Radio Tadio

Afya

3 August 2023, 4:28 pm

Wahandisi Geita mji watakiwa kusimamia miradi

Katika kukabiliana na changamoto ya huduma za afya katika Kata ya Nyankumbu, serikali kupitia Halmashauri ya mji wa Geita imefanya upanuzi kwa kuongeza majengo nakununua Gari la kubebea wagonjwa. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa…

July 25, 2023, 1:59 pm

John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali

Mwanaume  huyu anayejulikana kwa jina la  John Gabriel  Mandale mkazi wa kata  ya Shunu  wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia  matatizo makubwa baada ya  kupata ajali  na kupasuka  kichwa   alipokuwa akitekeleza  majukumu yake ya kikazi huko  mkoani Geita Mgodini  hali…

24 July 2023, 2:04 pm

Mwarobaini vifo vya wajawazito Bahi wapatikana

Hatua hii ni muhimu ambapo takwimu zinazokusanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini zinaonesha vifo vitokanavyo na uzazi vimeendelea kupungua kutoka vifo 1,640 mwaka 2020 hadi vifo 1,580 mwaka 2021. Na Seleman Kodima. Vifo vya akina mama wajawazito…

24 July 2023, 1:19 pm

Mwitikio kuchangia damu Geita mjini ni mdogo

Uhitaji wa damu salama katika Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita ni Mkubwa kuliko inayopatikana kutoka kwa watu wanaochangia. Na Kale Chongela: Mwitikio wa wananchi kuchangia damu salama  bado ni Mdogo ukilinganisha na uhitaji katika Hospitali ya…

17 July 2023, 10:09 am

Nimonia kwa Watoto Inaepukika

MPANDA Mganga Mkuu wa Manispaa ya Mpanda Paul Swakala amewashauri wazazi na walezi kuwakinga Watoto na baridi kwa lengo la kuwaepusha na magonjwa yatokanayo na baridi ikiwemo NIMONIA . Ushauri huo ameutoa wakati akiongea na Mpanda Radio fm ofisini kwake…