Pangani FM
Pangani FM
18 June 2026, 09:50
Chuo cha Veta Kigoma kimeendelea kuweka mikakati ya kukabiliana na ukatili kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi kupitia dawati la jinsia lililoanzishwa chuoni hapo Na Timotheo Leonard Ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa changamoto kubwa katika jamii, hali inayochochea juhudi za…
17 June 2026, 6:45 pm
Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
3 June 2026, 14:11
Malezi bora ya watoto ni msingi muhimu wa kujenga familia imara na taifa lenye maendeleo endelevu na kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ukatili dhidi ya watoto, ikiwemo ulawiti, unyanyasaji na ukatili wa kijinsia, kampeni ya malezi, makuzi na matunzo…
1 June 2026, 5:35 pm
Tukio la kufukiwa wachimbaji hao limetokea May 28, 2026 majira ya saa Alasiri ambapo Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya ya Bukombe limeendelea na zoezi la uokoaji kwa kushirikiana na wachimbaji wadogo. Na: Edga Rwenduru Familia za wachimbaji watatu wa…
28 May 2026, 11:38
Ukatili wa kiuchumi ni aina ya ukandamizaji ambapo mtu mmoja humzuia mwingine kupata, kutumia au kumiliki rasilimali za fedha na mali au kutoshirikishwa katika maamzi ya kiuchumi kwa familia. Na mwandishi wetu Mara nyingi wanawake na wasichana hukumbwa na ukatili…
15 May 2026, 14:13
Wazazi wana jukumu kubwa la kuhakikisha watoto wao wanalelewa katika mazingira bora yenye maadili mema na usalama na njia muhimu ya kutimiza jukumu hilo ni kufuatilia mienendo ya watoto wao kwani kujua mienendo ya watoto huwasaidia wazazi kuhakikisha usalama wa…
13 May 2026, 12:50
Baraza la watoto lina mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama, yenye upendo na heshima kwa haki zao Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na World Vision, imefanya…
1 May 2026, 1:17 am
Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…
25 April 2026, 16:09
Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…
15 April 2026, 14:47
Umuhimu wa kimataifa wa watoto wanaoishi mtaani ni suala kubwa la kijamii na haki za binadamu duniani na hii inahusisha juhudi za kulinda, kusaidia, na kuhakikisha watoto hawa wanapata haki zao za msingi Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya…