Elimu
12 Septemba 2023, 11:11
Ukosefu wa mwalimu wa kike wawa kero kwa wanafunzi shule ya msingi Ilota Mbeya
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
12/09/2023, 10:58
Jinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio
Wandishi wa habari nyanda za juu kusini,wametakiwa kutumia Radio mtandao ili kufikisha habari kwenye jamii.na kuweza kuwafikia wadau kutoka sehemu mbalimbali nje na ndani ya Tanzania pamoja na kujipambambanua katika masoko ili kuinua uchumi kwenye vyombo vyao vya habari Na…
12 Septemba 2023, 9:49 mu
Wahitimu wa mafunzo ya udereva mkoani Katavi watakiwa kufuata sheria za b…
John Shindika Askari wa usalama barabarani kutoka kitengo cha elimu mkoa wa Katavi akitoa mafunzo ya udereva. Tumieni vyema mafunzo mliopatiwa mkiwa darasani Na John Benjamini -Mpanda Wahitimu wa mafunzo ya udereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kufuata…
12 Septemba 2023, 7:27 mu
Waandishi wa habari nyanda za juu kusini wanufaika na mafunzo ya Tadio
Mafunzo haya yatawasaidia waandishi wa habari kuwa na uelewa zaidi kidigital kwa kuchapisha Habari ,Makala na kufikisha elimu mbalimmbali kupitia radio tadio Na Anna Millanzi – Mbeya Waandishi wa Habari wa radio jamii nyanda za juu kusini wamepatiwa mafunzo ili…
11 Septemba 2023, 23:27
TADIO yawanoa wahariri, wataalam wa kidijitali mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Katika kuimarisha na kupunguza changamoto zinazoikabili sekta ya habari nchini,TADIO imeendelea kuvijengea uzoefu vyombo vya habari ili kuondokana na mifumo ya analojia na kwenda kidijitali kulingana na mabadiliko ya ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wamiliki wa vyombo vya habari nchini wametakiwa…
Septemba 11, 2023, 9:46 mu
Viongozi wa shule wapewa mafunzo ya manunuzi
Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Nyasa wapatiwa mafunzo kuhusu manunuzi ya umma. Na Sichali Netho Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Septemba 9, 2023 imetoa mafunzo ya mfumo wa manunuzi wa umma (NeST) kwa wataalam kutoka shule za…
11 Septemba 2023, 7:54 mu
Wanafunzi 6000 Mpanda wataraji kuhitimu darasa la saba
MPANDA Zaidi ya Wanafunzi 6000 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba Manispaa ya Mpanda katika Mtihani Unaotarajiwa kufanyika Sept 13 na 14 mwaka 2023. Akizungumza na Mpanda Radio fm Afisa Elimu Shule za Msingi Manispaa ya Mpanda Godfrey…
Septemba 10, 2023, 2:25 um
Wanafunzi 12,120 Manispaa ya Kahama kufanya mtihani wa taifa juma lijalo
Katika mtihani huo wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Manispaa ya Kahama ni kumi ambao wanajumuishwa na wenye uoni hafifu. Watahiniwa 12,120 wanaotarajiwa kuhitimu elimu ya msingi katika halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wanatarajiwa kufanya mtihani wa kitaifa wiki…
10/09/2023, 14:19
Wilaya ya Kusini Unguja yaomba nyumba za walimu
Na Mary Julius. Afisa Elimu Mkoa wa Kusini Unguja Mohammed Haji Ramadhani ameiomba wizara ya elimu kuwajengea nyumba walimu wa mkoa huo ili waweze kufika kwa wakati maskulini. Afisa elimu ameyasema hayo katika hafla ya kugawa taulo za kike zilizoteolewa…
10/09/2023, 13:47
Wanafunzi wa kiume wilaya ya Kati Unguja wapewa mbinu kufikia ndoto zao
Na. Hakika Mwinyi Afisa Elimu wa Wilaya ya Kati Somoe Said amewataka wanafunzi wa kiume kujiepusha na vishawishi ili kuweza kutimiza malengo waliyojiwekea. Afisa Elimu ameyasema hayo katika ghafla ya kuwatunuku vyeti wanafunzi Wakiume 20 walio shiriki katika marathon iliyo…