Ajali
13 Julai 2023, 12:27 um
Moto wateketeza vitu vyote vya ndani Geita
Majanga ya moto mkoani Geita yameendelea kujitokeza huku wananchi wakitakiwa kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto kwa ajili ya uokozi kwa namba ya bure ya 114. Na Kale Chongela Moto ambao haujajulikana chanzo chake umezuka na kuteketeza vitu vya…
12 Julai 2023, 11:32 mu
Moto uliyozuka eneo la uwekezaji wadhibitiwa
Wananchi Mkoani Geita wametakiwa kutoa taarifa haraka pindi wanapohitaji msaada wa maokozi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita limefanikiwa kuudhibiti moto uliyozuka karibu…
5 Julai 2023, 5:40 um
Mmoja afariki 46 wajeruhiwa ajali ya gari Bunda
Mtu mmoja Anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 amepozea maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo la Balili kona Bunda mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa…
Julai 5, 2023, 7:16 mu
Mbarali wamlilia Mtega
Wananchi wa mbarali, Spika wa Bunge na Mbunge Jimbo la Makete wakiwa Ibadani kumuaga Marehemu Francis
12 Mei 2023, 12:19 um
Wanafunzi wawili wafariki Dunia na wengine 31 kujeruhiwa katika ajali ya gari
ASP Ramadhani amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi kasi uliosababisha gari kumshinda dereva kuacha njia na kupinduka ambapo hadi sasa dereva huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo. Na Bernad Magawa Wanafunzi wawili wa shule ya sekondari…
21 Aprili 2023, 8:48 um
Bibi wa miaka 62 anusurika kifo bada ya kuangukiwa na nyumba
Bi Hamida Kitage mwenye umri wa miaka 62 amesema ilikuwa majira ya saa tisa alasiri akiwa ndani ya nyumba hiyo ya tofali za kuchoma alisikia kitu kimedondoka kutoka juu na kumpiga kichwani na kudondoka Na Elias Maganga Mkazi wa mtaa…
19 Aprili 2023, 1:18 um
Mwanahabari Rashid Msigwa Afariki Dunia katika ajali Eneo la ipogolo
Na Mwandishi wetu Mwanahabari Rashid Msigwa Mkazi wa Igumbilo Manispaa ya Iringa amefariki katika ajali iliyotokea eneo la Ipogolo usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi amesema kuwa Msigwa…
18 Aprili 2023, 9:35 um
Mmoja Afariki kwa Kuangukiwa na Ukuta Shanwe
MPANDA Mtu Mmoja aliyefahamika kwa jina la Elizabeti Fabiano mwenye umri wa mika 29 mkazi wa Mtaa wa shanwe Manispaa ya Mpanda mkoa wa katavi amefariki Dunia Kwa kuangukiwa na nyumba Akizungumzia tukio Hilo mama mzazi wa marehemu Khadija Eneliko…
14 Aprili 2023, 10:15 mu
Mvua Yaezua Nyumba Mbili Mtaa waMtemi Beda
MPANDA. Nyumba mbili zimeezuliwa katika mtaa wa mtemi beda kata ya misunkumilo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo na kusababisha watu kukosa makazi . Wakizungumza na mpanda redio fm wahanga wa tukio hilo wamesema…
9 Machi 2023, 1:15 um
Miili ya watu 9 waliofariki katika ajali yazikwa Katavi
KATAVI Miili ya watu 9 waliofariki katika ajali ya basi ya kampuni ya Kombas iliyotokea march 6 katika mlima Nkondwe halmashauri ya wilaya Tanganyika mkoani Katavi imeagwa katika hospital ya manispaa ya Mpanda . Akizungumza wakati wa zoezi la kuaga…