Biashara
3 November 2022, 5:35 am
Diwani Mpanda Hotel Aomba Kurejeshwa kwa Utaratibu wa Maegesho Mpanda Hotel.
MPANDA Diwani wa kata ya Mpanda Hotel Hamis Misigalo ameiomba halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kurejesha utaratibu wa Magari ya abiria kusimama dakika tatu katika kituo cha maegesho ya magari Mpanda Hotel. Akizungumza katika Mkutano wa Tatu wa baraza la…
20 October 2022, 5:11 am
Wafanyabiashara Kilimahewa Waomba Kuboreshewa Miundombinu
MPANDA Wafanyabiashara wa soko la kilimahewa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameuomba uongozi wa halamshauri hiyo kuboresha miundombinu katika soko jipya la kawalioa. Wakizungumza na Mpanda fm wafanyabiashara hao wamesema kuwa licha ya kuwepo kwa taarifa ya kuhamia katika soko…
14 October 2022, 5:51 am
Wajasiriamali Walalamikia Wateja Wasiowaaminifu
MPANDA Wajasiriamali Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia Tabia isiyofaa inayofanywa na baadhi ya wateja ya kuchukua bidhaa kwa mkopo na kuchelewa kuwalipa jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo yao kiuchumi. Wakitoa malalamiko hayo wakati wakizungumza na kituo hiki wajasiliamali…
13 October 2022, 5:32 am
TBS yatoa wito kwa wazalishaji na waingizaji wa mabati nchini kuzingatia viwango
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji na waingizaji wa mabati nchini kuhakikisha wanazingatia viwango ili kuzalisha mabati bora. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja wa Ukaguzi na Usimamizi wa Sheria TBS, Bw.Moses Mbambe amesema…
5 October 2022, 5:02 am
TBS Yafanya Mafunzo Kuhusu Kanuni Ya Ushirikiano Kati Ya TBS Na Halmashauri
SHIRIKA la Viwango Tanzania limefanya mafunzo ya Utekelezaji wa kanuni za Ushirikiano katika Utekelezaji wa Mamlaka na Majukumu baina ya TBS na Tamisemi yaliyotolewa kwa Maafisa Afya na Maafisa Biashara wa mkoa wa Dar es salaam. Akizungumza wakati akifungua Mafunzo…
15 September 2022, 10:06 pm
Machinga Walia na Changamoto za Mikopo ya Halmashauri
KATAVI Wajasiliamali wadogo wadogo maarufu kama machinga Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamezungumzia changamoto wanazokutana nazo katika utoaji wa mikopo katika vikundi. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na Mpanda Radio Fm, na kubainisha sababu zinazopelekea baadhi ya vikundi kutopata mikopo baada…
7 September 2022, 7:12 am
EWURA Yatangaza Kushuka Kwa Bei Ya Mafuta Hapa Nchini
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo bei hizo zimeanza kutumika kuanzia leo Septemba 7, 2022. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…
7 September 2022, 6:23 am
Bodi ya Utalii Kusini Yawahimiza Wadau Wa Utalii Kushiriki Onesho La S!TE
Wadau wa Utalii hapa Nchini wametakiwa kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya Utalii yanayojulikana kwa jina la Swahili international Tourism Expo (S!TE) huko Jijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Mkoani Iringa, Afisa kutoka Bodi ya…
1 September 2022, 11:01 am
Mrajisi: Wafanyabiashara kateni rufaa kupitia baraza la ushindani halali wa bias…
Wafanya biashara wilaya ya mkoani wametakiwa kutumia fursa za kukata rufaa kupitia Baraza la ushindani halali wa biashara Zanzibar ili kupata haki zao kisheria endapo hawakutendewa haki na watoa huduma mbalimbali Zanzibar . Hayo yameelezwa na mrajisi wa baraza hilo…
25 May 2022, 10:24 am
Wafanyabiashara 1800 Rungwe wanufaika na mafunzo.
RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wafanyabiashara elfu moja na mia nane kutoka kata takribani kumi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wamepatiwa mafunzo ya urasimishaji biashara na Mpango wa kurasimisha rasirimali na biashara Tanzania ( MKURABITA). Akizungumza na vyombo vya habari katika kufunga…