Elimu
9 Agosti 2023, 7:03 mu
Lugonesi, Kasekese wajengewa uwezo
TANGANYIKA Kamati za shule ya msingi Lugonesi na shule ya msingi Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi zimejengewa uwezo wa namna ya kusimamia Rasilimali za shule pamoja na utolewaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Akizungumza katika kikao cha mafunzo hayo afisa…
8 Agosti 2023, 11:51 mu
Mkaguzi wa polisi jamii amwaga vifaa kwa wanafunzi wanaojitayarisha na mitihani
Wanafunzi wa skuli za Pandani msingi na sekondari wakipokea vifaa ambavyo vitawasaidia kwa ajili ya kujisome baada Na Essau Kalukubila Wanafunzi wa skuli ya msingi na sekondari Pandani pamoja na sekondari Wete ambao wanajitayarisha na mitihani yao ya taifa, wamepatiwa…
8 Agosti 2023, 10:59 MU
WAKIHABIMA waitaka jamii kuibua taarifa za vitendo vya kikatili
Afisa vijana kutoka idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara Ebeneza Wisso, ametoa rai kwa wasaidizi wa kisheria kutoka shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na usaidizi wa kisheria katika halmashauri hiyo WAKIHABIMA, kujikita katika jamii…
7 Agosti 2023, 12:48 um
Maswa: Walimu Simiyu kunufaika na mafunzo ya elimu jumuishi
Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…
7 Agosti 2023, 11:14 mu
RC Mattar aiomba Jukuruza kutoa elimu dhidi ya rushwa
Baada ya wajumbe wa Jumuiya ya Kupinga Rushwa na Uhujumu Uchumi JUKURUZA kufika ofisi Mkoa Kusini Pemba kujitambulisha, Mkuu wa Mkoa huo Mattar Zahor Masoud ameiomba jumuiya hiyo kutoa elimu kwa wananchi ili kuondoa rushwa nchini. Na Amina Masoud. Mkuu…
4 Agosti 2023, 2:33 um
Namba 116 yasaidia kwa kiasi kikubwa utoaji wa taarifa za ukatili
Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…
4 Agosti 2023, 1:02 um
Elimu maalum Namakonde wapewa vitanda, magodoro waishi shule
Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…
3 Agosti 2023, 3:23 um
Wenye ulemavu na wanahabari wakutanishwa elimu kupinga ukatili Mara
Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…
27 Julai 2023, 8:25 um
RC Mara: Walimu zingatieni sheria sasa hivi dunia ni ya utandawazi
Walimu zingatieni sheria kwa sasa dunia ni ya utandawazi watu wanarekodi kila kitu na kutuma kwenye mitandao. Na Thomas Masalu Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka walimu kuzingatia sheria katika utekelezaji wao wa majukumu ili kuondoa…
27 Julai 2023, 4:40 um
Atuhumiwa kumbaka, kumpa ujauzito mwanae wa kambo
Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…