Radio Tadio

Wazee

10 Oktoba 2023, 12:15 um

Waumini Katavi waombwa kuwapa kipaumbele watu wenye mahitaji maalum

Waumini wa madhehebu mbalimbali mkoani Katavi wameombwa kuwapa kipaumbele watu wenye mahitaji maalum wakiwemo wazee kwa kuwapa msaada wa mahitaji ya kiubinadamu. Na Veronica Mabwile – MpandaWaumini wa madhehebu mbalimbali manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameombwa kuwapa kipaumbele watu wenye…

7 Oktoba 2023, 5:57 um

Wazee waomba ushiriki kwenye vyombo vya kutoa maamuzi

Wazee nchini bado wanakabiliwa na changamoto nyingi huku suluhu ya changamoto hizo ni wazee hao kushirikishwa kikamilifu na serikali katika mambo ambayo yanawahusu. Na Mrisho Sadick: katikaBaraza la Wazee Nchini limeiomba serikali kuwashirikisha Wazee kwenye vyombo vya kutoa maamuzi ikiwemo…

11 Septemba 2023, 9:58 um

Wazee wanolewa kuhusu matumizi bora ya fedha

Wazee wa kikundi cha wazee Bikolweengozi kata ya Bugandika wilayani Missenyi wameanzisha chama cha kuweka akiba ya fedha na kukopa kwa lengo la kujiinua kiuchumi. Na: Jovinus Ezekiel Missenyi Mwenyekiti wa kikundi cha wazee Bikolweengozi cha kata ya Bugandika wilayani…

3 Agosti 2023, 8:00 um

Wazee CCM Iringa walaani wanaobeza uwekezaji wa Bandari

Na Frank Leonard Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wametangaza kuishiwa na uvumilivu na kuamua kulaani vikali mwenendo wenye viashiria vya kisiasa unaotishia kuigawa nchi kupitia matamko na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu suala la uwekezaji wa bandari.…

26 Julai 2023, 10:37 um

Wajitolea kuwasaidia wazee wasiojiweza

Kusaidia ni moyo na si utajiri kama msemo wa wahenga, hivyo unaweza kusaidia pale penye uhitaji kama ambavyo amesisitiza mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Magogo B. Na Kale Chongela- Geita Jamii imekumbushwa kujenga desturi ya kuwatembelea wazee na kuwasaidia…

19 Aprili 2021, 5:41 mu

Rais Samia awashukia wabunge kuhusu mijadala isio na tija kwa taifa

Na ; Mariam kasawa      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.  Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na mijadala inayoendelea bungeni ya kumlinganisha na mtangulizi wake,   hayati John Magufuli. Akizungumza jana Jumapili Aprili 18, 2021 katika kongamano la viongozi wa dini,  …