sekondary
12 October 2023, 12:19 pm
Shule za msingi mbili Chamwino zapatiwa msaada wa madawati
Mradi huo wa Majaribio ambao umetekelezwa na kikundi cha Ujirani Mwema katika kijiji cha Wilunze ni matokeo ya kamati za ufatiliaji na uwajibikaji ngazi ya serikali za Vijiji ambapo Mradi huo umesimamiwa na Shirika la AFNET kwa Ufadhili wa Taasisi…
11 October 2023, 9:43 am
Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…
26 September 2023, 4:15 pm
Mfahamu mkalimani wa lugha ya alama aliyekuwa na kiu ya kujifunza
Dorcas Minaz ni moja kati ya wanawake wanaopambana katika kusaidia jamii ya wahitaji hususani viziwi na amekuwa mkalimani mahiri anayeipenda kazi yake kwa sasa. Na Yussuph Hassan. Wakati tukiendelea na simulizi ya Mkalimani Mahiri wa lugha ya alama Dorcas Minaz…
21 September 2023, 4:08 pm
Viongozi wa vijiji kuhamasisha wananchi kutatua changamoto za elimu
Mradi huo unatekelezwa wilaya ya chamwino katika Kata nne. Na Seleman Kodima. Viongozi wa Serikali za vijiji wametakiwa kutumia njia mbadala ya kuhamasisha wananchi ili waweze kutatua changamoto zilizopo katika sekta ya elimu ikiwemo miundombinu ya elimu. Wito huo umetolewa…
20 September 2023, 5:19 pm
Shilingi bilion 4 kujenga shule 26 za wasichana kila mkoa
Hadi sasa Serikali imefanikiwa kujenga shule 449 kati ya shule 1000 ambazo zilipaswa kujengwa nchini na shule hizo zina uwezo wa kuchukua wanafunzi 400 kwa kila shule . Na Mindi Joseph. Shule 26 za wasichana wa masomo ya sayansi na…
20 September 2023, 2:04 pm
Wazazi watakiwa kufahamu umuhimu wa maktaba kwa mtoto
Maktaba ni moja ya Taasisi inayosaidia katika kuchochea maendeleo ya mtoto pindi awapo shuleni na nyumbani. Na Khadija Ayoub. Ili kuchochea maendeleo ya mtoto shuleni wazazi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kuwajengea watoto wao desturi pamoja na namna bora ya…
15 September 2023, 7:12 am
Zaidi ya wananchi 1500 wafikiwa na elimu ya malezi
Program jumuishi ya malezi, makunzi na maendeleo ya awali ya mtoto ilizinduliwa mwaka 2021 na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo wadau mbalimbali wanatekeleza program hiyo. Na Mariam Matundu. Zaidi ya wananchi elfu moja na…
7 September 2023, 1:56 pm
Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria
Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…
30 August 2023, 3:12 pm
Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi
Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…
10 August 2023, 1:20 pm
Wazazi watakiwa kuwapatia haki ya elimu watoto wenye ulemavu
Ingawa malengo ya maendeleo endelevu yanahimiza kuwa hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma lakini utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumiwa Watoto UNICEF 2022 unaonesha kuwa kati ya watoto milioni 240 wenye ulemavu duniani nusu hawajawahi kuhudhuria shuleni.…