Radio Tadio

Habari za Jumla

7 Juni 2023, 5:40 um

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya usalama wa chakula diniani mkoa wa katavi ni miongoni mwa mikoa Tanzania inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi licha ya kukabiliwa na changamoto ya utapia mlo na udumavu kwa watoto. Kufuatia siku…

7 Juni 2023, 14:12

Zito Kabwe kuunguruma Musoma

Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…

7 Juni 2023, 10:54 mu

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI Watu wawili  Mkoani Katavi wamehukumiwa kifungo cha Miaka Mitatu kila mmoja jela kwa tuhuma za kuua bila kukusudia huku wengine Wanne wakienda Jela kwa makosa ya Wizi. Mwandishi wa Mpanda Radio Henry Mwakifuna amefika ofisi za Kamanda wa Polisi…

06/06/2023, 18:11

Jamii yaomba elimu utambuzi bidhaa zilizothibitishwa na TBS

Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi pamoja na wafanyabiashara jijini Dodoma wameiomba serikali pamoja na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutambua bidhaa kama imethibitishwa na TBS. Dodoma Tv imefanya mahojiano na…

2 Juni 2023, 10:32 um

Katibu CCM Karagwe: Leeni watoto kimaadili

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Karagwe Bw. Anathory Nshange amewataka wazazi na walezi kulea watoto wao katika maadili ya kitanzania na kiimani Bw. Nshange ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Karaduce wilayani Karagwe…

2 Juni 2023, 10:17 um

Homa ya marburg Kagera yatokomezwa

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameutangazia ulimwengu kuwa Kagera na Tanzania ni salama dhidi ya ugonjwa wa marburg na kwamba hakuna tena ugonjwa huo. Pamoja na hayo waziri Ummy pia amewashukuru watumishi wa wizara ya afya pamoja na mashirika ya…

1 Juni 2023, 10:18 mu

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Chama cha ACT Wazalendo kimewataka wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kufanya mabadiliko ya kiuongozi ifikapo mwaka 2025 ili kuepukana na changamoto mbalimbali za kimaisha ambazo wamekuwa wakikutana nazo. Hayo yamezungumzwa na uongozi wa chama cha ACT katika…