Mawasiliano
6 Oktoba 2024, 5:21 um
Moses akutwa na baiskeli aliyoiba kanisani Sengerema
Jamii imekua haiwaamini vijana kutokana na kuwa na tamaa ya mali za haraka jambo lililopelekea kuwa wadokozi na wezi wa vitu mbalimbali kwenye maeneo yao. Na;Emmanuel Twimanye Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa na Jeshi la Polisi jamii…
1 Oktoba 2024, 00:23 mu
Kisima cha maji chadhaniwa kuwa na gesi asilia Mtwara Vijijini
Hii ni hali inayowashangaza wananchi wengi wa kijiji cha Mnyundo huku fikra zao zikiwa katika uwepo gesi asilia sehemu ambayo maji yanatokea . Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyundo, kata ya Ndumbwe, halmashauri ya Mtwara, mkoani Mtwara, wamesema…
19 Julai 2024, 17:29
UWSA Mbeya kuongeza mtandao wa maji taka
Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka na kukarabati ili kuwafikia wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa…
Mei 28, 2024, 5:28 um
Halmashauri ya Ushetu yapata hati safi
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ushetu Gagi Lala akiwa katika baraza la madiwani (picha na Sebastian Mnakaya ) usimamizi wa ukusanyaji wa mapato umekwenda vizuri ukilinganishwa na mwaka wa fedha 2022/2023 ambao ukusanyaji ulikuwa mbovu mpaka kusababisha kupata hati chafu na…
24 Januari 2024, 9:29 um
Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…
19 Januari 2024, 6:44 um
Chande: Mabadiliko Posta lazima, dunia ya sasa ni kidijitali
“kuhusu usafirishaji wa mizigo,tumeshafungua vituo vya utimilifu Arusha,Zanzibar,Dodoma na Dar es Salaam ili ndani ya siku mbili mtu akiwa sehemu yoyote duniani anapokea mzigo wake“ Na. Anthony Masai. Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Maharage Chande amesema,hakuna namna ambavyo…
12 Januari 2024, 16:32
Mawasiliano wilayani Buhigwe ni changamoto kubwa
Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, na Baadhi ya Maeneo ya Wilaya Zinazopakana na Nchi Jirani za Burundi na Congo, zinakabiliwa na Changamoto ya mawasiliano kwa kuwa na Mwingiliano na Nchi Hizo hatua inayokwamisha ufanisi katika utendaji kazi kwa…
10 Januari 2024, 6:57 um
Naibu waziri wa Habari atoa maagizo kwa wakandarasi nchini
Serikali ya awamu ya sita imejidhatiti katika kuimarisha mawasiliano nchini kwa kuongeza kasi ya ujenzi wa minara na vituo vya kuongeza nguvu ya mawasiliano. Na Mrisho Sadick – Chato Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandis Kundo…
8 Disemba 2023, 8:53 mu
Wananchi walia na waya uliopita chini kwenye makazi yao
Changamoto ya nyaya zilizopitishwa chini ya nyumba za watu kinyemela zimezua taharuki kwa wakazi wa Tambukareli mjini Geita. Na Kale Chongela- Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala mjini Geita wanaoishi pembezoni mwa Barabara ya Q…
22 Novemba 2023, 9:22 mu
Watumishi Mafinga Mji wapewa mafunzo ya mfumo wa kidijitali wa anuani za makazi
Na Hafidh Ally Wananchi Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya Kuharibu vibao vyenye majina ya Barabara na Mitaa ili visaidie kutoa maelekezo kwa wageni wanaotembelea Wilaya hiyo. Kauli hiyo Imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt.Linda…