sekondary
13 December 2023, 8:39 pm
Leo tunaangazia uongozi kwa wanawake
Ameanza jitihada za kuhakikisha elimu inatolewa kwa wanawake. Na Mariam Matundu.Mifumo dume pamoja na uwoga vimetajwa kuwa sababu ya baadhi ya wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali wakati wa chaguzi . Diwani wa kata ya Nala bw.…
8 December 2023, 5:10 pm
Ucsaf yafadhili wanafunzi Wasichana katika Fani ya Sayansi
7 December 2023, 8:59 pm
Nguvu iongezwe katika elimu dhidi ya ukatili kwa watoto
Bado tupo katika siku 16 za kupinga ukatili na leo tutaangazia yafuatayo. Na Mariam Matundu. Ikiwa bado maadhimisho ya siku 16 yanaendelea ,imeshauriwa kuwa nguvu kubwa iongozwe katika kutoa elimu ya ukatili kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kutambua na…
6 December 2023, 12:20 pm
Dodoma watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya mvua zinazoendelea
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zinatajwa kusababisha madhara mbalimbali ikiwemo vifo vya watu 63 vilivyotokea katika wilaya ya hanag mkoani manyara usiku wa kuamkia jumapili ya nov. 03 mwaka huu. Na Thadei Tesha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko…
4 December 2023, 4:57 pm
Makala: Ushirikiano wa wazazi na walimu katika maendeleo ya mtoto shuleni
Na Mariam Matundu. Mwandishi wetu Mariam Matundu amezungumza na Kamishna wa Elimu Tanzania, Dk. Lyambwene Mutahabwa na hapa anaelezea umuhimu wa ushiriki wa wazazi na walimu katika Maendeleo ya Mtoto.
15 November 2023, 3:34 pm
Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike
Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…
13 November 2023, 4:07 pm
Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa
Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika shindano la Mdahalo…
8 November 2023, 3:35 pm
MEMKWA mkombozi kwa watoto Nagulo Bahi
Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa MEMKWA ni moja ya jitihada za kufikia malengo ya maendeleo endelevu hasa Elimu bora. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa mtaa wa Nagulo Bahi Kata ya Bahi wametakiwa kujitokeza kuwaandikisha watoto kwaajili ya…
30 October 2023, 12:20 pm
Umbali mrefu chanzo wanafunzi kukatisha masomo Mbandee
Kupitia mradi wa BOOST umeendelea kuimarisha elimu msingi kwani takribani shilingi trilioni moja zimejenga madarasa ya shule za msingi 9,705 na kukarabati shule za msingi kongwe kwa mwaka wa fedha 2022/23. Na Mindi Joseph. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa kitongoji…
16 October 2023, 7:03 pm
Michese waishukuru serikali kwa kutoa fedha za ujenzi wa shule
Kwa mujibu wa viongozi wa mitaa hiyo wanasema kuwa fedha kiasi cha shilingi milioni mia tano zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi huo. Na Khadija Ayoub. Baadhi ya wananchi katika eneo la michese jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kuwapatia…