Radio Tadio

Elimu

9 Agosti 2023, 13:59

Wazazi, walezi Tumbatu watakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu

Uwepo wa mashirikiano kati ya wazazi na walezi kutaongeza idadi ya ufaulu. Na Latifa Ali Wazazi na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika  skuli ya msingi “B” kisiwani tumbatu wameatakiwa  kushirikiana na walimu wa skuli hiyo  ili kuhakikisha  wanafunzi wanasoma  na…

9 Agosti 2023, 8:32 mu

Redio za kijamii Zanzibar kupelekwa kidijitali

Radio za kijamii Zanzibar wamepatiwa mafunzo maalum ya kuweka habari na vipindi kwenye mtandao (Radio Portal) ili kusomwa na kusikika duniani kote. Waandishi wa habari redio za kijamii wametakiwa kutumia mtandao ili kukuza taaluma na kuongeza wasomaji na wasikilizaji. Wito…

9 Agosti 2023, 7:03 mu

Lugonesi, Kasekese wajengewa uwezo

TANGANYIKA Kamati za shule ya msingi Lugonesi na shule ya msingi Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi zimejengewa uwezo wa namna ya kusimamia Rasilimali za shule pamoja na utolewaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Akizungumza katika kikao cha mafunzo hayo afisa…

7 Agosti 2023, 12:48 um

Maswa: Walimu Simiyu kunufaika na mafunzo ya elimu jumuishi

Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia  kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…

7 Agosti 2023, 11:14 mu

RC Mattar aiomba Jukuruza kutoa elimu dhidi ya rushwa

Baada ya wajumbe wa Jumuiya ya Kupinga Rushwa na Uhujumu Uchumi JUKURUZA kufika ofisi Mkoa Kusini Pemba kujitambulisha, Mkuu wa Mkoa huo Mattar Zahor Masoud ameiomba jumuiya hiyo kutoa elimu kwa wananchi ili kuondoa rushwa nchini. Na Amina Masoud. Mkuu…

04/08/2023, 13:02

Elimu maalum Namakonde wapewa vitanda, magodoro waishi shule

Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…