Habari za Jumla
29 June 2025, 4:17 pm
Miaka minne bila huduma ya maji kwa pengo
Ni zaidi ya miaka minne katika kijiji cha kwa pengo shehia ya Sizini wameendelea kukosa huduma ya maji safi na salama ambapo ni jambo la msingi na muhimu kwa matumizi ya binadamu ya kila siku . Na Fatma Faki WANANCHI…
29 June 2025, 00:29
Wanawake wenye ulemavu wahamasishwa kushiriki katika mchakato wa ADP
Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wanawake kuelewa Mkataba wa Afrika wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol – ADP) na kujifunza mbinu mbalimbali za kuutetea. Na Mary Julius Wanawake wenye ulemavu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni…
28 June 2025, 21:52
UWT yataka wanawake kuchukua hatua uchaguzi mkuu
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza mchakato wa utoaji fomu za kuwania nafasi mbali mbali kupitia kura za maoni ndani ya chama . Na Is-haka MohamedMakamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wanawake UWT Tanzania Zainab Khamis Shomar amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi…
28 June 2025, 10:08 am
Shairi: Waweza panda Jahazi ili kwangu unijie
27 June 2025, 13:24
Lindi yaadhimisha siku ya wajane kimkoa
Na khadja Omari Mkuu wa Wilaya ya Lindi Bi Victoria Mwanziva, amesema Serikali ya awamu ya sita inatambua na itaendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wajane kama ilivyo kwa makundi mengine, kuwapa stahiki zao ikiwa pamoja na utatuzi wa matatizo…
26 June 2025, 11:28 am
Rushwa ya ngono inavyochangia Wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi
Karibu usikilize makala maalum inayohusu Rushwa ya ngono inavyopelekea wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu. Na Hawa Rashid Makala hii imezungumza na viongozi wa takukuru, wananchi pamoja viongozi wa vyama vya siasa.
26 June 2025, 8:47 am
Dereva bajaji Katavi auwawa
Mahali ulipopumzishwa mwili wa Silavius. Picha na Leah Kamala “Ni tukio ambalo haulitegemei linatokea katika utafutaji” Na Leah Kamala Kijana mmoja mwendesha pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama bajaji kata ya Nsemulwa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Silavius Nestory Kameme…
25 June 2025, 12:52 pm
Wananchi tumieni mishati mbadala kuunga mkono juhudi za Serekali.
Jamii nchini imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa ajili ya kutunza mazingira na kulinda afya za watumiaji. Hayo yameelezwa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ismail Ali Ussi, wakati akitoa salamu za mwenge katika shehia ya Mkanyageni sambamba na kukabidhi…
18 June 2025, 14:43
Bifu la Mpina na Bashe, Rais Samia apigilia msumari
Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…
17 June 2025, 17:34
Kiwanda cha Bio-sustain kuzalisha ajira zaidi ya 800 Wilayani Meatu
Maelekezo ya Mh Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wizara inatengeneza Mazingira mazuri ya Uwekezaji na ufanyaji Biashara Imeelezwa kuwa zaidi ya ajira 350 za moja kwa moja kwa wazawa na zingine 800 zisizo za moja kwa moja zitazalishwa kutoka kiwanda …