Dodoma FM
Dodoma FM
3 February 2024, 7:23 pm
Jamii yashauriwa kuendelea kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mrisho Sadick: Wananchi kwa kushirikiana na Jumuiya ya umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Ludete wilayani Geita wamejitokeza kuwasaidia wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu…
3 February 2024, 16:47
Baada ya kukosekana kwa shule za msingi na sekondari hatimaye wakaazi wa kata ya Serengeti hapa wilayani Kyela wanatarajia kuanza ujenzi wa shule baada ya kupatikana eneo. Na Masoud Maulid Kutokana na kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa kata…
1 February 2024, 4:28 pm
Serikali yandelea kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato ili kuweza kupeleka huduma kwa wananchi. Na mwanahabari wetu Hii ni shule ya Msingi Nuru iliyopo Kata ya Bagamoyo Tukuyu Mjini yenye mchepuo wa kingereza ambayo inatajwa kupanua maarifa na ujuzi kwa wanafunzi…
1 February 2024, 10:11
Wananchi wa kijiji cha Nyamori kata ya Simbo katika wilaya ya Kigoma wameipongeza serikali kwa juhudi za uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa ujenzi wa shule katika maeneo mbalimbali mkoani Kigoma. Wameeleza hayo wakati wakipokea mifuko 50 ya saruji kwa…
31 January 2024, 9:06 pm
Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…
30 January 2024, 22:16
Wakati mhura mpya wa masomo ukianza rasmi hapa nchini Tanzania zaidi ya wanafunzi 40 hawajaripoti katika shule ya sekondari Ngonga kutokana na sababu zisizotambulika na mamlaka husika. Na Nsangatii Mwakipesile Mtendaji wa kata ya Ngonga Lutufyo Mwangamilo ametoa tahadhari ya…
29 January 2024, 8:59 pm
Mradi huo unatarajia kuhusisha ujenzi wa vyuo viwili katika eneo la Nala jijini Dodoma Na mkoa wa kigoma. Na Thadei Tesha.Serikali kupitia Wizara ya habari na Teknolojia ya habari inatarajia kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama katika eneo la…
27 January 2024, 8:26 pm
Shule ya Msingi Sengerema ni miongoni mwa shule kongwe nchini ambayo ilikuwa ikikabiliwa na uchakavu wa miundombinu hasa vyumba vya madarasa jambo lililopelekea wadau mbalimbali kujitokeza na kuanza kusaidia ukarabati. Na;Emmanuel Twimanye. Shirika lisilisolikuwa la Kiserikali la Suport school Fees…
27 January 2024, 9:13 am
Mkuu wa wilaya ya Butiama Moses Kaegele amewapongeza bank ya NMB kwa kuwa wadau wa maendeleo katika sekta za elimu na afya na kuendelea kuwa karibu na jamii. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya BUTIAMA Moses Kaegele amewapongeza bank…
25 January 2024, 5:52 pm
Kitendo cha walimu kunyang’anywa madawati waliyokuwa wakiyatumia kwenye ofisi yao kimezua mjadala. Na Mrisho Shabani – Geita Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilayani Geita kimelaani kitendo cha serikali ya kijiji cha Nyansalala Kata ya Bukondo wilayani Geita cha kuwanyang’anya walimu…