Radio Tadio

Habari za Jumla

16 Febuari 2023, 2:44 um

Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato

Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…

14 Febuari 2023, 5:41 UM

Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao

Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…

13 Febuari 2023, 4:32 um

UZIKWASA yapongezwa kwa hili 2023

Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wa mazingira wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuanza kutoa mafunzo ya masuala ya mabadiliko ya tabia nchi pamoja na utunzaji wa mazingira wilayani humo. Kuanzia Februari 7 mpaka 10  shirika hilo…

10 Febuari 2023, 1:52 um

Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi

Ibada ya mazishi ya  mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO  BEATRICE JOSEPH MAHANGI  wa  kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika   hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo  cha redio UFR …

Febuari 6, 2023, 3:07 um

Madereva wa Daladala Njombe wagoma

Madereva wa daladala #Njombe mjini, wamesitisha huduma ya usafirishaji kwa kipindi kisichojulikana baada ya madereva wa bajaji kuruhusiwa kusafirisha abiria katika maeneo yote ndani ya Halmashauri ya mji wa Njombe. Katibu Tawala wilaya ya Njombe Emmanuel George akizungumza na Madereva Daladala Njombe Wamesema kuwa…

1 Febuari 2023, 2:38 um

Bilioni 4.2 Kutengeneza  na  Kukarabati  Barabara wilayani Maswa

Wakala  wa   Barabara  za  Mjini  na  Vijijini ( TARURA)  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  imepanga  kutumia   Zaidi  ya  Tsh, Bilioni 4.22  kwa  mwaka  wa  Fedha 2023/ 2024  katika   Kukarabati na  Kutengeneza  Mtandao  wa  Barabara.. Akiwasilisha  Taarifa  ya  Makadirio  hayo  ya  Fedha…

30 Januari 2023, 4:29 um

Takukuru yatambulisha Programu ya ”TAKUKURU-Rafiki’

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Maswa Imezidua na Kutambalisha kwa Madiwani Programu ya TAKUKURU- RAFIKI ikiwa na lengo la Kuongeza Ushiriki wa Kila Mwananchi na Wadau mbalimbali katika kukabiliana na tatizo la Rushwa katika Utoaji wa Huduma…