Habari
30 July 2026, 11:25 am
Kilomita 20 za mateso za wasukuma Olmesera kujenga shule
Wananchi wa kitongoji cha Olmesera kijiji cha Manyire kata ya Mlangarini mkoani Arusha ,wameamua kuchangishana shilingi elfu 70 kwa kila mwanakitongoji ili kuweza kununua eneo ambalo watajenga shule ya msingi na sekondari kwa ajili ya watoto wa kitongoji hicho. Na…
23 July 2026, 10:45 am
Sirro aipongeza Kasulu kwa Hati safi ya CAG
Mkuu wa Mkoa wa Kigma Balozi Saimon Sirro ameitaka Halmashauri ya Mji Kasulu kuendelea kuimarisha usimamizi wa fedha za umma, kuyafanyia kazi mapendekezo ya CAG kwa wakati na kudumisha uwajibikaji kwa wananchi. Na; Irene Charles Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,…
8 July 2026, 12:55
Kilosa: KICU chafanya maboresho ya ofisi zake
Pichani Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Kilosa co-operativu union (KICU). Picha na Epiphanus Danford Chama hicho kinakwenda kuongeza tija kwa Wakulima wake katika kuhakikisha wanapata huduma bora lakini pia kuhifadhi mazao yao katika maghala yaliyoboreshwa. Na Epiphanus Danford Chama…
23 June 2026, 15:29
TRA Iringa kutatua changamoto za kikodi
TRA itaendelea kutoa elimu Kwa Jamii ili waweze kujua umuhimu wa ulipaji kodi. Na Hafidh Ally Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Iringa imeahidi kutatua changamoto wanazokutana nazo Wafanyabiashara katika utekelezaji wa majukumu ya kikodi ikiwemo kuimarisha mazingira ya…
7 March 2026, 09:30 am
Wanawake wa kikristo waadhimisha siku ya maombi Duniani
Lengo kubwa la Wanawake hawa wa Masasi wakiungana katika maombi na wanawake wengine ni kukumbushana majukumu ya Wanamke katika maisha ya kila siku na kumtegemea Mungu katika nyakati zote ili jamii iwe sawa Na Lilian Martin Wanawake wa Kikristo kutoka…
1 March 2026, 12:18 pm
Usajili walowezi chanzo cha upatikanaji wa haki za kijamii
Afisa uhamiaji wilaya ya Hai ametoa wito kwa walowezi wanaoishi katika wilaya ya Hai na maeneo mengine kujitokeza kusajiliwa kwa hiari ili kusaidia kupatikana kwa haki za kijamii Na James Gasindi, Hai-Kiliamnjaro Walowezi wanaoishi katika Wilaya ya Hai mkoa wa…
4 February 2026, 07:50
Watanzania wanufaika na mageuzi ya sheria ya madini
Mabadiliko ya sheria ya Madini, zaidi ya Asilimia 97 ya watanzania wajitokeza kufanya kazi kwenye sekta ya madini Na Gregory Milanzi Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yamewezesha watanzania wengi kufanya kazi katika sekta ya madini, ambapo…
3 February 2026, 1:21 am
Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini
Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya afya kwa wote Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF elfu 66800 mkoani kigoma Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…
24 December 2025, 7:19 pm
Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…
26 October 2025, 8:42 pm
Wasimamizi vituo vya kupigia kura watakiwa kuzingatia sheria
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…