Radio Tadio

Habari

30 July 2026, 11:25 am

Kilomita 20 za mateso za wasukuma Olmesera kujenga shule

Wananchi wa kitongoji cha Olmesera kijiji cha Manyire kata ya Mlangarini mkoani Arusha ,wameamua kuchangishana shilingi elfu 70 kwa kila mwanakitongoji ili kuweza kununua eneo ambalo watajenga shule ya msingi na sekondari kwa ajili ya watoto wa kitongoji hicho. Na…

23 July 2026, 10:45 am

Sirro aipongeza Kasulu kwa Hati safi ya CAG

Mkuu wa Mkoa wa Kigma Balozi Saimon Sirro ameitaka Halmashauri ya Mji Kasulu kuendelea kuimarisha usimamizi wa fedha za umma, kuyafanyia kazi mapendekezo ya CAG kwa wakati na kudumisha uwajibikaji kwa wananchi. Na; Irene Charles Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,…

8 July 2026, 12:55

Kilosa: KICU chafanya maboresho ya ofisi zake

Pichani Ofisi ya Chama Kikuu cha Ushirika Kilosa co-operativu union (KICU). Picha na Epiphanus Danford Chama hicho kinakwenda kuongeza tija kwa Wakulima wake katika kuhakikisha wanapata huduma bora lakini pia kuhifadhi mazao yao katika maghala yaliyoboreshwa. Na Epiphanus Danford Chama…

23 June 2026, 15:29

TRA Iringa kutatua changamoto za kikodi

TRA itaendelea kutoa elimu Kwa Jamii ili waweze kujua umuhimu wa ulipaji kodi. Na Hafidh Ally Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Iringa imeahidi kutatua changamoto wanazokutana nazo Wafanyabiashara katika utekelezaji wa majukumu ya kikodi ikiwemo kuimarisha mazingira ya…

4 February 2026, 07:50

Watanzania wanufaika na mageuzi ya sheria ya madini

Mabadiliko ya sheria ya Madini, zaidi ya Asilimia 97 ya watanzania wajitokeza kufanya kazi kwenye sekta ya madini Na Gregory Milanzi Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yamewezesha watanzania wengi kufanya kazi katika sekta ya madini, ambapo…

3 February 2026, 1:21 am

Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini

Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya  afya kwa wote  Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF  elfu 66800 mkoani kigoma  Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…

24 December 2025, 7:19 pm

Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…