Radio Tadio

Jinsia

8 December 2023, 10:50 am

Makala: Ukatili wa kijinsia ni kinyume na Haki za binadamu

Watoto wa kike kutoka jamii za kimaasai wanaeendelea kuwa wahanga wakubwa wa ukatili wa kijinsia Na Saitoti Saringe Kutokana na mila kandamizi katika jamii ikiwemo ukeketaji, kutopewa fursa ya elimu na kumiliki ardhi ni sababu kubwa inayopelekea watoto wengi kutoka…

20 November 2023, 11:12 am

Ushiriki wa mwanamke kwenye nafasi za uongozi

Nimefarijika kuona jinsi gani wananchi wa Mkunwa na viongozi wao wapo tayari kuhakikisha kwamba wanawake wenye uwezo na vigezo wanaweza kushiriki katika nafasi mbalimbali za uamuzi. Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefurahishwa na Maendeleo ya Mradi wa…

19 November 2023, 12:22 pm

Ushirikiano wa wenza katika kumiliki mali

Na Leonard Mwacha. Hii leo tunaangazia umuhimu wa wenza kushirikiana katika umiliki wa mali. Mwenzetu Leonard Mwacha amefanya mazungumzo na mwanasheria na ameanza kumuuliza hali ikoje kwa wanawake kushirikishwa katika umiliki wa mali wa pamoja na wenza wao.

16 November 2023, 3:13 pm

Miaka 10 ya Tumbatu Fm, wenye ulemavu wathaminiwe

Radio ya jamii Tumbatu inaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake ambapo maadhimisho hayo yanaambatana na kufanya matendo ya huruma kwa jamii hasa wenye mahitaji maalum. Na Mwanahawa Hassan. Jamii imetakiwa kuishi vizuri na watu wenye ulemavu na kuwapatia mahitaji yao…

12 October 2023, 4:00 pm

Wito: Wenza jadilianeni pamoja kuimarisha mahusiano

Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…

11 October 2023, 4:49 pm

Mimba za utotoni zaendelea kumkwamisha mtoto wa kike

Picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii “Watoto wetu wamekuwa wakibakwa, wamekuwa wakipata mimba za utotoni hili ni eneo ambalo tunataka kusimamia kwa miguu miwili kupaza sauti kwa kushirikiana na wadau wengine ili elimu iwafikie watu wengi na hivi vitendo…

6 September 2023, 11:39 am

Maadili yatajwa kuwa mwarobaini wa vitendo vya ukatili

RUNGWE – MBEYA Na Fadhili Mwaifulile Jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imetakiwa kusimamia maadili kwa watoto wao hususani watoto wa shule za misingi na sekondari. Kauli hiyo imetolewa na katibu tawala wa wilaya ya Rungwe ndg,ALLY KIUMWA kwenye sherehe za…

6 September 2023, 10:18 am

Wanawake Waaswa Kuwa Wabunifu

MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya namna gani wanawake wanaweza kuchangamkia fursa za uvumbuzi na ubunifu katika kujitafutia kipato na kuondokana na umaskini. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm kwa…