Habari za Jumla
14 Machi 2024, 8:08 mu
Chakula shuleni chachu ya ufaulu Rungwe
Katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wajumbe kwenye kikao cha Tathimini juu ya lishe [picha na Lennox mwamakula] Imeelezwa kuwa asilimia 93.7 ya wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao ni wale wanaokula chakula cha…
13 Machi 2024, 7:56 um
Mama mjamzito apigwa nusura ujauzito utoke
Ukatili wa kijinsia bado unaendelea kuwa tishio kwa maisha ya wanawake wengi hasa kwenye jamii ya kimaasai, kufuatia vipigo kutumika kama sehemu ya adhabu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wa jamii hii kwa wake zao. Na Joyce Elius. Bi. Penina…
13 Machi 2024, 14:19
Mwaisango: Iwe mvua, jua tunaingia kwenye uchaguzi
Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…
13 Machi 2024, 12:13 um
Ushirika Hai waanza kuleta tija, Saashisha aishukuru serikali
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI dhidi ya Kampuni ya MACJARO LTD ambapo unatajwa kuwa ni mkataba wenye manufaa…
13 Machi 2024, 11:35 mu
DC Maswa aagiza viongozi, watendaji kusikiliza kero za wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mh Aswege Kaminyoge ametoa maagizo kwa watendaji na viongozi wengine kusikiliza kero za za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na siyo kusubiri viongozi wa ngazi za juu kuja kusikiliza kero ambazo zingetatuliwa na viongozi …
13 Machi 2024, 10:44 mu
Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata ya Senani ili kumsaidia mkulima katika kuongeza tija katika zao la pamba. DC Kaminyoge ametoa shukrani hizo wakati wa kuzindua zana…
13 Machi 2024, 09:31
Familia yavamiwa Songwe, mke abakwa
Katika hali isiyo ya kawaida, familia moja mkoani Songwe imejikuta ikiingia kwenye hofu kubwa baada ya kuvamiwa usiku wa manane na kisha mama wa familia kubakwa na watu wasiofahamika. Na Ezra Mwilwa Mwanaume mmoja (Jina limehifadhiwa) mkazi wa wilaya Songwe…
12 Machi 2024, 22:24
Paradise Mission kuadhimisha miaka mitatu na Rais Samia
Kila binadamu anayefanikiwa nyuma ya mafanikio yake lazima awepo mtu anayesukuma mafanikio hayo. Kutokana na hilo taasisi ya shule yenye mchepuo wa lugha ya kiingereza ya Paradise Mission imeona kwa miaka mitatu imefanikiwa kutoa elimu hasa kwa wakazi wa mkoa…
12 Machi 2024, 21:35
Kyandomo ahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi
Suala la uchaguzi limekuwa ni suala la kila mwananchi kushiriki ingawa katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi baadhi ya makundi yamekuwa na idadi ndogo ya wagombea ikiwemo kundi la wanawake. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya…
12 Machi 2024, 20:55
Aliyeua watoto wake wawili kwa sumu mkoani Mbeya naye afariki
Siku zote wanasema uchungu wa mwana aujuaye mzazi ,hii imekuwa tofauti kwa mwanamke mmoja mkoani Mbeya kuchukua maamzi ya kuwanywesha watoto wake sumu na kusababisha kifo. Na Hobokela Lwinga Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetoa taarifa kuwa mtuhumiwa Dainess…