Radio Tadio

Habari za Jumla

2 Aprili 2024, 10:46 mu

Ngorongoro yaguswa na bilioni 2.5 za TASAF Arusha

Serikali imekuwa ikiendelea na mpango wa kuzinusuru kaya masikini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF kwa halmashauri zote zilizo kwenye mpango huo, halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ikiwemo. Na mwandishi wetu. Jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimegawiwa na serikali kwa…

2 Aprili 2024, 09:56

Kivuko chakwamisha wakulima baada ya kusombwa na maji Buhigwe

Zaidi ya wakulima 700 wanaofanya shughuli za kilimo ng’ambo ya mto Ruwiche katika kata ya Kinazi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wameshindwa kuendelea na shughuli hiyo baada ya kivuko kinacho unganisha vijiji vya kinazi na nyamihanga kusombwa na maji kufuatia mvua…

1 Aprili 2024, 19:25

Wakristo onesheni upendo kwa watu wote

Upendo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kila mtu anapaswa kuonesha upendo pasipo kujali rika rangi wala kabila. Na Deus Mellah Wakristo wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuonesha upendo kwa watu wa makundi mbalimbali…

1 Aprili 2024, 2:30 um

Wanusurika kifo baada ya nyumba yao kubomoka-Ifakara

“Hakuna kifo wala majeruhi kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha baada ya nyumba kubomoka ambayo imeacha familia ya watu watatu kukosa makazi,ambapo kwa sasa wamehifadhiwa katika Jengo la Ccm kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara“-Afisa Mtendaji wa…

1 Aprili 2024, 13:28

Mwalimu wa kike, mwanafunzi wauawa Kiwanja Chunya

Mwalimu wa kike na mwanafunzi wameuawa wakati huo mtoto wa miaka miwili akijeruhiwa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja kata ya Mbugani wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanadaiwa kuuawa na…

1 Aprili 2024, 11:23 mu

Mvua yasababisha majanga Rungwe

Moja ya nyumba iliyonusulika kubomoka [picha na Lennox Mwamakula] Richa ya kuwepo kwa sera mipango miji nchini jamii imewaomba wasimamizi kuendelea kufuatia na kuratibu ili kufanikisha suala hilo RUNGWE-MBEYA Lennox Mwamakula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini wananchi wilayani…

30 Machi 2024, 19:19

Zimamoto Mbeya yaopoa mwili wa asiyefahamika mto Magege

Katika hali isiyo ya kawaida mwili wa mtu mmoja umekutwa katika mto Magege ukidhaniwa kutupwa na watu wasiojulikana baada ya kumfanyia kitendo kilichopelekea kupoteza maisha. Na Ezekiel Kamanga Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa…