Radio Tadio

Siasa

21 June 2023, 3:16 pm

Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule

Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…

26 May 2023, 10:26 am

CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi

KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…

10 April 2023, 1:37 pm

Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG waachie ngazi

Waliotajwa katika ripoti ya CAG watakiwa kuachia ngazi za madaraka walizonazo kutokana na ubadhirifu walioufanya kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria. “Serikali imepata hasara kubwa kutokana na watumishi wenye nia ovu na kama Rais alishasema wapishe, kama chama cha mapinduzi…