Pangani FM

UZIKWASA

6 August 2026, 09:45

Suluhu za kifamilia na athari kwa manusura wa ukatili

Ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote kinachosababisha madhara ya kimwili, kingono, kisaikolojia au kiuchumi kwa mtu kutokana na jinsia yake na suluhu za kifamilia ni jitihada zinazofanywa na wanafamilia, wazee wa ukoo au viongozi wa jamii kutatua migogoro bila kutumia…

8 July 2026, 11:42

Wanaume watakiwa kuripoti matukio ya ukatili Kigoma

Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…

2 July 2026, 1:13 pm

Kasulu Mji yatoa shilingi milioni 265 kwa vikundi 24

Prof. Ndalichako Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini awasisitiza wanufaika wa mikopo ya Asilimia 10 kurejesha kwa wakati mikopohiyo ili iwanufaishe na waengine. Na; Emily Adam Zaidi ya Milioni 261 zimatolewa kwa kwa vikundi 24 vya wanawake, vijana na Walemavu…

26 June 2026, 14:20

Wanaume watakiwa kuvunja ukimya dhidi ya ukatili Kigoma

Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto ingawa mara nyingi jamii huzungumzia ukatili dhidi ya wanawake, wanaume pia hukumbana na vitendo vya ukatili katika familia na sehemu nyingine za maisha Na Timoth Leonard Wakati dunia ikiendelea kuhamasisha…

25 June 2026, 14:53

Kilosa kudhibiti uvunaji holela

Uvunaji wa mazao ya misitu unalenga kuhakikisha rasilimali za misitu zinatumika kwa manufaa ya wananchi na taifa bila kuharibu mazingira na ukichangia kuongeza mapato ya serikali na kuboresha maendeleo ya kijamii. Na Asha Madohola Watendaji wa vijiji na wenyeviti wa…

25 June 2026, 12:58

TAWLA yawajengea uwezo wanahabari kuripoti habari za ukatili Kigoma

Ukatili wa kijinsia ni moja ya changamoto kubwa zinazoendelea kuathiri jamii nyingi nchini na vitendo hivi vinajumuisha ukatili wa kimwili, kingono, kisaikolojia na kiuchumi, ambavyo huathiri zaidi wanawake, watoto na makundi mengine yaliyo katika mazingira hatarishi. Na Tryphone Odace Waandishi…

18 June 2026, 09:50

Dawati la jinsia VETA Kigoma tumaini mapambano dhidi ya ukatili

Chuo cha Veta Kigoma kimeendelea kuweka mikakati ya kukabiliana na ukatili kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi kupitia dawati la jinsia lililoanzishwa chuoni hapo Na Timotheo Leonard Ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa changamoto kubwa katika jamii, hali inayochochea juhudi za…

17 June 2026, 6:45 pm

Apoteza maisha baada ya kuzama kwenye dimbwi

Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…