Radio Tadio

Elimu

Septemba 11, 2023, 9:46 mu

Viongozi wa shule wapewa mafunzo ya manunuzi

Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Nyasa wapatiwa mafunzo kuhusu manunuzi ya umma. Na Sichali Netho Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Septemba 9, 2023 imetoa mafunzo ya mfumo wa manunuzi wa umma (NeST) kwa wataalam kutoka shule za…

11 Septemba 2023, 7:54 mu

Wanafunzi 6000 Mpanda wataraji kuhitimu darasa la saba

MPANDA Zaidi ya Wanafunzi 6000 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba Manispaa ya Mpanda katika Mtihani Unaotarajiwa kufanyika Sept 13 na 14 mwaka 2023. Akizungumza na Mpanda Radio fm Afisa Elimu Shule za Msingi Manispaa ya Mpanda Godfrey…

10 Septemba 2023, 2:19 um

Wilaya ya Kusini Unguja yaomba nyumba za walimu

Na Mary Julius. Afisa Elimu Mkoa wa Kusini Unguja Mohammed Haji Ramadhani ameiomba wizara ya elimu kuwajengea nyumba walimu wa mkoa huo ili waweze kufika kwa wakati maskulini. Afisa elimu ameyasema hayo katika hafla ya kugawa taulo za kike zilizoteolewa…

7 Septemba 2023, 5:07 um

Asma Mwinyi arejesha matumaini kwa wanafunzi wa kike Zanzibar

Na Mary Julius Mkurugenzi wa Asma Mwinyi Foundation, Asma Ali Mwinyi amesema taasisi hiyo inaandaa mkakati wa kuweka mazingira rafiki kwa watoto wa kike kwa kuwajengea vyoo maskulini ili kuondoa changamoto zote zinazowakumba  wanapo kuwa katika hedhi. Asma ameyasema hayo…