Radio Tadio

Habari za Jumla

13 Machi 2024, 09:31

Familia yavamiwa Songwe, mke abakwa

Katika hali isiyo ya kawaida, familia moja mkoani Songwe imejikuta ikiingia kwenye hofu kubwa baada ya kuvamiwa usiku wa manane na kisha mama wa familia kubakwa na watu wasiofahamika. Na Ezra Mwilwa Mwanaume mmoja (Jina limehifadhiwa) mkazi  wa wilaya Songwe…

12 Machi 2024, 22:24

Paradise Mission kuadhimisha miaka mitatu na Rais Samia

Kila binadamu anayefanikiwa nyuma ya mafanikio yake lazima awepo mtu anayesukuma mafanikio hayo. Kutokana na hilo taasisi ya shule yenye mchepuo wa lugha ya kiingereza ya Paradise Mission imeona kwa miaka mitatu imefanikiwa kutoa elimu hasa kwa wakazi wa mkoa…

12 Machi 2024, 21:35

Kyandomo ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi

Suala la uchaguzi limekuwa ni suala la kila mwananchi kushiriki ingawa katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi baadhi ya makundi yamekuwa na idadi ndogo ya wagombea ikiwemo kundi la wanawake. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya…

12 Machi 2024, 5:15 um

Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama

Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…

12 Machi 2024, 14:35

Wazururaji kusakwa mtaani kuimarisha usalama Kigoma

Madiwani na Wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma, wameadhimia kwa pamoja, kuwasaka na kuwakamata Vijana wanaozurura Mitaani na kufanya Uhalifu kwa kuvunja makazi ya watu na kuiba thamani za ndani na kuhatarisha usalama wa watu, ikiwa ni baada…

12 Machi 2024, 2:06 um

Wanawake waomba kujengewa kituo cha kulelea watoto kazini

Kutokana na changamoto za malezi ya watoto zinazowakabili wanawake watumishi katika taasisi mbalimbali, watumishi hao wameomba kujengewa kituo cha kulelea watoto. Na Elizabeth Mafie Wanawake watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kupitia shirika…

12 Machi 2024, 13:21

Wananchi Kimobwa watakiwa kuzingatia lishe bora kwa watoto

Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia matumizi ya vyakula vyenye lishe kwa watoto ili kusaidia kuwakinga na utapiamlo ambao unasababisha udumavu kwa watoto. Na, Emmanuel Kamangu Wananchi wa kata ya Kimobwa halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuhudhuria…

12 Machi 2024, 08:25

RC Serukamba: Kijiji kwa kijiji

Na Marko Msafili/IringaMarchi 10, 2024 yamefanyika Makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kati ya Mkuu wa sasa wa Mkoa huo Mhe. Pater Serukamba na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Halima Dendego ambaye amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoani…

11 Machi 2024, 6:03 um

CCM yazindua kampeni za udiwani Sengerema

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 23 Tanzania Bara, ukitarajiwa kufanyika tar 20 Machi 2024 Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma tar15…