Radio Tadio

Habari za Jumla

11 Machi 2024, 5:43 um

Ongezeko la mamba mto Simiyu latishia maisha ya wananchi

Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa  uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…

11 Machi 2024, 17:30

Swebe: Wanawake jitokezeni kugombea serikali za mitaa

Mwenyekiti mpya CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amewataka wanawake wa chama hicho kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uenyekiti wa serikali za mitaa katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe Baada ya kuchaguliwa na kuwa mwenyekiti mpya mwanamke wa chama…

11 Machi 2024, 16:47

Rwizile: Haki za mtoto hazigawanyiki

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Augustine Rwizile amesema kila mtu ana haki ya kulinda na kuthamini haki za mtoto kwani haki hizi hazigawanyiki. Na, Mwandishi wetu Winfrida Ngassa. Mh Augustine Rwizile amesema hayo wakati…

11 Machi 2024, 15:36

Serikali yabaini uwepo wa maabara bubu Kasulu

Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kufuata huduma za afya katika vituo vinavyotambuliwa na serikali baada ya kubainika uwepo wa maabara Bubu ambayo imekuwa ikitoa huduma za vipimo  kinyume cha sheria. Akiwa katika ukaguzi wa usafi wa Mazingira katika mtaa…

11 Machi 2024, 2:07 um

Diwani avunja kamati ya shule

Baada ya wazazi na walezi kuonesha kutokuwa na imani na kamati ya shule imemlazimu diwani kuingilia kati suala hilo. Na Cleef Mlelwa – Wanging’ombe Diwani wa kata ya Kijombe Seylvester Kigola ameagiza kuvunjwa kwa kamati ya shule ya msingi Ikwavila…

10 Machi 2024, 8:38 mu

Red Cross: Mwanamke ni nguzo muhimu kwa taifa

Chama cha msalaba mwekundu mkoani Simiyu kimesherekea siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Maswa katika kutambua na kuthamini mchango wa Wanawake katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo nchini. Na,Paul Yohana Katika kuenzi na kuthamini mchango…

8 Machi 2024, 16:27

Kyela: Vijana 10 wa greengard wakabidhiwa sare Itunge

Vijana wa chama cha mapinduzi uvccm  kata ya itunge wilayani kyela wamekabidhiwa sale aina kombati kwa ajili ya mandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024-2025. Na Emmanuel Jotham Vijana kumi (10) wa Green Gard walio kwenda mafunzo kupitia chama…