Habari za Jumla
9 Machi 2023, 11:04 MU
Mtandao wa Askari wanawake Tanzania na watoto wenye usonji
Picha na Lilian Martin Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani umoja wa Majeshi wilayani Masasi kupitia mtandao wa Askari wanawake wameadhimisha siku ya wanawake Duniani Kwa kuwa pamoja na watoto wenye mtindio wa ubongo na usonji katika shule ya…
3 Machi 2023, 9:43 UM
Mbunge awapongeza Kwa ubunifu week ya elimu Masasi
katika siku ya maadhimisho ya week ya elimu Kwa Halmashauri ya mji Masasi yaliyohudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na secondary zilizopo katika halmashauri hiyo pichani ni wanafunzi wakionyesha burudani. sambamba na hayo katika maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na Mh…
27 Febuari 2023, 3:33 um
Bahi wajipanga kutinga tano bora matokeo darasa la saba kitaifa
Mheshimiwa Godwin Gondwe akiongoza wadau wa elimu wilayani Bahi katika hafla ya kufanya tathmini ya elimu na kutoa tuzo kwa shule, walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma. Na Benard Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaongoza wadau…
27 Febuari 2023, 12:27 um
Wanawake wenye Ulemavu Waiangukia Serikali
Kutokana na changamoto wanazokumbana nazo watoto wenye ulemavu wawapo shuleni. Na Fabiola Bosco. Baadhi ya wazazi wenye watoto walio na ulemavu wameiomba serikali kuwakumbuka kwa kuwapa usaidizi wa namna ya kuwahudumia Watoto wenye ulemavu wawapo shuleni pamoja na upande wa…
21 Febuari 2023, 4:55 um
Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…
16 Febuari 2023, 2:44 um
Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…
14 Febuari 2023, 5:41 UM
Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao
Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…
13 Febuari 2023, 4:32 um
UZIKWASA yapongezwa kwa hili 2023
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wa mazingira wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuanza kutoa mafunzo ya masuala ya mabadiliko ya tabia nchi pamoja na utunzaji wa mazingira wilayani humo. Kuanzia Februari 7 mpaka 10 shirika hilo…
10 Febuari 2023, 4:24 um
Zoezi la uondoaji Mifugo limeanza katika Bonde la Mto Kilombero
Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…
10 Febuari 2023, 1:52 um
Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi
Ibada ya mazishi ya mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO BEATRICE JOSEPH MAHANGI wa kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo cha redio UFR …