Radio Tadio

Habari

23 June 2026, 15:29

TRA Iringa kutatua changamoto za kikodi

TRA itaendelea kutoa elimu Kwa Jamii ili waweze kujua umuhimu wa ulipaji kodi. Na Hafidh Ally Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Iringa imeahidi kutatua changamoto wanazokutana nazo Wafanyabiashara katika utekelezaji wa majukumu ya kikodi ikiwemo kuimarisha mazingira ya…

4 February 2026, 07:50

Watanzania wanufaika na mageuzi ya sheria ya madini

Mabadiliko ya sheria ya Madini, zaidi ya Asilimia 97 ya watanzania wajitokeza kufanya kazi kwenye sekta ya madini Na Gregory Milanzi Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yamewezesha watanzania wengi kufanya kazi katika sekta ya madini, ambapo…

3 February 2026, 1:21 am

Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini

Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya  afya kwa wote  Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF  elfu 66800 mkoani kigoma  Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…

24 December 2025, 7:19 pm

Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…

2 October 2025, 15:15

Wazee walia na huduma duni za afya Bukoba

Wazee katika maeneo mbalimbali nchini wameitumia siku ya wazee duniani kupaza sauti zao kwa serikali wakilalamikia mambo kadha kubwa likitawala suala la huduma duni za afya Na Theophilida Felician, Bukoba. Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ya wazee duniani…

27 September 2025, 7:31 pm

DC Tabora azindua dawati la uwezeshaji biashara

Na Wilson Makalla Mkuu wa wilaya ya Tabora, Upendo Wella amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara kwa Wananchi mkoa wa Tabora siku ya Jumanne Septemba 23, 2025 katika Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA ) Mkoa wa Tabora na…