Habari za Jumla
15 Aprili 2024, 15:29
Akutwa amefariki bwawani Kigoma
Wananchi wakawa pembezone mwa bwawa la Katubuka kushuhudia mwili wa mtu aliyetwa amefariki Wananchi wameomba Serikali ya Mkoa wa Kigoma kwasaidia wananchi kuchukua hatua dhidi ya bwawa la Katubuka ambalo limeendelea kuchukua maisha ya watu kutokana na maji kuja na…
15 Aprili 2024, 12:37
Wananchi walalamikia ubovu wa stendi ya mabasi Kibondo
Wananchi pamoja na Madereva wa vyombo vya moto Wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya stendi ya mabasi wilayani humo, hali inayopeleeka kukwama vyombo vya moto vikiwa stendi hasa kipindi cha masika, na kuomba hatua za halaka zichukuliwe…
15 Aprili 2024, 12:33
Wanafunzi wafundwa kilimo cha kahawa kibondo
Katika kukabiliana na changamoto za utegemezi kwa wanafunzi baada ya kuhitimu ngazi mbalimbali za elimu nchini kituo kidogo cha utafiti wa kahawa Tanzania TACRI ofisi za kigoma kimeanza kutoa elimu ya kilimo cha kahawa kwa wanafunzi wa sekondari Wilayani Kibondo…
14 Aprili 2024, 20:34
Mlima Kawetere wameguka, mifugo yapotea, nyumba zabomoka
Wakati mvua zikiendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini na kasababisha madhara kwenye jamii, hali hiyo sasa imeukumba mkoa wa Mbeya baada ya mvua kunyesha na kusababisha mlima kumeguka na tope lake kuzingira makazi ya watu. Na Josea Sinkala,Mbeya Zaidi ya nyumba…
13 Aprili 2024, 11:16
Moravian Jimbo la Kusini yaendesha semina kwa watumishi wake
Wanasema elimu haina mwisho,unapopata fursa ya kupata elimu huna bidi kuikimbia na badala yake unapswa kuiwa mpokeaji ili kukuongezea ujuzi kwenye jambo unalolifanya au kulisimamia. Na Mwandishi wetu Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini limeendesha Semina ya pili kwa…
12 Aprili 2024, 8:21 um
RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini
Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…
11 Aprili 2024, 19:54
Mbunge Mwantona akabidhi mifuko 50 ya saruji shule ya msingi Kibwe
Baada ya uchakavu wa miundombinu katika shule ya msingi Kibwe Mbunge Mwantona ametoa msaada wa mifuko hamsini ya saruji wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya Na Ezra Mwilwa Mbunge wa Jimbo la Rungwe Mhe Anton Mwantona leo Amekabidhi mifuko 50 ya…
11 Aprili 2024, 18:00
Machifu Mbeya wachafukwa TARI kulima juu ya makaburi
Baadhi ya wananchi wa kata Ituha jijini Mbeya wamekerwa na kitendo cha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole kuvamia maeneo yao waliozika ndugui zao. Na Josea Sinkala Serikali wilayani Mbeya imeanza mchakato wa kumaliza mgogoro wa ardhi…
11 Aprili 2024, 16:18
Dkt. Tulia akabidhi nyumba, azindua kiwanda cha nafaka, atembelea athari za mafu…
Dkt Tulia amewataka wananchi na watu wenye unafuu wa maisha kuwagusa watu wenye uhitaji kila mmoja Kwa namna alivyojaliwa badala ya kubeza wale wanaotoa misaada kwenye jamii. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Spika wa Bunge…
11 Aprili 2024, 13:32
Fahamu faida, hasara za mionzi kwenye mwili wa binadamu-Kipindi
Na Hobokela Lwinga Kutokana na uelewa mdogo wa mionzi kwa wananchi, jamii imetakiwa kuipokea elimu ya mionzi pindi wataalum wanapofika kwenye maeneo yao kwani kufanya hivyo kutaepusha magonjwa yatokanayo na athari za mionzi ikiwemo saratani.