Radio Tadio

Wazee

3 August 2023, 8:00 pm

Wazee CCM Iringa walaani wanaobeza uwekezaji wa Bandari

Na Frank Leonard Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wametangaza kuishiwa na uvumilivu na kuamua kulaani vikali mwenendo wenye viashiria vya kisiasa unaotishia kuigawa nchi kupitia matamko na maoni mbalimbali yanayotolewa kuhusu suala la uwekezaji wa bandari.…

26 July 2023, 10:37 pm

Wajitolea kuwasaidia wazee wasiojiweza

Kusaidia ni moyo na si utajiri kama msemo wa wahenga, hivyo unaweza kusaidia pale penye uhitaji kama ambavyo amesisitiza mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Magogo B. Na Kale Chongela- Geita Jamii imekumbushwa kujenga desturi ya kuwatembelea wazee na kuwasaidia…