Radio Tadio

Miundombinu

12 May 2023, 3:19 pm

Wakazi wa Ilangali waiomba serikali kuboresha machimbo ya Madini

Wananchi hao wameiomba Serikali  kuyatazama machimbo hayo kwa jicho la tofauti ili yaweze kuwa msaada mkubwa wa kutatua changamoto mbalimbali za kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Ilangali Kata ya Manda wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuboresha machimbo…

12 May 2023, 8:15 am

Barabara ya Mpanda – Karema Mbioni Kuanza Ujenzi

TANGANYIKA Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anae shughulikia Sekta ya Ujenzi Ludovick Nduhye amefanya ziara ya kutembelea barabara ya kutoka Mpanda kwenda Bandari ya Karema ambayo inatarajiwa kuanza kujengwa hivi karibuni mwaka huu kwa kiwango cha…

8 May 2023, 1:51 pm

Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi

Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…

8 May 2023, 11:22 am

Mbunge Midimu aibana serikali kujenga Daraja Simiyu

Na Mwandishi wetu Serikali imetakiwa kujenga Daraja la Mto Duma- Bariadi lililopo Mkoani Simiyu ambalo limekuwa likijaa kipindi Cha Mvua. Hayo yamezungumzwa Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi Cha maswali na majibu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu Esther…

5 May 2023, 3:45 pm

Kondoa watakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati

Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…