
Miundombinu

16 May 2023, 10:35 am
Mbunge Kabati ahoji mpango wa serikali kukarabati barabara ya Nyang’oro
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa iringa Dkt. Ritta Kabati ameiomba serikali kutenga fedha za kukarabati barabara ya Dodoma-Iringa katika mlima Nyang’oro. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu huku akihoji ni…

12 May 2023, 3:19 pm
Wakazi wa Ilangali waiomba serikali kuboresha machimbo ya Madini
Wananchi hao wameiomba Serikali kuyatazama machimbo hayo kwa jicho la tofauti ili yaweze kuwa msaada mkubwa wa kutatua changamoto mbalimbali za kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Ilangali Kata ya Manda wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuboresha machimbo…

12 May 2023, 8:15 am
Barabara ya Mpanda – Karema Mbioni Kuanza Ujenzi
TANGANYIKA Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anae shughulikia Sekta ya Ujenzi Ludovick Nduhye amefanya ziara ya kutembelea barabara ya kutoka Mpanda kwenda Bandari ya Karema ambayo inatarajiwa kuanza kujengwa hivi karibuni mwaka huu kwa kiwango cha…

11 May 2023, 4:26 pm
Mbunge wa jimbo la Bahi atoa millioni 16 ujenzi wa Zahanati ya Mapinduzi Kigwe
Amesema zahanati hiyo itawaondolea adha wananchi hao ya kufuata huduma za afya kituo cha afya kigwe. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ametoa Millioni 16 kujenga zahanati ya kijiji cha Mapinduzi kata ya kigwe ikiwa…

8 May 2023, 3:53 pm
Kamati ya kuduma ya bunge ya maji na mazingira yatembelea bwawa la mtera
Mradi wa Maji mtera unategemewa kuongeza maji na kufika jumla ya lita milioni 201 ambazo zitaweza kutumika kwa miaka 13 ijayo jijini Dodoma. Na Seleman Kodima. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira pamoja na wataalamu kutoka wizara…

8 May 2023, 1:51 pm
Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…

8 May 2023, 11:22 am
Mbunge Midimu aibana serikali kujenga Daraja Simiyu
Na Mwandishi wetu Serikali imetakiwa kujenga Daraja la Mto Duma- Bariadi lililopo Mkoani Simiyu ambalo limekuwa likijaa kipindi Cha Mvua. Hayo yamezungumzwa Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi Cha maswali na majibu na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu Esther…

6 May 2023, 8:32 am
Maswa: Ukosefu wa miundombinu bora katika Stund ya bus halmashauri ni chanzo.
Na Alex.F.Sayi UMOJA wa Mawakala wa Usafirishaji Stund Mpya iliyopo wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ubovu wa miundombinu katika stund hiyo licha ya kutozwa ushuru kwa kila gari inayoingia hapo. Akizungumza na Sibuka…

5 May 2023, 3:45 pm
Kondoa watakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati
Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…

29 April 2023, 11:07 am
Jumuiya ya Wazazi wilayani Kilosa waishauri serikali kuikarabati shule iliyoingi…
Ni zaidi ya miaka kumi shule ya msingi Madaraka imehamishwa kutokana na mafuriko yaliyoingia shuleni hapo na kupelekea wanafunzi kuhamishwa Jumuiya ya wazazi wameishauri serikali kuikarabati shule hiyo. “Majengo tumeyaona na tatizo kubwa lililofanya shule hiyo kuhamishwa ilikuwa ni mafuriko…