Miundombinu
18 Septemba 2023, 11:03 mu
Manchali watakiwa kuwa walinzi wa vifaa vya ujenzi wa shule
Huu ni mwendelezo wa ziara zake za kikazi Mhe. Senyamule ambapo amekagua pia Ujenzi wa Mradi wa Shule Mpya ya kata ya Manchali, Mradi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Dodoma na Chuo cha Veta. Na Mindi…
Septemba 15, 2023, 11:33 mu
Serikali yatoa shilingi bilioni 5 ujenzi wa barabara km 5 Ileje
Na Denis sinkonde Mkandarasi aliyesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa Km 5 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5 Kiwila- Landani wilayani Ileje mkoani Songwe kumaliza kwa mradi kwa wakati. Mkuu wa wilaya ya…
13 Septemba 2023, 5:46 um
Wananchi Membe waomba semina zaidi mradi wa bwawa
Mradi huo wa kilimo cha umwagiliaji unatarajia kuchukua takribani hekari 8000 ambapo ndani yake ndipo yanapatikana mashamba ya wananchi wanao hitaji kufahamu hatima ya mashamba hayo. Na Victor Chigwada. Uelewa wa wananchi wa Kijiji cha Membe wilayani chamwini kuhusu Mradi…
12 Septemba 2023, 3:51 um
Vilindoni yahitaji uzio kuepuka migogoro na wananchi wa jirani
Hali ya usalama imekuwa Ndogo kwa wanafunzi kutokana na shule hiyo kukosa Uzio hali inayosababisha baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya eneo la shule hiyo. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa uzio katika shule ya Msingi vilindoni imeelezwa…
11 Septemba 2023, 10:08 um
Ujenzi daraja la Magufuli wafikia 76%
Serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Magufuli la Busisi-Kigongo jijini Mwanza ambalo linatarajiwa kukamilika mapema mwaka kesho. Na Mrisho Sadick – Geita Ujenzi wa daraja la Magufuli la Kigongo Busisi jijini Mwanza umefikia asilimia 76…
6 Septemba 2023, 2:27 um
Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi
Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…
5 Septemba 2023, 4:01 um
Wakazi wa Karume waomba kuwekewa alama za vivuko barabarani
Wananchi wanadai kukosekana kwa alama za barabarani katika eneo hilo kunapelekea baadhi ya watu kuendesha vyombo vya moto kwa kasi na kupelekea ajali za mara kwa mara. Na Asted Bambora. Imeelezwa kuwa ukosefu wa AIama za Barabarani hususani mchoro wa…
5 Septemba 2023, 8:44 mu
Mlimani Boma watengeneza barabara ya zaidi ya mita 400 kupitia Tasaf
Kukamilika kwa barabara hiyo kuleta neema kwa wananchi wa Mserereko ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu ili kupata usafiri wa kuwapeleka kwenye mahitaji yao ya kijamii kama huduma za afya ambapo ikitokea mgonjwa au amefariki wanambeba mikononi kurudisha nyumbani. Na Asha…
1 Septemba 2023, 11:41
TPA Kigoma yadhamiria kuboresha usafirishji mafuta kwenda Burundi
Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…
30 Agosti 2023, 4:18 um
Bilion 20.6 zatarajiwa kujenga eneo la kupumzikia Swaswa
Inasemekana bwawa hilo limekauka kutokana na shughuli za kibinadamu zilizokuwa zikifanyika katika eneo hilo ikiwemo shughuli za kilimo. Na Mindi Joseph. Shilingi Bilion 20.6 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Mradi wa eneo la Kupumzikia baada ya Bwawa la Swaswa lililopo…