Podcasts
1 May 2023, 09:40 am
MAKALA – Uanzishwaji ngo’s na changamoto wanazokutana nazo
Na Musa Mtepa Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini inayomzuia mtu kutekeleza shughuli zilizo kawaida katika maisha jamii, Ulemavu unaweza kuwa katika Mwonekano au aina tofauti kama vile viungo vya mwili miguu, mikono, mgongo…
29 April 2023, 14:52 pm
MAKALA – Ladha ya chakula kilichopikwa kwa nishati ya Gesi
Na Musa Mtepa Kutokana na kukuwa kwa Technolojia Binadamu ameweza kubadilika na kuendana na mazingira husika yanayoendana na mabadailiko hayo ambayo sio tu kwa wakazi wa mijini bali hata katika maeneo ya Vijijini. Zamani ukienda vijijini na kukutana na Mzee…
28 April 2023, 11:18 am
Makala: Je wazee wana mchango gani wa kukemea kuporomoka kwa maadili
Na Msafiri Kipila Kutokana na mabadiriko makubwa kwenye nyaja ya elimu, technolojia na utamaduni, tunu ya vijana imekuwa tofauti na wazee, vijana wanaona kuishi kwa tamadauni za mababu ni kupitwa na wakati, Wazee wamezungumza na Jamii fm kwenye makala haya…
27 April 2023, 3:41 pm
Yafahamu matibabu ya Ugonjwa wa surua
Mratibu wa Huduma za Chanjo Halmashauri ya Jiji la Dodoma Victor Kweka leo anazungumzia matibabu ya ugonjwa huo. Yussuph Hassan. Bado tunaendelea kufahamu kwa kina juu ya ugonjwa wa surua, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata…
26 April 2023, 12:07 pm
Makala fupi kuhusu ukataji miti na mkaa unavyoharibu mazingira
Wananchi wa kijiji cha Makifu kilichopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa wanakabiliwa na janga la ukame kutokana na uharibifu wa mazingira unaondelea katika maeneo hayo. MWANAHABARI WETU HAFIDH ALLY AMETUANDALIA TAARIFA KAMILI………………………..
25 April 2023, 4:58 pm
Dalili za ugonjwa wa Surua
Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote, husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. NaYussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambapo inaelezwa kuwa dalili zake zinaweza…
24 April 2023, 1:49 pm
Ufahamu ugonjwa wa surua na maambukizi yake
Ugonjwa huu husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. Na Yussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote. Mratibu wa Huduma…
20 April 2023, 3:28 pm
Chakula bora ni kinga dhidi ya Ukoma
Mtaalamu wa Afya anasisitiza kama mtu atazingatia lishe bora ataepuka maambukizi ya ugonjwa huu wa ukoma. Na Yussuph Hassan. Ulaji wa chakula bora ni moja kati ya tiba ya kuepukana ugonjwa wa ukoma.
19 April 2023, 2:43 pm
Ishara zipi ambazo kaka kuona hutabiri
Je chifu Tupa atamuwekea nini Kaka kuona ili aweze kutabiri ishara zinazo kuja. Na Yussuph Hassani. Hii ni imani ambayo ipo kwenye jamii na tulipo fika katika kijiji cha Makang’wa tulikuwa watu wa kijiji hicho wana hamu kubwa ya kutaka…
19 April 2023, 1:19 pm
Aina za ugonjwa wa Ukoma na tiba zake
Zipo aina mbili za ukoma je ni zipi hizo? Na Yussph Hassan. Leo Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu anazungumzia juu ya aina za Ugonjwa wa ukoma na tiba zake.