Radio Tadio

Habari za Jumla

11 July 2025, 7:02 pm

Nini sababu ya wanawake kushindwa kujitokeza kugombea?

Je nini hasa sababu inayopelekea wanawake mkoani Geita kuwa na mwitikio mdogo wa kujitokeza katika kugombea nafasi za uongozi?? Karibu kusikiliza makala maalumu ambayo imeangazia suala hili kwa kina zaidi. Muandaaji ni Ester Mabula na Amon Mwakarobo

9 July 2025, 09:51

Wananchi wapewa elimu kujikinga na majanga ya moto Kigoma

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigma limewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kujitokeza katika maeneo yao. Na Esperance Ramadhan Baadhi ya Wananchi Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kuzima moto pindi linapotokea tatizo…

8 July 2025, 14:47

CUF yawasha moto Pemba wagombea wa maslahi binafsi kupigwa chini

Na Is-haka Mohammed. Chama cha Wananchi CUF kimedhamiria kufanya tathmini ya kina ya wagombea watakaosimamishwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, kwa lengo la kuhakikisha wanachaguliwa viongozi wenye sifa ya uzalendo na utayari wa kuwatumikia wananchi, si kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika…

7 July 2025, 7:42 pm

DC Mpanda wekeni akiba ya chakula

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Bei zimepanda niwaombe tukumbuke kuweka akiba ya chakula” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wananchi kutunza chakula hususani katika kipindi hiki cha mavuno ambapo…

4 July 2025, 16:18

Simiyu:Matukio 92 ya ajali migodini yaacha vilio

“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu lazima tuendelee kutoa elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kupunguza au kumaliza matukio ya wachimbaji wadogo maana kila kukicha tunaona vifo,majeruhi na ulemavu wa kudumu hivyo mamlaka husika zinao wajubu mkubwa…

4 July 2025, 3:40 pm

Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni

Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…

2 July 2025, 6:58 pm

Mwenge wa uhuru kukagua miradi 8 Babati mji

Jumla ya miradi nane yenye thamani ya sh Bilion 3.29 inatarajiwa kukaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru kwenye halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara ambapo utakimbizwa julai 15 mwaka huu. Na Mzidalfa…