Afya
12 Januari 2024, 10:21 mu
RC Nawanda toeni maji bure kwenye maeneo yaliyoathirika na magojwa ya mlipuko
Huduma za Maji Safi na Salama zinazotolewa na Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira mjini Maswa(MAUWASA) na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA) zitolewe bure kwa wananchi katika maeneo yaliyoathirika na mlipuko. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa…
11 Januari 2024, 7:58 um
Nini hupelekea mwanamke kujifungua watoto pacha.
Daktari Halima pamoja na wataalamu wengine wa afya wanawashauri akina mama kuwa na utaratibu wa kuhudhuria kliniki ili kuweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo suala hili. Na Thadei Tesha.Kufuatia hivi karibuni Mwanamke mmoja kujifungua watoto mapacha wanne katika hospitali ya Mkoa…
11 Januari 2024, 1:10 um
Bunda wapewa tahadhari ugonjwa wa Kipindupindu
Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu baada ya kuripotiwa mikoa jirani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa…
10 Januari 2024, 19:28
Mpango wa msindikizaji unavyopunguza vifo vya mama na mtoto
Wananchi wa halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma, wamesifu huduma ya msindikizaji mama mjamzito katika vituo vya afya kuwa imesaidia kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto vinavyotokea wakati wa kujifungua. Wakizungumza katika kituo cha afya Kiganamo kilichoko halmashauri ya…
10 Januari 2024, 6:25 um
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhali ya kipindupindu
Changamoto ya kipindupindu imetajwa kuenea kwa kasi zaidi hasa kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikianzia katika wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu, ambapo mpaka sasa katika mkoa wa Mwanza wamebainika wagonjwa wa kipindupindu 27 kwenye maeneo ya wilaya ya…
9 Januari 2024, 18:30
Zahanati ya Rufumbi wilayani Rungwe mbioni kukamilika
Na mwandishi wetu Hatua ya ukamilishaji katika zahanati ya Lufumbi kata ya Masoko inatoa fursa kwa wakazi wa kijiji hiki kupata huduma ya matibabu karibu na makazi yao. Zahanati hii imejengwa kwa nguvu za wananchi huku Halmashauri ikitoa kiasi cha…
9 Januari 2024, 1:17 um
RC Nawanda apiga marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni Simiyu
Marufuku uuzaji wa vyakula mashuleni pamoja na kula vyakula maeneo yenye mikusanyiko ya watu ili kujikinga na kuenea kwa mlipuko wa magonjwa ya Kuhara na Kutapika. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda amepiga marufuku uuzaji wa vyakula…
9 Januari 2024, 8:43 mu
Mwanamke akutwa amefariki kitandani kwake
Matukio ya watu kukutwa wamefariki Dunia yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo baadhi yao wanadai yanasababishwa na msongo wa mawazo pamoja na ugumu wa maisha kwa watu jambo lililopelekea mwenyekiti wa mtaa wa Migombani wilayani hapo kuwataka wananchi kuwa na…
8 Januari 2024, 9:18 um
Jamii yaendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora
Wazazi wanashauriwa juu ya mambo ya kuzingatia katika kuandaa mchanganyiko wa lishe bora unaofaa kwa mtoto. Na Thadei Tesha.Jamii imeendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora na kuacha kuwapa chakula kimazoea kwa lengo la kumsaidia mtoto kuwa na afya njema. Leo…
8 Januari 2024, 16:14
Mbeya: Samia mgeni rasmi maadhimisho ya maridhiano kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dr Samia suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya maridhiano kitaifa yanayotarajia kufanyika mkoa wa Mbeya mwezi machi mwaka huu. Na Masoud Maulid Kuelekea maadhimisho ya siku ya maridhiano kitaifa march…