Maji
28 April 2023, 3:36 pm
Mbunge Kabati aibana serikali, ataka irekebishe Mfereji wa maji Ruaha Mbuyuni.
Na Halfan Akida Mbunge viti maalum mkoa wa Iringa Dkt Ritta Kabati ameitaka serikali kuchukua hatua za dharura kuwasaidia wananchi wa Ruaha Mbuyuni baada ya mfereji wa maji kuacha njia yake na kuathiri wakulima Kabati amehoji hayo katika kipindi cha…
26 April 2023, 5:11 pm
Mlowa Bwawani walalamika ujenzi wa Tanki kutokamilika
Mradi huo ulitarajiwa kukamilika ndani ya Mwezi mmoja baada ya kutambulisha october 30 2022 lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea kutokana na changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji Cha Mlowa Bwawani Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia kutokukamilika kwa…
25 April 2023, 5:53 pm
Wakazi wa Chamwino watakiwa kutunza miundombinu ya maji
Itakumbukwa kuwa Mwaka 2020 jiwe la msingi la Mradi huo liliwekwa ikiwa ni ishara ya kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa tenki la maji Buigiri ambapo April 25 Mwaka huu . Na Seleman Kodima. Ikiwa leo ni maadhimisho ya…
22 April 2023, 9:33 am
Ukosefu wa Maji Safi na Salama, Kilio Itenka
KATAVI Kufuatia changamoto ya magonjwa ya Tumbo na minyoo jamii imetakiwa kuzingatia kanuni za afya ili kuondokana na magonjwa hayo kwa baadhi ya wakazi wa Itenka Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi. Hayo yamejiri mara baada ya wakazi wa Intenka halmashauri…
13 April 2023, 4:23 pm
Maswa:RUWASA Wananchi tumieni maji yanayotoka kwenye vyanzo vilivyoboreshwa.
Na,Alex.F.Sayi Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu (RUWASA)imewaasa wakazi Wilayani hapa kutumia Maji kwenye vyanzo vilivyoboreshwa ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na Sibuka fm, Meneja wa RUWASA Wilayani Maswa Mhandisi Lucas Madaha amesema…
12 April 2023, 6:35 pm
Wananchi wengi hawafahamu gharama za maji kwa lita
Tayari DUWASA imeomba marekebisho ya bei za maji hadi mwaka 2026 ili kukidhi marekebisho ya miundombinu ya maji. Na Mindi Joseph. Kwa Mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Nishati na Maji Ewura CCC…
12 April 2023, 4:46 pm
Ibihwa watarajia kuondokana na adha ya maji
Mradi wa maji kata ya Ibihwa unatekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia RUWASA wilaya ya Bahi na kusimamiwa na kampuni ya Prest Water and Civil works. Na Bernad Magawa Mradi mkubwa wa maji unaojengwa katika kijiji cha Ibihwa unatajiwa kuanza…
10 April 2023, 12:53 pm
Kukatika kwa Umeme kunaathiri upatikanaji wa maji Kongwa
Duwasa imeendelea kuhimiza utunzaji wa miundombinu ya maji safi iliyopo katika maeneo yao ili iweze kudumu kwa muda mrefu. Na Miandi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imesema kukatika mara kwa mara kwa huduka ya umeme…
4 April 2023, 5:49 am
Wananchi Kayenze Walia Ucheleweshwaji wa Mradi wa Maji
KATAVI Wananchi wa Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi wameiomba serikali kumhimiza mkandarasi anayejenga mradi wa maji kukamilisha mradi kwa wakati. Wananchi Kwa nyakati Tofauti wameiambia Mpanda radio kuwa kumekuwa na adha kubwa ya upatikanaji wa maji safi…
3 April 2023, 6:05 pm
Visima Nzuguni vitaongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 75
kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya 2022 idadi ya watu katika Mkoa wa Dodoma imeongezeka kutoka milioni 2.085 ya mwaka 2012 hadi milioni 3.085, ongezeko hilo limekuja na upungufu wa huduma mbalimbali ikiwemo ya maji. Na Mindi…