Habari za Jumla
24 Aprili 2024, 8:00 um
DC Sengerema aongoza wananchi kupanda miti miaka 60 ya muungano
Katika Zoezi hili la Kumbukizi ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar jumla ya miche 800 imepandwa katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Sengerema sambamba na kufanya usafi katika Eneo hilo. Na:Kelvin Philipo Wananchi Wilayani Sengerema Mkoani…
24 Aprili 2024, 19:42 um
CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini
Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…
24 Aprili 2024, 15:02
Ujasiriamali kuwaponza walimu Kibondo
Baadhi ya walimu katika shule ya msingi Boma wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa kushirikiana na kamati ya shule hiyo wanatuhumiwa kuwazuwia wajasiliamali wadogo kuuza bidhaa zao kando na shule hiyo na badala yake walimu ndio wamegeuka wafanyabiashara badala ya kufundisha…
24 Aprili 2024, 10:46 mu
Maswa wanogesha muungano kwa kutoa madawati
Wakuu wa Idara Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wamekabidhi Seti za Madawati Miatatu kwa ajili ya Shule za Msingi na Sekondari ili kupunguza Uhaba unaozikabiri shule hizo baada ya kujibana kwenye Bajeti za Matumizi ya Ofisi zao Na Nicholaus Machunda…
Aprili 23, 2024, 10:25 um
Wasichana 8,035 kupata chanjo ya saratani ya malango wa kizazi Makete
kupitia kampeni ya Kitafa ya chanjo ya HPV kwa wasichana wa umri miaka Jumla wa wasichana 8035 wa umri wa kuanzia miaka 9-14 wanatarajia kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ,zoezi ambalo litafanyika kwa siku tano kuanzia April…
23 Aprili 2024, 6:12 um
Dc Maswa awashukia viongozi wazembe
Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…
23 Aprili 2024, 17:20 um
Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP
lengo ni kuandaa jumla ya Mipango Shirikishi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 52 katika Wilaya ya Mvomero ambapo hadi kufikia sasa tayari mipango 48 imekwishaandaliwa Na Mwandishi Wetu Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na…
Aprili 23, 2024, 4:25 um
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 kupatiwa chanjo ya HPV
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 wilayani Ileje Mkoani Songwe wanatarajia kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi(HPV). Katika uzinduzi huo ambao umefanyika leo April 23,2024 katika shule ya sekondari Ileje na Mkuu wa wilaya hiyo Farida…
23 Aprili 2024, 4:08 um
Wasichana 21,094 kupatiwa chanjo ya HPV Rungwe
Halmshauri ya wilaya ya Rungwe imekusudia kuwalinda watoto wa kike wenye umri wa kuanzia miaka 9-14 kwa kuwapatia chanjo ya kupambana na saratani ya mlango wa kizazi (HPV) Na Judith Mwakibibi Mkuu wa wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu amewataka maafisa…
23 Aprili 2024, 16:06
“Kila wiki zaidi ya matukio 10 ya ukatili Buhigwe”
Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.