Radio Tadio

Mawasiliano

September 12, 2023, 8:16 am

Wanajamii kunufaika na intaneti Nyasa

lengo la mradi huo ni kuhakikisha jamii hasa vijijini wanapata huduma ya intanenti yenye kasi na gharama zinazoweza kufikiwa na watu wote Mkurugenzi wa Tzcna Dr Matogolo jabhera akifunga kifaa cha kusaidia upatikanaji wa intaneti katika shule ya sekondari luhangarasi…

28 August 2023, 5:45 pm

Serikali yakamilisha ujenzi wa minara 304 ndani ya Mwaka mmoja.

Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF)  unaendelea na ukaguzi wa minara yote iliyowashwa ili kuona utendaji kazi wake unakidhai vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mikataba Na Selemani Kodima Katika kuendelea kutatua changamoto za mawasiliano nchini  ,Serikali  imefanikiwa kukamilisha  miradi ya mawasiliano …

14 July 2023, 4:05 pm

Storm FM yaendelea kujengewa uwezo na TADIO

Mtandao wa Redio Jamii wa TADIO umeendelea kuziimarisha redio hizo kwendana na wakati hususani katika kurusha matangazo kwa njia ya mtandao. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa TADIO umeendelea kuijengea uwezo Storm FM wa namna ya kutumia mtandao wa Redio Portal…

10 July 2023, 10:33 am

Mawasiliano kuimarika Katavi

MPANDA Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kupitia mradi wa Tanzania ya Kidigitali inatarajia kujenga minara ya mawasiliano katika mkoa wa Katavi ili kuimarisha mawasiliano kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi mkoani humo. Hayo amesema na Naibu…

7 June 2023, 10:59 am

Mafunzo uongozi yatolewa Katavi

KATAVI Maafisa tarafa na watendaji wa kata mkoa wa Katavi wametakiwa kutekeleza majukumu ya serikali katika maeneo yao. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Katavi wakati wa utolewaji wa mafunzo ya…