Mwanamke
23 October 2023, 15:00 pm
Makala: Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu
Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ni makala inayozungumzia masuala mbalimbali ambayo watu wenye ulemavu hukumbana nayo na pia imeeleza namna ambavyo wanapata huduma. Makala hii imeelezea madhira wanayopitia katika maeneo ya kutolea huduma. Na Msafiri Kipila…
23 October 2023, 12:21 pm
Makala: Umuhimu wa vituo vya kulea watoto mchana (Day care centers)
Na Mwanahamisi Chikambu, Gregory Milanzi Usipoziba ufa utajenga ukuta, katika makala haya tunaangazia vituo vya kuelelea watoto maarufu kama day care ambapo watoto hujifunza, kula na kucheza pamoja huku wakijengwa katika masuala mbalimbali ya kielimu kulingana na umri wao. Hapa…
14 October 2023, 16:16 pm
Makala: Hali ya chama cha watu wenye ulemavu wa kuona Mtwara
Na Mwanahamisi Chikambu, Mtu asiye na ulemavu wa macho hawezi kuelewa ni namna gani mtu wa namna hiyo anavyoweza kuendesha maisha yake ya kila siku na kuhakikisha familia yake inapata huduma za kila siku. Kumekuwa na vyama mbalimbali ambayo vinaanzishwa…
21 August 2023, 10:34 am
Makala – Urejeshaji masomoni kwa wasichana waliokatisha masomo
Na Musa Mtepa Mdondoko wa wanafunzi katika masomo ya sekondari kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo mimba, selikari ya awamu ya sita imetoa jukumu kwa wazazi kuwarejesha masomoni watoto wa kike ili waweze kuendelea na masomo. Bonyeza hapa kusikiliza makala haya
19 August 2023, 11:29 am
Makala: Ufahamu ugonjwa wa Usonji
Na Grace Hamisi, Usonji (autism spectrum disorder -ASD) ni ugonjwa wa neva wa ukuaji unaoathiri namna mtu anavyoshirikiana na wenzake, anavyozungumza, anavyojifunza, na tabia yake. Ingawa usonji unaweza kugundulika katika umri wo wote, ugonjwa huu huelezewa kuwa ni ugonjwa wa…
18 August 2023, 09:32 am
Makala – Mfahamu Fatma mwenye ndoto ya kufanya biashara
Na Grace Hamisi Bonyeza hapa kusikiliza mahojiano hayo
17 August 2023, 12:48 pm
Makala: Changamoto ya Vumbi la Makaa ya Mawe kwa wananchi wa Mtwara
Na Musa Mtepa, Changamoto ya makaa ya mawe kwa wananchi wa manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo katika makala haya utamsikia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kanali Ahmed…
11 August 2023, 19:12 pm
Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo
Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…
5 August 2023, 14:58 pm
Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani
Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia, ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…
3 August 2023, 14:21 pm
Kipindi: Watanzania wengi wanaishi kwenye dhana ya ndoa na sio Ndoa
Na Musa Mtepa Akizungumza katika kipindi maalumu kinachorushwa na jamii FM redio cha tarehe 25/07/2023,Hakimu Mkazi kutoka mahakama ya Mwanzo Mkoani Mtwara Ndugu Alex Robert amesema baada ya ndoa kufungwa inapaswa kusajiriwa katika taasisi ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na…