FM Manyara

Recent posts

11 November 2025, 7:13 pm

DC Babati kushugulika na wadaiwa sugu Ankara za maji

Mkuu wa Wilaya ya Babati, Emmanuela Kaganda, ameziagiza taasisi za umma zikiwemo shule, zahanati na vituo vya afya ambavyo ni wadaiwa sugu wa ankara za maji, kulipa madeni yao mara moja kabla ya kuanza msako. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha uendelevu…

11 November 2025, 5:12 pm

RC Sendiga azindua majiko banifu

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua rasmi mradi wa uuzaji na usambazaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku mkoani Manyara ambapo Uzinduzi huu ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa upatikanaji na uhamasisha wa matumizi…

4 November 2025, 5:04 pm

Maafisa usafirishaji Manyara walalamikia mafuta kuadimika

Maafisa usafirishaji  wilayani Babati mkoani Manyara wamelalamikia kuadimika kwa mafuta katika vituo vya kuuzia mafuta na kuiomba Serikali kuingilia kati suala hilo ili kurahisisha shughuli za uchumi kwa wananchi. Na Marino Kawishe Wakizungumza na fm Manyara wamesema, kituo kinachouza mafuta ni…

29 October 2025, 10:49 am

DC Kiteto ajitokeza kupiga Kura

Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…

28 October 2025, 6:20 pm

Jeshi la polisi Manyara laimarisha usalama kuelekea October 29

Jeshi la polisi mkoani Manyara limesema  kuwa limejipanga kuimarisha  ulinzi na usalama siku ya uchaguzi mkuu ambao unatarajia kufanyika october 29 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,kamanda wa jeshi la polisi mkoani Manyara Ahmed Makarani, amesema jeshi…

28 October 2025, 9:46 am

Sillo ahitimisha kampeni Babati vijijini

Na Marino Kawishe Kampeni za mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM jimbo la Babati Vijijini  zimehitimishwa rasmi octoba 27,2025 ambapo Zaidi ya wapiga kura laki mbili na elfu kumi na mbili wanatarajiwa kupiga kura katika jimbo hilo…

27 October 2025, 12:54 pm

Wananchi watakiwa kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura

Siku moja kabla yakufungwa  kwa kampeni za Wagombea urais, wabunge na madiwani wananchi wa kata ya Secheda, Dabil na Madunga zilizopo katika jimbo la Babati Vijijini wametakiwa kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura hapo October 29. Wito huo umetolewa…

27 October 2025, 12:01 pm

Wananchi watakiwa kuiombea Nchi amani

Watanzania kote Nchini wametakiwa kuendelea kuliombea taifa Wakati huu Nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge  na Madiwani unaotarajiwa kufanyika October 29 mwaka huu. Akizungumza na Wananchi waliojitokeza kwenye mkutano maalumu wa maombi wakuliombea taifa uliofanyika katika kata  ya…

27 October 2025, 10:20 am

Viongozi wa kimila na viongozi wa dini kushiriki uchaguzi mkuu 2025

Wilaya ya babati imeimarisha ulinzi katika kata zote za mkoa wa Manyara na hawatomfumbia macho mtu yeyote atakayeleta fujo siku ya uchaguzi” Mh Emmanuela Kaganda Na Mzidalfa Zaid Wazee wa kimila, Machifu, Malaigwanani, na viongozi wa dini wa kata ya…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.