Pangani FM
Pangani FM
28 May 2026, 11:38
Ukatili wa kiuchumi ni aina ya ukandamizaji ambapo mtu mmoja humzuia mwingine kupata, kutumia au kumiliki rasilimali za fedha na mali au kutoshirikishwa katika maamzi ya kiuchumi kwa familia. Na mwandishi wetu Mara nyingi wanawake na wasichana hukumbwa na ukatili…
15 May 2026, 14:13
Wazazi wana jukumu kubwa la kuhakikisha watoto wao wanalelewa katika mazingira bora yenye maadili mema na usalama na njia muhimu ya kutimiza jukumu hilo ni kufuatilia mienendo ya watoto wao kwani kujua mienendo ya watoto huwasaidia wazazi kuhakikisha usalama wa…
13 May 2026, 12:50
Baraza la watoto lina mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama, yenye upendo na heshima kwa haki zao Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na World Vision, imefanya…
1 May 2026, 1:17 am
Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…
25 April 2026, 16:09
Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…
15 April 2026, 14:47
Umuhimu wa kimataifa wa watoto wanaoishi mtaani ni suala kubwa la kijamii na haki za binadamu duniani na hii inahusisha juhudi za kulinda, kusaidia, na kuhakikisha watoto hawa wanapata haki zao za msingi Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya…
3 April 2026, 15:52
Wenyeviti wa mitaa pamoja na mabalozi wametakiwa kuongeza juhudi katika kudhibiti vitendo vya ukatili vinavyoendelea kujitokeza katika jamii. Hayo yameelezwa kufuatia ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia, majumbani na dhidi ya watoto katika baadhi ya maeneo. Na Mwandishi wetu…
31 March 2026, 6:56 pm
tukio hilo lilotekea tarehe 27/3/2026 majira ya saa kumi na moja jioni Na Adelinus Banenwa na Mussa Kagole Mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Nyamilama kata ya Kabasa alietambulika kwa jina la Mfungo Budigila 62 amefariki dunia kwa kufukiwa na…
24 March 2026, 7:56 pm
Tembo akiwa katika mazingira yake (picha kwa msaada wa mitandao) Baada ya jeshi la polisi kufika walifanya uchunguzi na kukabidhi mwili kwa ndugu kwa ajili ya kuendelea na taratibu za mazishi . Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina…
23 March 2026, 16:31
Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Mudrik Ramadhani Soraga, amesema serikali imefanikiwa kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa wananchi zaidi ya 7,500 kupitia vituo vya TEHAMA jamii Unguja na Pemba. Na Mary Julius. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari…