Habari za Jumla
8 Aprili 2024, 20:02
Wachungaji kemeeni mambo ya ushoga unaoendelea duniani
“Tumieni elimu na maarifa mliyoyapata vyuoni kuuaminisha ulimwengu juu ya imani ya kumtegemea Mungu na siyo fedha.” Na Ezra Mwilwa Wachungaji waliopo masomoni Chuo Kikuu Teofilo Kisanji na Chuo cha Itengule Mbeya wametakiwa kuendelea kukemea maswala ya ushoga yanayoendelea duniani.…
8 Aprili 2024, 18:37
Wananchi watakiwa kuendelea kuitunza amani
Katika kuendelea na mfungo wa Ramadhan kwa dini ya Kiislamu tumeshuhudia makundi mbalimbali nchini yamekuwa yakifanya ibada ya kufuturisha maeneo mbalmbali nchini, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ameandaa chakula cha jioni katika mkoa wake. Na Dailes Razaro…
8 Aprili 2024, 6:02 um
Ulanga: Shule ya msingi Kivukoni yaendelea kufungwa kutokana na mafuriko
“Kama maji yatakauka kabla ya April 15 mwaka huu shule ifunguliwe na kama hayatakauka shule isifunguliwe” Ni maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga Saida Mahugu. Na Elias Maganga Wakati shule zote zikifunguliwa baada ya mapumziko ya…
8 Aprili 2024, 3:07 um
Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya Trillion Moja kutoka kwa Serikali
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko .Picha na Mtandao “Mafanikio ya Mkoa wa Katavi kwa miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt Samia“ Na Liliani Vicent -Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya…
8 Aprili 2024, 12:33 um
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi afuturisha
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…
8 Aprili 2024, 12:26 UM
Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia
mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…
6 Aprili 2024, 10:04 um
Ujenzi tuta la mto Mkundi latumia milioni 30 kuzuia mafuriko Dumila
Kutokana na mafuriko ya mara kwa mara yanayotokea wilayani Kilosa hususani katika kata ya Dumila na kupelekea kuathiri shughuli za kiuchumi serikali imedhamiria kumaliza changamoto hiyo kwa kutenga fedha zitakazotumika katika ujenzi wa tuta ambalo litakuwa suluhisho. Na Asha Madohola…
6 Aprili 2024, 12:33
Machinga Mbeya waitwa kujisajili
Katika hali isiyo ya kawaida Mkoa wa Mbeya wafanya Biashara wadogo maarufu kama Machinga bado hawajapatiwa vitambulisho vya kufanya biashara zao. Na Ezra Mwilwa Wafanya Biashara wadogo maarufu kama Machinga mkoa wa Mbeya wametakiwa kujitokeza kufanya usajili wa kupata vitambulisho…
6 Aprili 2024, 12:26 um
Kamishna wa uhifadhi atumia milioni 400 kulala hotelini Ngorongoro
Viongozi wa ngazi za chini waliochaguliwa na wananchi kutetea na kuibua kero zao wilayani Ngorongoro wameendelea kusimama na wananchi, hii ni baada ya diwani wa kata ya Alaitole tarafa ya Ngorongoro kuibua sakata la aliyekuwa kamishna wa mamlaka ya huifadhi…
5 Aprili 2024, 14:11
Wanafunzi kuchukuliwa hatua matumizi ya madawa ya kulevya Kigoma
Wanafunzi mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kutumia madawa ya kulevya na endapo atabainika yeyote anayetumia taarifa zitolewe kwa viongozi wao ili achukuliwa hatua za kisheria. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti Ubora wa Shule halmashauri ya wilaya ya Kigoma Gibson Ntamamilo wakati wa…