Radio Tadio

Habari za Jumla

28 Disemba 2023, 18:00

Rungwe waandaa bajeti ya mwaka 2024/25

Na mwandishi wetu Maandalizi ya Bajeti ya Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa mwaka wa fedha 2024/25 yameendelea katika ukumbi wa kituo cha Kilimo Ilenge kata ya Kyimo. Pamoja na mambo mengine Watalamu wameendelea kuchakata vipaumbele vitakavyosaidia kuleta maendeleo endelevu…

26 Disemba 2023, 3:59 um

Matukio makubwa Ngorongoro

Matukio makubwa kwa wilaya ya Ngorongoro kwa wiki mbili zilizopita na yaliyowagusa wananchi walio wengi wilayani hapa ni pamoja na ujio wa mkuu mpya wa wilaya wengi wakisubiri kuona utendaji wake wa kazi. Na Edward Shao. Haya hapa ni matukio…

19 Disemba 2023, 8:32 um

(KDU) LTD Kukusanya zaidi ya Sh. Mil 86 kwa Mwaka 2024

Karagwe Na David Geofrey Kayanga Duka la Ushirika (KDU) L.T.D inakusuduia kukusanya zaidi ya shilingi milioni 86 kutoka katika  vyanzo mbalimbali vya mapato kwa mwaka 2024 na kuendeleza miradi yao. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu…

17 Disemba 2023, 10:59 mu

Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii

katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…

16 Disemba 2023, 10:25 um

Arusha City yafungashiwa virago ASFC

Niwashukuru sana vijana wangu wameonyesha kiwango kizuri dhidi ya Singida maana wao wametuzidi vitu vingi Joel Headman. Arusha Unaweza kusema ni mkono wa bye bye ulioikuta timu ya mpira wa miguu ya Arusha City baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya…

16 Disemba 2023, 12:15 mu

Wananchi watoa maoni mseto kwa wavaa miwani bila kupima

Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa  madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…

13 Disemba 2023, 16:48

Mwinuka: Asante serikali Mwangany’anga imekuwa jicho la Kyela

Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…