Radio Tadio

Miundombinu

11/09/2023, 22:08

Ujenzi daraja la Magufuli wafikia 76%

Serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Magufuli la Busisi-Kigongo jijini Mwanza ambalo linatarajiwa kukamilika mapema mwaka kesho. Na Mrisho Sadick – Geita Ujenzi wa daraja la Magufuli la Kigongo Busisi jijini Mwanza umefikia asilimia 76…

6 Septemba 2023, 14:27

Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi

Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…

1 Septemba 2023, 11:41

TPA Kigoma yadhamiria kuboresha usafirishji mafuta kwenda Burundi

Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…

29 Agosti 2023, 10:05 mu

Kizungumkuti Barabara ya Kabungu – Karema

TANGANYIKA. Baadhi ya Wananchi Mkoani Katavi wanaotumia Barabara ya Kabungu kwenda Karema wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara hiyo na kuitaka serikali kuifanyia matengenezo kwa kiwango cha lami. Wakizungumza na mpanda redio fm kwa nyakati tofauti wananchi hao wameleeza kuwa…