Radio Tadio

Habari za Jumla

19 Aprili 2024, 3:16 um

Vitendo vya wizi vyaongezeka Rungwe

Jamii imeshauriwa kutoa taarifa kwenye viongozi wa maeneo yao bindi wanapo ona vyaashiria ya uwizi au uvunjifu wa amani kwenye maeneo yao. NA lennox Mwamakula Wananchi wa mtaa wa Mpindo uliopo kata ya Bulyaga wilayani  Rungwe wamekubaliana kuanzisha ulinzi shirikishi…

19 Aprili 2024, 11:49 mu

Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi

Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya…

Aprili 18, 2024, 11:10 um

ukaguzi wa miradi umefanyika na kamati ya fedha Makete

katika kutekeleza miradi ya maendeleo Makete katika sekta mbalimbali kamati ya Fedha utawala na mipango imefanya ukaguzi wa miradi kwalengo la kusukuma kasi ya miradi ikamilike kwa wakati Na Aldo Sanga. Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, leo April i,18,…

18 Aprili 2024, 14:02

Wakulima wa kahawa walia na ukosefu wa viwatilifu kakonko

Licha ya elimu ya namna ya kulima kilimo chenye tija kwa wakulima walio wengi nchini lakini bado kilio cha wakulima ni kuona serikali inaboresha upatikanaji wa pembejeo za kilimo. Na James Jovin, Kigoma Wakulima wa Zao la Kahawa Wilayani Kakonko…

17 Aprili 2024, 21:17

Rais Samia mgeni rasmi wakfu wa askofu mteule Moravian

Taasisi za dini ni miongoni mwa taasisi ambazo zimekuwa mchango mkubwa wa kutunza, kulinda amani ya taifa hali hiyo inathibitishwa na maridhiano yaliyopo baina ya taasisi za dini pamoja na serikali. Na Hobokela Lwinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…