Jamii
28 Juni 2023, 2:30 um
Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…
Juni 27, 2023, 4:50 um
Wanufaika TASAF Makete waishukuru serikali
Wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya Maskini Kijiji cha Ivilikinge waeleza mafanikio ya mradi huo na kuishukuru Serikali kwa kuwasaidia wazee
27 Juni 2023, 4:25 um
Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10
Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…
26 Juni 2023, 12:17 um
Wazazi watakiwa kuwajali watoto wenye ulemavu
Wazazi wanakumbushwa kuendelea kuwajali watoto wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yao muhimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mariam Kasawa. Wazazi wametakiwa kuwajali na kuwathamini watoto wenye ulemavu kwa kuwapatia elimu ili waweze kutimiza ndoto zao . Ni katika…
22 Juni 2023, 3:18 um
Wabobezi wa masuala ya jinsia waagizwa kutambua ahadi za nchi
Programu hiyo ya kizazi chenye usawa itakayotekelezwa kwa miaka mitano (2021/22 – 2025/26). Na Mariam Matundu. Wataalamu wabobezi wa masuala ya jinsia wameagizwa kutambua masuala yaliyowekewa Ahadi za nchi katika Jukwaa la kizazi chenye Usawa (GEF) ili kutekeleza Programu ya…
21 Juni 2023, 4:21 um
Serikali kuwashughulikia waajiri sugu wanaodaiwa michango ya wafanyakazi
Serikali imeanzisha mifuko ya hifadhi ya jamii kwa ajili ya kulipa mafao ya mtumishi pindi mfanyakazi anapostaafu au kuacha kazi. Na Mindi Joseph. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi…
Juni 13, 2023, 8:10 mu
Aliyedhaniwa kufariki juzi na kufufuka, afariki leo
Taarifa rasmi za kifo cha Bi. Felister Sanga aliyesingiziwa kufariki na kufufuka, afariki leo kijiji cha Ipepo Wilayani Makete Mkoani Njombe
10 Juni 2023, 7:28 mu
Watalaam wa afya toka hospitali ya Rufaa Iringa watoa msaada kituo cha IOP
Na Ansigary Kimendo Madaktari na wataalam mbalimbali wa afya kutoka hospitali ya rufaa mkoa wa Iringa, wametembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Ilula Orphan Program (IOP) na kutoa mahitaji mbalimbali ikiwemo Chakula. Wamesema lengo ni kuifikia jamii yenye uhitaji…
6 Juni 2023, 6:46 um
Jamii yashauriwa kujenga tabia ya kufanya tafiti mbalimbali
Mradi wa ALiVE-Tanzania una lengo la kufanya tafiti na kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana Nchini. Na Fred Cheti. Jamii imeshauriwa kujenga desturi ya kufanya tafiti mbalimbali katika maeneo yao na kubaini changamoto zilizopo ili kupunguza baadhi ya…
5 Juni 2023, 6:16 um
NIDA, shirika la Posta waingia ubia usambazaji vitambulisho
NIDA imeingia ubia na shirika la Posta katika zoezi la usambazaji wa vitambulisho. Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vitambulisho vya taifa (NIDA) ikiwa ni njia pekee ya kufanikisha lengo la serikali la kuboresha utoaji wa huduma…