FM Manyara
FM Manyara
27 October 2025, 12:54 pm
Siku moja kabla yakufungwa kwa kampeni za Wagombea urais, wabunge na madiwani wananchi wa kata ya Secheda, Dabil na Madunga zilizopo katika jimbo la Babati Vijijini wametakiwa kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura hapo October 29. Wito huo umetolewa…
27 October 2025, 12:01 pm
Watanzania kote Nchini wametakiwa kuendelea kuliombea taifa Wakati huu Nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika October 29 mwaka huu. Akizungumza na Wananchi waliojitokeza kwenye mkutano maalumu wa maombi wakuliombea taifa uliofanyika katika kata ya…
27 October 2025, 10:20 am
Wilaya ya babati imeimarisha ulinzi katika kata zote za mkoa wa Manyara na hawatomfumbia macho mtu yeyote atakayeleta fujo siku ya uchaguzi” Mh Emmanuela Kaganda Na Mzidalfa Zaid Wazee wa kimila, Machifu, Malaigwanani, na viongozi wa dini wa kata ya…
24 October 2025, 8:47 pm
Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa  na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…
24 October 2025, 5:54 pm
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amehimiza watumishi wa mahakama kufanya kazi kwa uadilifu, ambapo amesema kwa sasa malalamiko ya kuzilalamikia mahakama yamepungua Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wajumbe wa kamati ya maadili…
24 October 2025, 9:40 am
Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…
24 October 2025, 12:35 am
Zikiwa zimesalia siku tano kabla ya uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika October 29 mwaka huu hapa Nchini, Watanzania wamehimizwa kujitokeza na kupiga kura kwa wingi. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kata ya Ayalagala …
22 October 2025, 10:58 pm
Wananchi wa kata ya magugu wametakiwa kujitokeza kupiga kura kwa amani na utulivu kwani hakuna yeyote atakayefanya fujo bila kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwenye uchaguzi huo ambo umepangwa kufanyika October 29 mwaka huu. Na Marino Kawishe Akiwahutubia Wananchi wa…
22 October 2025, 3:09 pm
Zikiwa zimebaki siku chache Tanzania kufanya uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani, baadhi ya wanawake mkoani Manyara wameonekana kuwa mstari wa mbele kushiriki uchaguzi mkuu na kuwachagua viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid Fm Manyara imekuandalia makala…
21 October 2025, 11:13 pm
Na Marino Kawishe Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM jimbo la uchaguzi la Babati Vijijini Danieli Baran Sillo ameendelea kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika October 29, kwa wananchi wa kata ya Magara…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.