Afya
7 Agosti 2023, 11:28 mu
Wanawake Mleteni wakumbushia ahadi ujenzi kituo cha afya
Baada ya Rais Hussein Mwinyi kutoa ahadi ya kituo cha afya Mleteni wilayani Wete wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2020 wananchi wameikumbusha serikali ujenzi wa kituo hicho. Na Mwiaba Kombo Wanawake wa kijiji cha Mleteni shehia ya Kisiwani…
5 Agosti 2023, 7:54 um
Wanawake kujifungulia barabarani ndio basi tena Mbogwe
Changamoto ya wanawake kujifungulia majumbani na barabarani huenda ikamalizika katika kata ya Ilolangulu wilayani Mbogwe baada ya serikali kujenga wodi. Na Mrisho Sadick: Wanawake wa kata za Ilolangulu , Isebya na Ikobe wilayani Mbogwe mkoani Geita wameondokana na adha ya…
Agosti 4, 2023, 3:39 um
Afariki, mwingine hoi kwa dawa za nguvu za kiume Kahama
Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Hosam Elias mkazi wa Bukondamoyo kata ya Mhungula Mjini Kahama amefariki dunia huku mwenzake (jina limehifadhiwa) akinusurika kufa baada ya kunywa dawa zilizodaiwa kuongeza nguvu za kiume kwa mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la…
3 Agosti 2023, 4:28 um
Wahandisi Geita mji watakiwa kusimamia miradi
Katika kukabiliana na changamoto ya huduma za afya katika Kata ya Nyankumbu, serikali kupitia Halmashauri ya mji wa Geita imefanya upanuzi kwa kuongeza majengo nakununua Gari la kubebea wagonjwa. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa…
31 Julai 2023, 4:51 um
Mtetezi wa Mama yaipongeza serikali kujenga hospitali ya hadhi ya wilaya Katoro
Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika huduma za afya kwa kujenga hospitali katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ikiwemo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa…
31 Julai 2023, 4:24 um
Wananchi Membe waiomba serikali kuwaboreshea huduma za afya
Sera ya afya ya mwaka 2007 inataka huduma za afya kwa wazee, wajawazito na watoto chini ya umri miaka mitano kupata huduma bure bila malipo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha mlimwa kata ya Membe wameiomba serikali kuboresha huduma…
Julai 25, 2023, 1:59 um
John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali
Mwanaume huyu anayejulikana kwa jina la John Gabriel Mandale mkazi wa kata ya Shunu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia matatizo makubwa baada ya kupata ajali na kupasuka kichwa alipokuwa akitekeleza majukumu yake ya kikazi huko mkoani Geita Mgodini hali…
Julai 25, 2023, 8:19 mu
Wizara ya Afya, TAMISEMI zapongeza huduma ya afya Makete
Hospitali ya Wilaya Makete yapongezwa kwa Huduma
24 Julai 2023, 2:04 um
Mwarobaini vifo vya wajawazito Bahi wapatikana
Hatua hii ni muhimu ambapo takwimu zinazokusanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini zinaonesha vifo vitokanavyo na uzazi vimeendelea kupungua kutoka vifo 1,640 mwaka 2020 hadi vifo 1,580 mwaka 2021. Na Seleman Kodima. Vifo vya akina mama wajawazito…
24 Julai 2023, 1:19 um
Mwitikio kuchangia damu Geita mjini ni mdogo
Uhitaji wa damu salama katika Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita ni Mkubwa kuliko inayopatikana kutoka kwa watu wanaochangia. Na Kale Chongela: Mwitikio wa wananchi kuchangia damu salama bado ni Mdogo ukilinganisha na uhitaji katika Hospitali ya…