Podcasts
26 September 2023, 4:45 pm
Fahamu mbinu bora za kuwafukuza tembo wanapo ingia katika makazi ya watu
Lakini je nini wananchi wanapaswa kufanya tembo wanapopita au kuingia katika makazi yao. Na Yussuph Hassan. Ukosefu wa mbinu bora za kuwafukuza Tembo wanapo ingia katika vijiji au makazi ya watu umekuwa ukipelekea wanyama hawa kufanya uharibifu ikiwemo kuwadhuru watu…
26 September 2023, 4:15 pm
Mfahamu mkalimani wa lugha ya alama aliyekuwa na kiu ya kujifunza
Dorcas Minaz ni moja kati ya wanawake wanaopambana katika kusaidia jamii ya wahitaji hususani viziwi na amekuwa mkalimani mahiri anayeipenda kazi yake kwa sasa. Na Yussuph Hassan. Wakati tukiendelea na simulizi ya Mkalimani Mahiri wa lugha ya alama Dorcas Minaz…
25 September 2023, 3:19 pm
Vishawishi chanzo wanafunzi wa kike kushindwa kuendelea na masomo
Mfumo dume unaoendelea katika baadhi ya jamii umetajwa kuwa ni moja ya sababu inayosababisha wanafunzi wa kike kushindwa kufaulu vizuri masomo yao. Zaituni Juma ana taarifa zaidi baada ya kutembelea kata ya Gongoni Manispaa ya Tabora katika shule ya msingi…
21 September 2023, 4:58 pm
Ni kawaida tembo kurudi katika usharoba waliozoea?
Kwa asili hiyo ya Tembo pale wanapokuja katika makazi ya watu kuna mbinu mbalimbali hutumika kuwakabili, mbinu ambazo huzaa matunda mara moja. Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma inaendelea kukuelezea tukio la baadhi ya maeneo yaliyovamiwa na kundi la tembo Dodoma.…
21 September 2023, 4:40 pm
Zaidi ya watoto elfu 86 kupata chanjo ya polio Rungwe
Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kuwafikia watoto zaidi ya elfu themanini na sita na kuwapatia chanjo ya polio ambayo imezinduliwa rasmi hii leo katika mikoa sita yenye hatari ya kupata ugonjwa huo hapa nchini. Na Sabina martin – RungweJamii…
20 September 2023, 16:51
kipindi:Chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane ni mhimu kwa ajili ya kuw…
Afisa chanjo Halmashauri ya Mbeya Christopher Mathias akiwa katika kipindi cha Nuru ya asubuhi akitoa elimu ya umhimu wa chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka nane(picha na Hobokela Lwinga). Kama ilivyo ada katika jamii yetu mtoto akizaliwa tu…
20 September 2023, 3:29 pm
Fahamu maajabu na uvamizi wa Tembo katika vijiji
Je ni mbinu gani nzuri zinazo tumika kuwarudisha Tembo hifadhini pindi wanapo ingia katika makazi ya watu ? Na Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma leo imezungumza na Afisa wanyamapori jiji la Dodoma hapa anaeleza jinsi Tembo wanavyoingia katika vijiji na…
15 September 2023, 18:20
TAKUKURU yaokoa shilingi Milionii 2.4 za Vikoba
Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa Bahati Haule akikabidhi pesa taslimu Sh. Mil 2.4 zilizoleheshwa kupitia TAKUKURU rafiki kata ya Bumilayinga wilayani Mufindi. Picha na Gift Mario Na Gift Mario Tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilayani Mufindi…
13 September 2023, 4:59 pm
Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia
Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…
12 September 2023, 15:23
CCM kuendelea kuisimamia serikali utekelezaji miradi
Na Kelvin Mickdady Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Ndugu. George Kavenuke amesema chama kitaendelea kuisimamia serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kavenuke ameyasema hayo akiwa kwenye hafla ya kukabidhi majengo ya zahanati na nyumba ya mganga…