evarsite Ndayishimiye katika jukumu la serikali yake…

18 March 2026, 14:48

TAKUKURU Kigoma yatoa Iftar kujumuika na jamii

Vitendo vya ukatili ambavyo vimeendelea kutokea katika jamii viongozi wa dini wamehimizwa kuendelea kutoa elimu ili kusaidia kudhibiti vitendo hivyo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua, ametoa wito kwa viongozi na waumini wa dini ya…

13 March 2026, 6:05 pm

Watumishi sita wa afya wafa maji Kigoma

watu sita wamethibitika kufariki dunia na miili yao imepatikana, huku watu wengine watatu waliokuwa kwenye boti hiyo wakiendelea kutafutwa na vikosi vya uokoaji kwa kushirikiana na wananchi Na. Abdunuru Shafii Watumishi sita wa Idara ya Afya kutoka Halmashauri ya Wilaya…