Radio Tadio

Ulinzi

29 Novemba 2023, 1:52 um

Viongozi Zanzibar watakiwa kuhamasisha ulinzi shirikishi

Jukumu la usalama wa wananchi si  la Jeshi la Polisi pekee hivyo  uwepo wa vikundi hivyo  utasaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya kihalifu katika jamii. Na Omar Hassan. Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka  wananchi…

13 Novemba 2023, 18:57

34 mbaroni kwa uharifu Mbeya

Na Hobokela Lwinga Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limewakamata watuhumiwa 34 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo utoroshaji madini, uhamiaji haramu, uvunjaji na wasambazaji wa noti bandia. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kutorosha…

9 Novemba 2023, 3:34 um

Watu 25 wakamatwa kwa tuhuma za ujangili Geita

Matukio ya ujangili yamekithiri kiasi cha Jeshi la Polisi mkoa wa Geita kuamua kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na hilo. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu 25 kwa tuhuma za ujangili wa misitu ikiwemo…

26 Oktoba 2023, 18:28

Mzee miaka 80 ukutwa na Gobole bila kibali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na oparesheni, misako na doria zenye tija kuhakikisha usalama wa raia na mali zao. Na Hobokela Lwinga mzee wa miaka 80 mkazi wa Kijiji cha Madundasi Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya aitwaye…

13 Septemba 2023, 14:04

Watu sita mbaroni matukio ya uvunjaji, wizi Kigoma

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma wakituhumiwa kufanya uhalifu na wizi katika maeneo mbalimbali mkoani wa Kigoma. Na, Kadislaus Ezekiel. Jeshi la Polisi mkoani Kigoma, limethibitisha kuwakama watu sita wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi…