Habari za Jumla
4 Julai 2023, 11:38 mu
Jela miaka 30 kwa ubakaji wa mtoto
Mahakama ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mahmoud Idi (54) mkulima mkazi wa kijiji cha Kigarama kata ya Kanyigo wilayani humo kwa kuthibitika pasipo na shaka kuwa alimbaka mtoto wa miaka minane kijijini hapo…
4 Julai 2023, 11:37 mu
Mawakala wa usafirishaji waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
28 Juni 2023, 14:19
Anaswa kujiunganishia maji kinyemela Kahama
Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) limemkamata Bwana Swamweli Samson mkazi wa mtaa wa Kihulya Nyakato kata ya Nyasubi kwa tuhuma za kuiba maji na kumwagilia bustani.…
26 Juni 2023, 17:09
Mashirika yasiyo ya kiserikali yatakiwa kutumia fursa zinazojitokeza
Asasi zaidi ya 50 mkoani Dodoma zimenufaika na mafunzo hayo ambayo yanalega kuongeza uelewa na namna ya kujua kujitafutia rasilimali. Na Mindi Joseph. Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yametakiwa kutumia fursa zinazojitokea ili kuifikia jamii kwa ukaribu kupitia utekelezaji wa…
15 Juni 2023, 11:21
Bunda: Nyamakokoto yapiga marufuku wenye nyumba kupangisha bila barua ya utambul…
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe EMANUEL MALIBWA amepiga marufuku kwa wenye nyumba kuwapangisha watu bila kuwa na uthibitisho wa barua alikotoka. Akizungumza katika kikako cha hadhara mtaa wa barabara ya Ukerewe halmashauri ya Mji…
15 Juni 2023, 9:19 mu
MAKALA:Jinsi uchangiaji damu ulivyo na faida kwako mchangiaji.
Kuchangia damu kunafaida si kwa wale wanaokwenda kusaidiwa kwa ile damu uliyochangia lakini pia kwako mchangiaji,kwani unapata namba na cheti cha kuonesha kuwa ni mchangiaji damu kitakachokufanya utambulike kama mchangiaji damu. Na Isack Dickson Kila tarehe 14 ya kila mwaka…
10 Juni 2023, 10:53 mu
Livingstone Byekwaso:Tokomezeni kwa vitendo unyanyapaa kwa wahanga wa marburg
Katibu mkuu wa shirika la Karagwe Media Association (KAMEA) linalomiliki Radio Karagwe mkoani Kagera Bw. Livingstone Byekwaso amewaasa wandishi wa habari mkoani hapa na wasanii wa fani mbalimbali kutekeleza kwa vitendo mipango yao ya kupambana na vitendo vya unyanyapaa na…
9 Juni 2023, 07:43
Zitto: Bei ya pamba iendane na gharama za uzalishaji
Kufuatia kilio cha wakulima wa zao la pamba nchini hususani katika bei ya pamba, chama cha ACT-Wazalendo kimewaelekeza wachambuzi wake kuangalia iwapo bei hiyo inaweza kusaidia mkulima kurejesha gharama zake alizozitumia katika kilimo. Hayo yamebainishwa na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto…
7 Juni 2023, 5:40 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya usalama wa chakula diniani mkoa wa katavi ni miongoni mwa mikoa Tanzania inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi licha ya kukabiliwa na changamoto ya utapia mlo na udumavu kwa watoto. Kufuatia siku…
7 Juni 2023, 14:12
Zito Kabwe kuunguruma Musoma
Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…