Mwanamke
27 March 2023, 11:18 am
Kipindi: Elimu ya ugonjwa surua na rubella
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…
18 February 2023, 09:24 am
Makala: Uhamasishaji wa kutunza bahari kwa manufaa ya baadae
By Musa Mtepa Ni mkala inayohusisha tasisi ya kiraia ya jumuia ya umoja wa wavuvi wa Jodari nchini Tanzania maarufu TUNA ALLIANCE ambao walifanya utafiti wa mazingira ya Bahari ya Hindi kutoka visiwani Zanzibar hadi mikoa ya Lindi na Mtwara.…
4 February 2023, 14:29 pm
Nipo tayari kukatwa mguu
“Wahisani na wadau wameombwa msaada wa matibu ya mguu kwa Ndg. Marias Thomas Ngole mkazi wa kitongoji cha Mijolo kijiji cha Ziwani Mkoani Mtwara baada ya kuapata ajali ya kugongwa na pikipiki miaka mitatu iliyopita.” Na Musa Mtepa Akizungumza na…
31 January 2023, 12:07 pm
Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia
“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta na kuongeza kipato cha familia na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA WOMENI GROUP’’…
31 January 2023, 12:06 pm
Mama mjamzito akitumia dawa za kulevya zinamuathiri mtoto kuanzia tumboni
Mama mjamzito anayetumia madawa ya kulevya ana kiwango kikubwa cha kumuathiri mtoto akiwa tumboni, na wengi wao wanapoteza maisha wakati wa kujifungua. Na Gregory Millanzi Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama kwenye mfumo wake wa uzazi na…
19 December 2022, 11:45 am
Kipindi: Fahamu njia za kuwafundisha watoto wenye Usonji
Na Ramla Masali Makala haya yanazungumzia namna bora ya kuwafundisha watoto wenye Usonji. Sikiliza makala haya
19 December 2022, 11:32 am
Kipindi: Wazazi au walezi wanamlinda vipi mtoto asipate unyanyasaji wa kijinsia
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi hiki maalumu juu ya jamii inavyopambana katika kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia. Sikiliza hapa
19 December 2022, 11:27 am
Kipindi: Wanawake na Msimu wa Korosho
Na Grace Hamisi sikiliza makala haya juu ya kinachotokea kwa wanawake mara baada ya msimu wa korosho kuisha. Sikiliza Hapa
19 December 2022, 11:14 am
Kipindi: Mwanamke na kutokuwa na uhuru wa kujieleza
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi ambacho kimeandaliwa na mwandishi wetu juu ya uhuru wa mwanamke katika kujieleza pale anapokuwa katika maeneo ya kazi. Sikiliza hapa
2 December 2022, 17:32 pm
Wakulima washauriwa kufuatilia utabiri wa hali ya hewa ya hewa wa kilimo
Na Mussa Mtepa Wakulima wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea na kuanza kufuata taratibu zinazoelekezwa na wataalamu wa kilimo. Akizungumza na Jamii fm Radio afisa utabiri wa hali ya hewa kutoka kituo cha utafiti na kilimo TARI Naliendele Omari Rashidi Kahoki…