Jamii FM

Mwanamke

30 November 2022, 18:07 pm

Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya

Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha  uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo  Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…

8 July 2022, 14:52 pm

Fahamu uhusiano uliopo kati ya Jamii na kampuni za gesi

Fahamu ushirikiano ulipo kati ya jamii na kampuni ya gesi katika kiwanda kilichopo kata ya Madimba mkoani Mtwara. Makala haya yanaangazia namna gani wananchi wanaweza kupata ajira katika eneo hilo la uchakataji wa Gesi asilia katika kata ya Madimba  …

8 July 2022, 14:28 pm

MAKALA: wananchi wakerwa na tabia za kuwatupa watoto

Utupaji wa watoto wachanga mara baada ya kuzaliwa limekuwa ni tukio la kikatili ambalo kwasasa limeonekana kushamili katika jamii katika nchi za kiafrika. Katika tukio la hivi karibuni lililotokea katika msitu uliopo kata ya Naliendele, Jamii fm imeangazia tukio hilo…

Wafanyakazi wa TAKUKURU wakiwa ndani ya studio za Jamii FM

28 June 2022, 20:46 pm

TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau

Taasisi ya  Kupambana na Kuzuia Rushwa  (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa  mwaka wa fedha  unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…