Ajali
08/08/2023, 12:39
Moto wateketeza hotel Pongwe
Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa kuandaa utaratibu…
6 Agosti 2023, 22:05
Ghala la pamba la 4C lateketea kwa moto Bunda
Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…
2 Agosti 2023, 21:55
Bunda: Miili yote 13 yapatikana ajali ya mitumbwi Ziwa Victoria
28 walipata ajali 30 July 2023, wakanusurika 14 siku ya tukio , mtoto wa mwaka mmoja akapatikana akiwa amefariki na katika zoezi la utafutaji tarehe 1 August 2023 hadi kufikia saa 12:00 jioni wawili walikuwa wamepatikana na kufika asubuhi 2…
2 Agosti 2023, 08:23
Breaking News: miili 10 mingine yapatikana ajali ya mitumbwi Bunda
Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji ya miili ya wanaoohofiwa kufa maji kwa ajali ya mitumbwi, hadi sasa miili 12 tayari imepatikana kati ya watu 13 waliotajwa kuzama katika ajali hiyo Baada ya miili miwili kupatikana hada jana jioni,…
1 Agosti 2023, 20:11
Mwili mwingine wapatikana waliozama Ziwa Victoria
Mwili mwingine wa muumini wa kanisa la KTMK umepatikana jioni hii na kufanya jumla ya waliopatikana kufika wawili huku vifo vikifikia vitatu kati ya watu 28 waliokuwa kwenye mitubwi iliyozama. Na Adelinus Banenwa Katika zoezi la utafutaji wa miili ya…
1 Agosti 2023, 17:04
Bunda: Mwili mmoja wapatikana kati ya 13 wanaoohofiwa kufa maji Ziwa Victoria
Mwili mmoja umepatikana leo majira ya saa saba mchana katika zoezi la kuwatafuta watu 13 waliozama Ziwa Victoria kijiji cha Mchigondo kata ya Igundu Wilaya ya Bunda. Na Edward Lucas Mwili mmoja wapatikana kati ya 13 wanaoohofiwa kufa maji ziwa…
31 Julai 2023, 22:44
Utafutaji watu 13 waliozama Ziwa Victoria waendelea leo bila mafanikio
Hakuna hata mmoja aliyepatikana hadi kufikia jioni ya leo 31 July 2023 kati ya 13 wanaohofiwa kufa maji eneo la Mchigondo Wilaya ya Bunda baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria jana 30 July 2023 majira ya saa 12:30 jioni…
31 Julai 2023, 20:52
Manusura ajali ya mitumbwi Bunda wasimulia hali ilivyokuwa
Vijana walionusurika kwenye ajali ya mitumbwi eneo la Mchigondo Bunda wasimulia hali ilivyokuwa baada ya mitumbwi kuzama na wao walivyonusurika huku wakiokoa watoto watatu. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Joseph Kundi mkazi wa Bulomba alikuwa ni miongoni mwa wasafiri…
31 Julai 2023, 16:39
Bunda: Watu 13 wahofiwa kufariki dunia Ziwa Victoria
Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakinusurika baada ya mitumbwi miwili kuzama Ziwa Victoria wakiwa wanatoka kanisani eneo la Mchigondo kata ya Igundu halmashauri ya wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa na Edward Lucas Watu 13 wanahofiwa kupoteza…
29 Julai 2023, 22:20
Maduka matatu yateketea kwa moto Bukombe
Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…