Mazingira
26/09/2023, 19:05
Waziri Jafo aipongeza GGML kwa kuendelea kutunza mazingira
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na meneja wa TFS miti 400 imepandwa katika viwanja vya EPZA Bombambili na Mhe. Jafo. Na Kale Chongela- Geita Waziri Wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na Mazingiara Mhe. Selemani Jafo ameipongeza GGML…
21 Septemba 2023, 12:46
Wakazi wa Pangani watakiwa kuchukua tahadhari kabla ya msimu wa mvua za El nino
“nawaomba wananchi wanaoishi maeneo ambayo yanapitiwa na mafuriko kuhama kabla mvua hazijaanza” Na Maajabu Ally Wananchi wanaoishi katika maeneo ya bondeni Wilayani Pangani Mkoani TANGA wametakiwa kuchukua tahadhari kufuatia taarifa za uwepo wa mvua za El nino Tahadhari hiyo imetolewa…
20 Septemba 2023, 4:59 um
Wananchi watakiwa kuwa watulivu kufuatia utabiri wa hali ya hewa
Katika mikoa iliyotajwa inapaswa kuchukua tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa mwaka huu mkoa wa Katavi haujaainishwa. Na John Benjamin – Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuwa watulivu kufuatia kutolewa kwa taarifa ya utabiri wa hali ya hewa ukionyesha baadhi…
15 Septemba 2023, 08:25
Maeneo ya ukusanyaji taka jijini Dodoma yatakiwa kuboreshwa
Ukaguzi wa maeneo ya kuhifadhia taka ndani ya jiji la dodoma umefanywa na mkuu wa wilaya hiyo bw. Jabir shekimweri ikiwemo maeneo ya nguhungu, changombe, miyuji pamoja na eneo la chidaji sehemu ya mwisho ya kuzika taka ngumu. Na David…
14 Septemba 2023, 6:30 um
Wananchi washauriwa kutumia wiki ya maadhimisho ya usafishaji duniani kufanya us…
Maadhimisho ya usafishaji duniani hufanyika kila ifikapo September 16 ya kila mwaka kwa lengo la kuikumnusha jamii juu ya umhimu wa usafi wa mazingira Na Veronica Mabwile – Mpanda Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kuitumia wiki ya maadhimisho…
13 Septemba 2023, 23:59
Maadhimisho ya 12 ya Mto Mara yazinduliwa rasmi leo
Mamlaka za serikali na wadau wengine wa Mazingira wametakiwa kudhibiti matumizi ya maji yasiyoendelevu na kudhibiti vyanzo vya maji ili kuulinda Mto Mara Na Edward Lucas Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara yamezinduliwa rasmi leo katika Viwanja vya…
13 Septemba 2023, 18:05
Mtanda awapongeza WWF kwa uhifadhi Mto Mara
Na Edward Lucas Mkuu wa mkoa wa Mara, Said Mtanda amelipongeza Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF na wadau wengine katika juhudi wanazozifanya katika kuulinda Mto Mara Mtanda ametoa kauli hiyo leo wakati wa zoezi la upandaji wa…
13 Septemba 2023, 16:35
Mtanda atoa maagizo kwa viongozi wa Serengeti na Tarime
Viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime wasimamie sheria zilizowekwa ili kulinda vyanzo vya maji ya Mto Mara Na Edward Lucas Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda amewaagiza viongozi wa Wilaya ya Serengeti na Tarime kukaa pamoja na kusimamia…
12 Septemba 2023, 23:24
WWF waukingia kifua Mto Mara kuzuia kemikali na vitendo vingine vya uchafuzi
WWF yaweka mpango wa kupanda miti 44,000 kando kando ya Mto Mara na kuweka alama au bikoni ili kuzuia shughuli za uharibifu katika vyanzo vya maji ya mto huo. Na Edward Lucas Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF…
12/09/2023, 13:28
Taka kuwa biashara Zanzibar
Timu ya wataalam kutoka Jumuiya ya Mameya wa Afrika ya Kusini (AMALI) wametoa mafunzo namna ya kutenganisha taka ngumu na taka nyepesi. Na Mary Julius. Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mahmoud Muhammed Mussa amevitaka vikundi vya usafi kutenga fungu kwa ajili…