Afya
10 Septemba 2023, 8:53 um
Wazee watakiwa kuchangamkia bima ya afya
Na. Jovinus Ezekiel Missenyi Wazee katika kata ya Bugandika wilayani Missenyi mkoani Kagera wametakiwa kujiunga na bima ya afya ya CHF iliyoboreshwa kwa lengo la kuwawezesha kunufaika na huduma za matibabu. Akiongea na wazee wa kikundi cha wazee Bikolw’engonzi kilichopo katika…
9 Septemba 2023, 1:37 um
Idara ya Tiba Pemba: Endeleeni kutumia vyandarua kumaliza ugonjwa wa malaria
Ugonjwa wa malaria bado upo visiwani Zanziabr hivyo jamii inatakiwa kutumia vyandarua vinavyotolewa na serikali kupitia Wizara ya Afya kitengo cha malaria kwa kushirikiana na wahisani mbalimbali wa maendeleo kwa ajili ya kujifunika na sio kuvifunga kwenye bustani za bogaboga …
08/09/2023, 13:43
Vijana waaswa kuacha matumizi ya madawa ya kulevya ili kuepuka utegemezi kwa fam…
Utegemezi kwa familia imetajwa kuwa moja ya sababu inayosababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya kwa vijana. Na Daniel Magwina- Geita Kufuatia wimbi la vijana kuingia katika matumizi ya madawa ya kulevya baadhi ya wananchi mkoani Geita mapema leo hii,…
8 Septemba 2023, 13:34
Zaidi ya watoto 884,500 kupatiwa chanjo ya polio Kigoma
Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8 wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…
8 Septemba 2023, 9:01 mu
Kilio kwa wananchi wa Mjini Kiuyu kutotumika jengo lao la kituo cha Afya
Wananchi wa Mjini Kuyu Wilaya ya Wete wakililia miaka 12 tangu kujengwa kituo cha Afya katika kijiji chao kwa lengo la kusaidia kwa mama wajawazito kupata huduma kwa wakati ila bado seriakali hawajakitumia kituo hicho kama wanavyohitaji wananchi hao. Na…
06/09/2023, 13:47
Wajawazito wahimizwa kutumia dawa kinga
Kwa mujibu wa wataalam wa afya, wanasisitiza suala la akina mama kupata dawa kinga kwani zimekuwa na umuhimu kwa afya ya mama na mtoto. Na Naima Chokela. Imeelezwa kuwa upo umuhimu kwa mama mjamzito kupatiwa dawa kinga katika kipindi cha…
06/09/2023, 12:09
Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda
Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…
05/09/2023, 15:10
Jamii yatakiwa kufuata kanuni na taratibu ili kuepuka usugu wa dawa
Matumizi holela ya dawa husababisha ugumu wa kutibu magojwa kutokana na mwili kuwa na usugu wa dawa. Na David kavindi. Jamii imeaswa kufuata kanuni na taaratibu za matumizi sahihi ya dawa ili kupeuka changamoto ya usugu wa dawa hizo mwilini. …
05/09/2023, 13:57
Wanaume wahimizwa kuhudhuria kliniki na wake zao
Miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha mwitikio mdogo kwa wanaume kuwasindikiza wenza wao kliniki ni pamoja na kukabiliwa na majukumu ya kila siku jambo ambalo linaweza kutatulika iwapo kila mmoja atatambua umuhimu wa kuhudhuria kliniki na mwenza wake. Na Richard Ezekiel.…
04/09/2023, 12:32
Wananchi watakiwa kutatua changamoto zinazo sababisha msongo wa mawazo
Takwimu kutoka shirika la afya Duniani WHO zinaonyesha kuwa kila mwaka watu 800,000 hupoteza maisha kwa kujiua kutokana na msongo wa mawazo huku kila baada ya sekunde 40. Na Naima Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kushirikishana katika kutatua changamoto mbalimbali…