Habari za Jumla
21 Machi 2024, 08:59
EWAKI yatoa bima za afya kwa kaya 30 za wazee Kigoma
Jumla ya kaya 30 za wazee wenye mahitaji maalum katika kata ya Murufyiti halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma zimepatiwa msaada wa bima za afya ICHF zilizoboreshwa kutoka shirika la Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za…
21 Machi 2024, 08:11
Naibu Waziri Mahundi azindua, kukabidhi kisima cha maji Songwe
Wilaya ya Momba mkoani Songwe imekabidhiwa kisima cha maji baada ya kilio cha muda mrefu. Na Ezra Mwilwa Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi amezindua na kukabidhi kisima cha maji kwa wananchi wa kijiji cha Ipumpila kata ya Ndalambo…
20 Machi 2024, 7:23 um
Makamu wa Rais azindua mradi wa maji Hai, mbunge Saashisha awasilisha kero
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amezindua mradi mkubwa wa maji Hai, mradi ulioondoa changamoto ya maji kwa wakazi wa wilaya hiyo. Na Edwine Lamtey Serikali imesema itaendelea kuhakikisha kuwa huduma ya maji nchini…
20 Machi 2024, 18:55
Madiwani wanawake watembelea miradi ya maji Mbeya
Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji kwa baadhi ya wakazi jijini Mbeya mamlaka ya maji safi imeendelea kujenga miradi ya maji ili kunusuru hali hiyo. Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya kwa kushirikiana…
20 Machi 2024, 5:27 um
Wananchi acheni kuwaficha wahalifu
Polisi Manyara yawataka wananchi kuripoti matukio ya kihalifu katika mitaa yao. Na George Agustine Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa katika kituo cha polisi kutokana na watu wanaofanya matukio ya kihalifu katika mitaa yao ili wachukuliwe hatua za…
20 Machi 2024, 17:27
Kyela:Mwalimu atuhumiwa kubaka mwanafunzi darasa la saba
Mwalimu mmoja mkazi wa kata ya njisi hapa wilayani kyela anatuhumiwa kumbaka motto mwenye umri wa miaka 14 huku akimuahidi kumuoa na kumpa fedha za kulia shuleni. Na Nsangatii Mwakipesile Katika hali isiyo ya kawaida mtu mmoja aliye tambulika kwa…
20 Machi 2024, 16:47
Afisa tarafa akerwa na watendaji wazembe
Unapoaminiwa na kupewa kufanya kazi fulani huna budi kuonyesha jitihada zako za utendaji kazi kwa weledi. Na mwandishi wetu Afisa Tarafa ya Ilongo Magdalena Sikwese ameagiza Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanatumia nafasi zao kwa kuwatumikia Wananchi vizuri…
20 Machi 2024, 15:18
Prof. Ndalichako alipa deni kwa wananchi Kasulu
Waziri ofisi ya waziri mkuu kazi , vijana , ajira na wenye ulemavu prof Joyce ndalichako amezindua magati matano ya maji katika mtaa wa nyachijima kata ya kigondo halmashauri ya mji wa kasulu ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha serikali inamtua…
20 Machi 2024, 13:09
Kyela:Kinanasi aungana na waislamu funga ya mwezi mtukufu
Wakati waumini wa dini ya kiislamu wliayani kyela wakiendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Kinanasi ametoa sukari na mitungi ya gesi kwa kila msikiti wilayani kyela. Na Masoud Maulid Mbunge wa…
20 Machi 2024, 11:52
Kyela:Ccm Itunge yang’ara kwa manoti ya Mwakyambile
Mkurugrnzi wa kampuni ya Convenant Edible Oil Ltd wazalishaji wa mafuta ya Kyela Cooking Oil Babylon Mwakyambile amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kata ya itunge kushikama ili kufanikisha ujenzi wa ofisi za chama hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Harambee ya…