Jamii FM

Mwanamke

23 October 2023, 15:00 pm

Makala: Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu

Upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ni makala inayozungumzia masuala mbalimbali ambayo watu wenye ulemavu hukumbana nayo na pia imeeleza namna ambavyo wanapata huduma. Makala hii imeelezea madhira wanayopitia katika maeneo ya kutolea huduma. Na Msafiri Kipila…

Daktari kutoka hospitari ya Rufaa kanda ya kusini akizungumzia ugonjwa wa usonji. picha na Afisa habari SZRH

19 August 2023, 11:29 am

Makala: Ufahamu ugonjwa wa Usonji

Na Grace Hamisi, Usonji (autism spectrum disorder -ASD) ni ugonjwa wa neva wa ukuaji unaoathiri namna mtu anavyoshirikiana na wenzake, anavyozungumza, anavyojifunza, na tabia yake. Ingawa usonji unaweza kugundulika katika umri wo wote, ugonjwa huu huelezewa kuwa ni ugonjwa wa…

Picha ya Gladness Munuo na Musa Mtepa

11 August 2023, 19:12 pm

Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo

Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…

Picha ya mitungi mbalimbali ya gesi inayotumika kwaajili ya kupikia majumbani

5 August 2023, 14:58 pm

Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani

Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia,  ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…