Habari za Iringa
16 April 2024, 10:14 am
Wananchi wa Wangama Iringa wanakabiliwa na adha ya usafiri
Licha ya serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, dado wananchi wa Kijiji cha Wangama wanakabiliwa na changamoto ya usafiri. Na Fabiola Bosco Wananchi wa kijiji cha Wangama kata ya Luhota halmashauri ya wilaya ya Iringa wanakabiliwa na…
16 April 2024, 10:09 am
Madaktari bingwa kutoka JKCI kuweka kambi Iringa
Serikali imefanya jitihada za kukabiliana na Magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwaleta wataalamu kutoka Taasisi ya JKCI Mkoani Iringa kuweka Kambi ya kuwahudumia wakazi wa Mkoa huu. Na Adelphina Kutika MAMIA ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kwenye…
13 April 2024, 11:54 am
Mahakama ya Wilaya Mufindi yataifisha V8 iliyobeba wahamiaji haramu
Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Mufindi ya mkoani Iringa, imetaifisha kuwa mali ya serikali, gari aina ya Toyota LandCruiser V8, lililokamatwa likiwa limebeba wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia April 6 2024 katika eneo la msitu wa Luganga…
8 April 2024, 9:53 am
Kihenzile afuturisha, afanya dua ya kuliombea taifa
Na Mwandishi wetu. Mbunge wa Jimbo la Mufindi na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameungana na Viongozi wa Dini , Serikali pamoja na Wananchi kupata Iftar ya pamoja iliyoambatana na dua ya kumuombea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa…
8 April 2024, 9:04 am
Vijana Iringa waaswa kugombea nafasi za uongozi
Kutojiamini, kukosa elimu ya uongozi, kukosa uzoefu, kutoaminika, kudharaulika ni miongoni mwa sababu zinazopelekea Vijana wengi washindwe kujitokeza kugombea nafasi za uongozi hapa nchini. Na Adelphina Kutika VIJANA Katika Halmashauri ya Wilaya Ya Iringa wametakiwa kujitokeza na kugombea katika uchaguzi…
4 April 2024, 8:13 pm
Malori yanayotoka Mufindi yakwama Nyamande
Na Mwandishi wetu Zaidi ya maroli 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo wilaya Mufindi mkoani Iringa yamekwamba kwa zaidi ya siku tano katika kijiji cha Nyamande na Kitandiliko halmashauri ya mji wa Makambako wilayani Njombe kutokana…
4 April 2024, 10:30 am
Mafinga kupokea mwenge Juni 25
Mwenge wa uhuru ni mojawapo ya alama za kitaifa za Tanzania ambao huzunguka kila mkoa kwa lengo la kuangalia maendeleo ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika jamii. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ameitisha…
3 April 2024, 9:57 am
Zaidi ya miche 2,000 yapandwa kijiji cha Ulole
Licha ya serikali kuwa na utaratibu wa kupanda miti mara kwa mara bado kumekuwa na tabia ya wananchi kuharibu huku serikali ikapanga kuwachukulia hatua wanaokata miti ovyo. Na Adelphina Kutika Zaidi ya miche 2,000 ya miti rafiki na maji imepandwa…
3 April 2024, 9:23 am
Wagombea Chadema Iringa warudisha fomu
Uchaguzi wa Chadema una lenga kupata Viongozi wapya watakaokiongoza Chama hicho baada ya walioko madarakani kumaliza muda wake kwa mujibu wa katiba Yao. Na Godfrey Mengele Viongozi wanaogombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mkoani wa…
30 March 2024, 10:54 am
DC Mufindi akagua miradi ya maendeleo Mafinga
Miradi mingi ya maendeleo katika Halmashauri ya mji Mafinga imekamilikankwa asilimia 95 kutokana na kupokea fedha serikali kuu na fedha za ndani. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amefanya ziara kukagua Miradi ya Maendeleo katikati…