
Maendeleo

11 April 2024, 5:18 pm
Idifu waomba kusambaziwa huduma ya umeme
Tangu REA kusimika nguzo za umeme kwa kufuata muelekeo wa barabara imesababisha baadhi ya maeneo mengi kushindwa kufikiwa na huduma hiyo. Na Victor Chigwada.Uongozi wa serikali ya kata ya Idifu wilayani Chamwino umeiomba serikali kuwasambazia huduma ya umeme katika maeneo…

6 February 2024, 10:47
Kamati zapongezwa utekelezaji wa miradi Rungwe
Na mwandishi wetu Kamati ya fedha (FUM) imefanya ukaguzi wa ujenzi wa shule mpya ya Msingi Umoja yenye Mchepuo wa Kingereza iliyopo Ilenge kata ya KyimoMwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mheshimiwa Mpokigwa Mwankuga ndiye aliyeongoza kamati hii ambapo…

2 February 2024, 09:28
Baraza la madiwani kibondo lapitisha rasmu ya bajeti ya bilioni 37.9
Halmashauri ya Wiliya Kibondo Mkoani Kigoma yapitisha rasmu ya bajeti ya mwaka 2024/2025. Na James Jovin. Baraza la madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha rasimu ya mpango na bajeti ya shilingi bilioni 37.9 kwa mwaka wa…

1 February 2024, 17:36
Chunya yafanikiwa kujenga na kukamilisha miradi ya maendeleo
Na Hobokela Lwinga Wilaya ya Chunya mkoani mbeya imesema kwa miaka mitatu kuanzia mwaka 2021-2023 imefanikiwa kujenga jengo la utawala lenye thamani ya Zaidi ya billion mbili. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika mkutano na waandishi wa…

1 February 2024, 09:25
TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo Kigoma
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoani Kigoma imebaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 9 iliyofuatiliwa katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2023. Na, Lucas Hoha Hayo yamebainishwa na…

1 February 2024, 08:51
Bilioni 30 kukamilisha miradi ya maendeleo halmashauri ya Momba
Na mwandishi wetu, Songwe Katika ripoti yake iliyosheheni utekelezaji wa miradi mingi na yenye thamani kubwa, Mkurugenzi amebainisha kuwa katika kipindi cha uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Halmashauri ya Wilaya ya Momba imepokea fedha zaidi ya Bilioni 30 ambazo…

31 January 2024, 08:51
Wanawake, vijana kunufaika na mikopo kwa wakati
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameziagiza halmashauri zote nchini kuharakisha mchakato wa upatikanaji fedha za maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kwa lengo la kuchochea uchumi kwa jamii na taifa. Kadislaus…

30 January 2024, 17:38
Kamati zote zijengewe uwezo usimamizi miradi
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe. Mbaraka Alhaji Batenga ameagiza kamati zote za ujenzi zinazosimamamia Miradi mbalimbali ya Ujenzi wilayani Chunya zijengewe uwezo wa kusimamia miradi husika ili watakapokiuka maelekezo waweze kuchukuliwa hatua…

26 January 2024, 10:53 am
Wananchi Mikumi wamshuru SSH kwa mradi wa Regrow
Na Mwandishi wetu. Wakazi waishio pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa Mikumi wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanafanikiwa kubadilisha maisha yao kiuchumi kupitia Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza…

23 January 2024, 17:28
CCM Songwe yawapongeza viongozi wa serikali kwa utekelezaji wa miradi ya maendel…
Na mwandishi wetu, Songwe Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe imewapongeza viongozi wa Serikali Ngazi ya Mkoa na Halmashauri, Chama na taasisi za Serikali na ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Songwe kwa usimamizi na…