Jamii
18 July 2023, 9:42 pm
Bulaya awashika mkono kituo cha kulea watoto yatima Bunda
Bulaya atembelea kituo cha watoto yatima na mazingira magumu St. Francis na kusaidia mahitaji mbalimbali kama sukari, mchele, unga na mafuta Na Edward Lucas Mbunge wa Viti Maalumu na ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini, Mh Ester Amos…
13 July 2023, 13:15
Aliyefariki miaka 29 iliyopita apatikana akiwa hai, akabidhiwa kwa ndugu Kibondo
Wananchi wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kutohusianisha tukio la kijana aliyefariki na kupatikana akiwa hai mkoani Tabora na imani za kishirikina. Na James Jovin Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma imemkabidhi kijana Daniel Gastoni mwenye umri wa miaka 35 kwa ndugu…
13 July 2023, 10:10 am
Afunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja
MPANDA Athumani Juma Mohamed Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani Katavi amefunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo. Akizungumzia ndoa yake Yengayenga…
6 July 2023, 7:04 am
Watumishi wapya watakiwa kuitumikia jamii kwa kuzingatia uadilifu
Watumishi wapya kutoka Idara za Afya ,Elimu msingi na sekondari wametakiwa kujua kuwa wana jukumu la kutumikia jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kuleta maendeleo chanya kwa jamii ya Kilosa. Na Gladys…
4 July 2023, 7:28 pm
Mitaala mipya ni chachu ya vijana kujiajiri
Serikali ilitoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na rasimu ya Mitaala ya elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Na Aisha Shaban.…
4 July 2023, 2:28 pm
Aoza pua baada ya kupondwa na kokoto
Na Amos Inega Minga Rajabu mkazi wa kijiji cha Kazima kata ya Ifucha Manispaa ya Tabora ameomba msaada kwa wasamalia wema baada ya kuishi kwa maumivu zaidi ya miaka 10 kutokana na kuoza pua baada ya kujeruhiwa na kipande cha…
28 June 2023, 4:25 pm
Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora
Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima. Naibu katibu mkuu…
28 June 2023, 2:30 pm
Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…
June 27, 2023, 4:50 pm
Wanufaika TASAF Makete waishukuru serikali
Wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya Maskini Kijiji cha Ivilikinge waeleza mafanikio ya mradi huo na kuishukuru Serikali kwa kuwasaidia wazee
27 June 2023, 4:25 pm
Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10
Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…