Nuru FM

Habari za Iringa

23 March 2024, 10:56 am

Tembo wavamia mashamba Ruaha Mbuyuni

Uwepo wa tembo katika kijiji cha Mtandika umetajwa kuwa kero kwani wamewasababishia hasara ya kuharibu mazao yao. Na Adelphina Kutika. WAKAZI wa Kijiji cha Mtandika kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wameiomba serikali kuwaondoa Tembo wanaovamia mashamba…

18 March 2024, 12:58 pm

Iruwasa kutoa elimu maadhimisho ya wiki ya maji Iringa

Iringa ikiadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira IRUWASA imepanga kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote. Na Hafidh Ally Ikiwa tupo katika wiki ya maji, Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira IRUWASA Mkoa wa…

18 March 2024, 11:23 am

Maazimio 15 yawekwa kati ya wanahabari, polisi Iringa

Maazimio 15 yamefikiwa kuelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa ili kuongeza ushirikiano kati ya Polisi na Wanahabari. Na Mwandishi wetu. Jeshi la Polisi na waandishi wa habari mkoani Iringa wameweka maazimio 15 yatakayowaongoza kufanya kazi na kujenga uwezo wa…

16 March 2024, 10:58 am

Mkurugenzi Mafinga Mji akabidhiwa ofisi

Watumishi Mafinga Mji wametakiwa kushirikina na Mkurugenzi mpya wa Halmashauri hiyo hasa katika ukusanyaji wa mapato. Na Hafidh Ally Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu, Ayoub Kambi amemkabidhi rasmi Ofisi Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovela Hafla…

13 March 2024, 9:32 pm

Madereva daladala Iringa wagoma tena

Serikali inatakiwa kufanyia kazi malalamiko ya muda mrefu ya Madereva wa Daladala ambayo yamekuwa kero kwa watumiaji. Na Azory Orema Wananchi wanaotumia usafiri wa daladala Manispaa ya Iringa wamelalamikia ugumu wa usafiri wao baada ya daladala zinazopakia abiria kugoma kufanya…

12 March 2024, 5:34 pm

Andikeni habari zinazogusa jamii

Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuachana na uandishi wa kawaida na badala yake wajikite kuandika habari za wananchi ili kuwaongezea heshima katika jamii. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Iringa Press Club (IPC) Frank Leonard katika…

12 March 2024, 11:22 am

RC mpya Iringa ahimiza weledi

Watumishi wazembe katika ofisi za umma waonywa ili kuleta maendeleo mkoani Iringa. Na Godfrey Mengele Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka watumishi waliopo katika idara mbalimbali kufanya kazi kwa weledi na kutoa huduma kwa jamii na kuacha kufanya…

12 March 2024, 11:01 am

TAKUKURU kufuatilia matumizi ya milion 10 Iringa

Matumizi ya zaidi ya Milioni 60 katika ujenzi wa stendi ya mabasi ya Igumbilo yamemuibua Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa kujua uhalali wa Matumizi. Na Godfrey Mengele Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada amelazimika kuiagiza mamlaka…

8 March 2024, 4:40 pm

Wanawake Iruwasa watoa msaada kwa wagonjwa

Mashuka yaliyokabidhiwa Hospitalini hapo yatawasaidia wagonjwa wanaolazwa. Na Mwandishi wetu Ikiwa Leo ni Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Idara ya Maji Safi na Mazingira Iringa (IRUWASA) wametembelea Hospitali ya Rufaa Ya Mkoa wa Iringa na kutoa mashuka 20 kwa…

7 March 2024, 4:40 pm

Madereva Iringa washangaa kivuko kuondolewa

Kuondolewa kwa kivuko Cha katika stendi ya zamani Iringa kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la foleni na magari yao kuharibika. Na Godfrey Mengele Madereva wanaotumia kituo cha stendi kuu ya zamani, kwa sasa ikifahamika kama stendi ya daladala wameshangazwa na…