Elimu
9 Agosti 2023, 13:59
Wazazi, walezi Tumbatu watakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu
Uwepo wa mashirikiano kati ya wazazi na walezi kutaongeza idadi ya ufaulu. Na Latifa Ali Wazazi na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika skuli ya msingi “B” kisiwani tumbatu wameatakiwa kushirikiana na walimu wa skuli hiyo ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma na…
9 Agosti 2023, 8:32 mu
Redio za kijamii Zanzibar kupelekwa kidijitali
Radio za kijamii Zanzibar wamepatiwa mafunzo maalum ya kuweka habari na vipindi kwenye mtandao (Radio Portal) ili kusomwa na kusikika duniani kote. Waandishi wa habari redio za kijamii wametakiwa kutumia mtandao ili kukuza taaluma na kuongeza wasomaji na wasikilizaji. Wito…
9 Agosti 2023, 7:03 mu
Lugonesi, Kasekese wajengewa uwezo
TANGANYIKA Kamati za shule ya msingi Lugonesi na shule ya msingi Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi zimejengewa uwezo wa namna ya kusimamia Rasilimali za shule pamoja na utolewaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Akizungumza katika kikao cha mafunzo hayo afisa…
8 Agosti 2023, 11:51 mu
Mkaguzi wa polisi jamii amwaga vifaa kwa wanafunzi wanaojitayarisha na mitihani
Wanafunzi wa skuli za Pandani msingi na sekondari wakipokea vifaa ambavyo vitawasaidia kwa ajili ya kujisome baada Na Essau Kalukubila Wanafunzi wa skuli ya msingi na sekondari Pandani pamoja na sekondari Wete ambao wanajitayarisha na mitihani yao ya taifa, wamepatiwa…
08/08/2023, 10:59
WAKIHABIMA waitaka jamii kuibua taarifa za vitendo vya kikatili
Afisa vijana kutoka idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara Ebeneza Wisso, ametoa rai kwa wasaidizi wa kisheria kutoka shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na usaidizi wa kisheria katika halmashauri hiyo WAKIHABIMA, kujikita katika jamii…
7 Agosti 2023, 12:48 um
Maswa: Walimu Simiyu kunufaika na mafunzo ya elimu jumuishi
Wizara ya Elimu,Sayansi na Technolojia kupitia Taasisi ya Elimu Nchini imewawezesha Walimu wapatao (50) kutoka shule za msingi 50 kupata mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji jumuishi. Na,Alex Sayi. Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku 4 ukumbi wa Halmashauri ya…
7 Agosti 2023, 11:14 mu
RC Mattar aiomba Jukuruza kutoa elimu dhidi ya rushwa
Baada ya wajumbe wa Jumuiya ya Kupinga Rushwa na Uhujumu Uchumi JUKURUZA kufika ofisi Mkoa Kusini Pemba kujitambulisha, Mkuu wa Mkoa huo Mattar Zahor Masoud ameiomba jumuiya hiyo kutoa elimu kwa wananchi ili kuondoa rushwa nchini. Na Amina Masoud. Mkuu…
4 Agosti 2023, 14:33
Namba 116 yasaidia kwa kiasi kikubwa utoaji wa taarifa za ukatili
Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…
04/08/2023, 13:02
Elimu maalum Namakonde wapewa vitanda, magodoro waishi shule
Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…
3 Agosti 2023, 15:23
Wenye ulemavu na wanahabari wakutanishwa elimu kupinga ukatili Mara
Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…