Habari za Jumla
16 Febuari 2023, 2:44 um
Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…
14 Febuari 2023, 5:41 UM
Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao
Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…
13 Febuari 2023, 4:32 um
UZIKWASA yapongezwa kwa hili 2023
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wa mazingira wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuanza kutoa mafunzo ya masuala ya mabadiliko ya tabia nchi pamoja na utunzaji wa mazingira wilayani humo. Kuanzia Februari 7 mpaka 10 shirika hilo…
10 Febuari 2023, 4:24 um
Zoezi la uondoaji Mifugo limeanza katika Bonde la Mto Kilombero
Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…
10 Febuari 2023, 1:52 um
Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi
Ibada ya mazishi ya mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO BEATRICE JOSEPH MAHANGI wa kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo cha redio UFR …
Febuari 6, 2023, 3:07 um
Madereva wa Daladala Njombe wagoma
Madereva wa daladala #Njombe mjini, wamesitisha huduma ya usafirishaji kwa kipindi kisichojulikana baada ya madereva wa bajaji kuruhusiwa kusafirisha abiria katika maeneo yote ndani ya Halmashauri ya mji wa Njombe. Katibu Tawala wilaya ya Njombe Emmanuel George akizungumza na Madereva Daladala Njombe Wamesema kuwa…
3 Febuari 2023, 21:55 um
Manispaa ya Mtwara yapitisha makisio ya bajeti ya sh Bil 30.1 kwa mwaka 2022/202…
Baraza la madiwani Manispaa ya Mtwara Mikindani, limepitisha makisio ya bajeti ya shilingi Bilioni 30.1 kwa mwaka 2022/2023. Na Gregory Millanzi. Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara- Mikindani mkoani Mtwara wameridhia kupitisha bajeti ya shilingi Bilioni 30.132 kwa mwaka…
3 Febuari 2023, 3:49 UM
Usalama wa mwanafunzi katika kufikia mpango wa shule salama
Mazungumzo kujadili mpango wa Shule salama
1 Febuari 2023, 2:38 um
Bilioni 4.2 Kutengeneza na Kukarabati Barabara wilayani Maswa
Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini ( TARURA) Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imepanga kutumia Zaidi ya Tsh, Bilioni 4.22 kwa mwaka wa Fedha 2023/ 2024 katika Kukarabati na Kutengeneza Mtandao wa Barabara.. Akiwasilisha Taarifa ya Makadirio hayo ya Fedha…
30 Januari 2023, 4:29 um
Takukuru yatambulisha Programu ya ”TAKUKURU-Rafiki’
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilayani Maswa Imezidua na Kutambalisha kwa Madiwani Programu ya TAKUKURU- RAFIKI ikiwa na lengo la Kuongeza Ushiriki wa Kila Mwananchi na Wadau mbalimbali katika kukabiliana na tatizo la Rushwa katika Utoaji wa Huduma…