Uvinza FM

Recent posts

28 May 2021, 7:15 pm

Serikali kutenga fedha kwa ajili ya kutengeneza barabara

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema itaendelea kutenga fedha katikaWizara ya ujenzi  ili kuzifanyia matengenezo barabara korofi  kwa kadri upatikanaji wa fedha utakavyokuwa unaendelea  kuimarika Hayo yamejili leo bungeni jijini Dodoma wakati naibu waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa…

27 May 2021, 5:32 pm

Serikali yaahidi kuwalinda raia na mali zao

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema inaendelea kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika na kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kwa amani na utulivu Hayo yamejiri leo bungeni  jijini Dodoma wakati  waziri mkuu  Kassim Majaliwa…

27 May 2021, 4:55 pm

Wananchi waiomba Serikali kudhibiti maeneo hatarishi

Na,Glory Paschal Wananchi Mkoani Kigoma wameitaka Serikali kudhibiti maeneo hatarishi ya mito na mabwawa machafu yanayochochea ongezeko la magonjwa ya kichocho na minyoo hasa kwa watoto Wamesema maeneo mengi yamejaa maji Machafu hivyo ni muhimu elimu ikatolewa kwa kuwashirikisha wananchi…

26 May 2021, 7:28 pm

Serikali kuboresha mifumo ya upatikanaji wa pembejeo

Na,Rosemary Bundala Serikali imesema  imenza kuboresha mifumo ya upatikanaji wa pembejeo kwa maana ya mbolea mbegu na viwatilifu ,kuratibu mahitaji ya pembejeo kutoka katika mikoa na kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya makampuni kupeleka na kuuza Hayo yamejiri leo bungeni…

20 May 2021, 7:27 pm

Ukosefu wa maji wawaliza wananchi

Na,Editha Edward Wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali iwatengenezee magati ya maji waliyoyaweka ili maji yaweze kutoka na kuondokana  na adha wanayopata  ya kutembea umbali mrefu kufuata maji Wakizungumza na redio uvinza fm wananchi  wa…

18 May 2021, 8:12 pm

Magoti yatumika kama Madawati Shuleni

Na,Timotheo Leonardi Wanafunzi  katika shule ya Msingi shikizi kutoka shule mama ya Muungano iliyopo kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma hawana madawati haliinayopelekea kukaa kwenye benchi  nahatimaye kupata ugumu wakati wakiandika masomo yao Hayo wameyasema wakati Radio Uvinza fm…

18 May 2021, 7:33 pm

Wafanyabiashara walia na ulinzi

Na,Mwanaid Suleiman Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Uvinza Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wamesema wanashindwa kuongeza bidhaa katika maduka yao kutokana na kuhofia usalama uliopo katika eneo hilo Hayo yamebainishwa na JUMA RASHID pamoja na TAMIM JACKSON wakati Redio Uvinza…

17 May 2021, 5:30 pm

Wananchi walia na zahanati

Na,Timotheo Leonardi Wananchi wa Kitongoji cha Kazaroho Kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wameiomba serikali kuwajengea Zahanati katika kitongoji hicho, ilikuondoa usumbufu ambao wamekuwa wakikutananao kinamama wajawazito, kwa kutembea umbali mrefu hali ambayo hupelekea wakati mwingine kujifungulia njiani Wakizungumza…

13 May 2021, 5:28 pm

NBC yazindua klabu ya Wafanyabiashara

Benki ya NBC imezindua klabu ya wafanyabiashara wa benki hiyo mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya mipango ya benki hiyo kusogeza huduma kwa wateja wake sambamba na kujenga mtandao ambao utawasaidia  wafanyabiashara  ,na wateja wa benki hiyo kufanya biashara zao…

12 May 2021, 4:40 pm

KUWASA wakanusha kuwabambikizia bili za maji wateja

Na,Glory Paschal Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA wamekanusha taarifa  iliyotolewa na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na Maji Ewura kuwa wamekuwa wakiwabambikiza bili za maji wateja Akizungumza  na Waandishi wa…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm