Pangani FM
Pangani FM
8 July 2026, 11:42
Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…
2 July 2026, 1:13 pm
Prof. Ndalichako Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini awasisitiza wanufaika wa mikopo ya Asilimia 10 kurejesha kwa wakati mikopohiyo ili iwanufaishe na waengine. Na; Emily Adam Zaidi ya Milioni 261 zimatolewa kwa kwa vikundi 24 vya wanawake, vijana na Walemavu…
29 June 2026, 08:21
Elimu kuhusu ukatili ni sehemu muhimu ya kulinda usalama, afya, na ustawi wa watoto na inapaswa kutolewa kwa lugha na mbinu zinazolingana na umri wa mtoto kwa mazingira yanayowafanya wajisikie salama kuuliza maswali na kutoa taarifa wanapohitaji msaada Na Mwandishi…
26 June 2026, 14:20
Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto ingawa mara nyingi jamii huzungumzia ukatili dhidi ya wanawake, wanaume pia hukumbana na vitendo vya ukatili katika familia na sehemu nyingine za maisha Na Timoth Leonard Wakati dunia ikiendelea kuhamasisha…
26 June 2026, 13:02
Ndoa ni msingi muhimu wa familia na jamii kwa ujumla na familia yenye amani hujenga mazingira mazuri ya malezi na maendeleo ya watoto. Hata hivyo, migogoro katika ndoa imekuwa ikiongezeka kutokana na sababu mbalimbali. Sababu za kiuchumi, mawasiliano duni, maadili…
25 June 2026, 14:53
Uvunaji wa mazao ya misitu unalenga kuhakikisha rasilimali za misitu zinatumika kwa manufaa ya wananchi na taifa bila kuharibu mazingira na ukichangia kuongeza mapato ya serikali na kuboresha maendeleo ya kijamii. Na Asha Madohola Watendaji wa vijiji na wenyeviti wa…
25 June 2026, 12:58
Ukatili wa kijinsia ni moja ya changamoto kubwa zinazoendelea kuathiri jamii nyingi nchini na vitendo hivi vinajumuisha ukatili wa kimwili, kingono, kisaikolojia na kiuchumi, ambavyo huathiri zaidi wanawake, watoto na makundi mengine yaliyo katika mazingira hatarishi. Na Tryphone Odace Waandishi…
18 June 2026, 09:50
Chuo cha Veta Kigoma kimeendelea kuweka mikakati ya kukabiliana na ukatili kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi kupitia dawati la jinsia lililoanzishwa chuoni hapo Na Timotheo Leonard Ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa changamoto kubwa katika jamii, hali inayochochea juhudi za…
17 June 2026, 6:45 pm
Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
3 June 2026, 14:11
Malezi bora ya watoto ni msingi muhimu wa kujenga familia imara na taifa lenye maendeleo endelevu na kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ukatili dhidi ya watoto, ikiwemo ulawiti, unyanyasaji na ukatili wa kijinsia, kampeni ya malezi, makuzi na matunzo…