FM Manyara
FM Manyara
26/01/2026, 22:31
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma ya mifupa,pua sikio,koo na macho katika hospital ya rufaa ya mkoa wa Manyara . Na Mzidalfa Zaid Hatua hii imekuja baada ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya…
22/01/2026, 19:10
Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…
22/01/2026, 19:04
Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya wanyama kuvamia makazi ya watu na kuharibu mazao pamoja na kujeruhi binadamu katika halmashauri ya ya wilaya ya Babati, wito umetolewa kwa wanchi kutoa taarifa kunapotokea changamoto hiyo ili mamlaka husika ichukue hatua za haraka.…
21/01/2026, 17:29
Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezindua namba ya bure ya huduma kwa mteja ambayo itatumika kupokelea  changamoto na kero au malalamiko ya wananchi wote wa mkoa wa Manyara. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amezindua namba hiyo ambayo ni 0800787722 na…
20/01/2026, 17:12
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutumia mawakili na wanasheria wenye weledi katika utatuzi wa kesi mbalimbali ili changamoto zao zitatuliwe kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga, ameyasema hayo leo wakati akizindua kamati ya ushauri wa…
19/01/2026, 16:50
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kamati ya ushauri wa kisheria ngazi ya mkoa na wilaya na kliniki ya Sheria bila malipo itakayofanyika wilayani hanang mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Leo na…
16/01/2026, 21:03
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amewataka wazazi na walezi mkoani Manyara kuhakikisha wanawapeleka shule watoto ambao wanatakiwa kwenda shule kwakuwa  bado wapo wanafunzi ambao  hawajaripoti. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari ofisni…
16/01/2026, 21:00
Mamlaka za maji ikiwemo Ruwasa, Bawasa na waatalam kutoka Maabara za maji mkoa wa Manyara na bonde la maj na bonde la kati zimekutana kwa pamoja na kuunda timu kwa ajili ya kuweka mipango ya upatikanaji wa maji ili ifikapo…
14/01/2026, 23:37
Wakati shule zikiwa zimefunguliwa wiki hii wito umetolewa kwa wanafunzi kuchukua tahadhari za usalama barabarani kwa kuvuka na kutembea sehemu sahihi za kuvukia au kutembealea ili kuepukana na ajali. Wito huo umetolewa na Afisa wa jeshi la polisi kikosi cha…
13/01/2026, 19:01
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA Kanda ya kaskazini imetoa elimu kwa wananchi mkoani Manyara na kanda ya kaskazini kwa ujumla namna ya kuhifadhi dawa ili zisipoteza uwezo wa kufanya kazi. Na Mzidalfa Zaid Elimu hiyo imetolewa na Meneja…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.