FM Manyara

Recent posts

21 October 2025, 5:30 pm

Ruksa kupiga kura waliopoteza kadi

Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Babati mjini Simon Mumbee ametoa elimu ya upigaji kura kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october 29 mwaka huu, ambapo amewataka wananchi kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa…

21 October 2025, 4:52 pm

Ole wao watakaofanya fujo october 29 –RC Sendiga

Mkuu wa mkoa wa manyara, Queen Sendiga, amewaonya wananchi mkoani Manyara  kuepuka vitendo vyovyote vinayoashiria  vurugu, uchochezi au uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 29 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na…

20 October 2025, 11:13 pm

Sillo awataka wananchi kujitokeza kupiga kura octoba 29

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu, wananchi wa kata za Riroda na Duru wilayani Babati, mkoani Manyara, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura na kuwachagua viongozi kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi…

20 October 2025, 4:35 pm

Wananchi Babati watakiwa kujitokeza kupiga kura October 29

Mkuu wa wilaya ya babati Emmanuela kaganda amewataka wananchi kujitokeza October 29 kupiga kura na kumchagua Kiongozi wanaemtaka atakaeleta maendeleo amani na utulivu. Na Mzidalfa Zaid Kaganda ametoa kauli hiyo Leo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, amesema…

20 October 2025, 10:38 am

Wananchi Qash waahidiwa maji na barabara

Wananchi wa kata ya Qash na Vitongoji vyake iliyopo Wilayani Babati mkoani Manyara wameahidiwa maji safi na salama pamoja na ujenzi wa Barabara itakayounganisha maeneo mbali mbali ya kata hiyo na Kata nyingine za jirani.  Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge…

18 October 2025, 9:00 pm

Zaidi ya shilingi bil 2 zatekeleza miradi mbalimbali Gidas

Na Marino Kawishe Zaidi ya shilingi Bilion mbili  zimetekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika kata ya Gidas chini ya uongozi wa Mbunge wa jimbo la Babati Vijijini kwa kipindi cha miaka minne iliyopita wakati huu wa uongozi wa Rais Samia…

17 October 2025, 8:02 pm

Sillo aendelea kunadi ilani za uchaguzi CCM

Na Marino Kawishe Mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Babati Vijijini Daniel Baran Sillo ameendelea na ziara ya kunadi ilani ya chama cha mapinduzi CCM  nakuomba wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya October 29 mwaka huu kupiga kura na…

16 October 2025, 9:07 pm

Pass Leasing yatoa Trekta za mkopo kwa Wakulima Hanang’.

Na Marino Kawishe Zaidi ya sh Bilion 1.4 zimewanufaisha wakulima Ishirini kutoka Wilayani Hanang ambao wamepatiwa Mkopo wa vifaa vya Kilimo ikiwemo Trekta kutoka kampuni ya Pass Leasing ambayo inafanya kazi na wakulima wengi hapa Nchini.  Akizungumza mbele ya Wananchi…

13 October 2025, 1:05 pm

TAKUKURU Kupambana na rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Karibu msikilizaji katika makala maalum inayozungumzia udhibiti wa rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo Taaisisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU inaendelea kutoa elimu kwa wananchi  kuepuka rushwa  kabla,wakati na baada ya uchaguzi. Karibu usikilize makala

11 October 2025, 6:38 pm

Sillo azindua mfumo wa kielektroniki wa ukaguzi vyombo vya moto

Na Emmy Peter Naibu Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi  Daniel Sillo na mwenyekiti wa baraza la taifa la usalama barabarani amezindua mfumo mpya wa kielektroniki wa ukaguzi wa vyombo vya moto na utoaji wa stika za usalama barabarani,…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.