Uvinza FM
Uvinza FM
27 June 2025, 4:53 pm
Afisa Afya na Mazingira Hussein Kateranya akiwa katika studio za uvinzafm redio akitoa elimu juu ya kufanya usafi wa mazingira.Picha na Ezra Meshack. “Utaratibu wa kufanya usafi ni jukumu la kila mtu katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama ili…
26 June 2025, 4:02 pm
Diwani wa kata ya Uvinza katika Halmashauri ya wilaya ya uvinza Bi. Aloca Mashaka ametoa ripoti ya utekelezaji wa miradi mbalimbali aliyoifanya katika kata yake mara baada ya miaka mitano ya uongozi wake. Na Theresia Damasi Diwani wa kata ya…
14 June 2025, 12:41 pm
Na. Theresia Damas & Abdunuru Shafii Makala hii inaangazia umuhimu wa kulima bustani ya mbogamboga nyumbani katika eneo dogo. Je unafahamu umuhimu wa bustani ya mbogamboga nyumbani ama laah? sikiliza makala hii inayo somwa na Linda Dismas
14 June 2025, 10:24 am
Kanisa linahitaji wanaume wa kutosha na wenye moyo thabiti wa kulitunza kanisa la Mungu. Na Emmanuel Kamangu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo katoliki la kigoma wametakiwa kuwa kielelezo cha kanisa ikiwemo kusimama imara katika kulifanya kanisa kuwa…
31 May 2025, 9:48 pm
Mara nyingi huduma hizi ninapatikana katika hospitali kubwa za kanda lakini leo tumefanikiwa kufanya upasuaji huu mkubwa hapa, ni upasuaji wa kwanza hapa Maweni. Na Abdunuru Shafii Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni Kigoma imetoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa…
17 May 2025, 12:36 am
Wananchi watumieni maafisa maendeleo jamii dawati la msaada wa kisheria kupata elimu ya kisheria ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima hasa migogoro ya ardhi na mirathi. Na Linda Dismas Ikiwa leo ni siku ya pili ya muendelezo wa elimu juu…
15 May 2025, 8:31 pm
Vikundi vya wajasiriamali wa halamashauri ya wilaya ya Uvinza waanza kunufaika na elimu iliyoanza kutolewa hii leo mei 15 juu ya mkopo wa asilimia kumi wa mama Samia. Na Linda Dismas Vikundi vya ujasiriamali katika wilaya ya Uvinza leo Mei…
12 May 2025, 2:36 pm
Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…
5 May 2025, 11:41 pm
Madhara mengi yanaweza kujitokeza endapo mama mjamzito atafika kwa kuchelewa hospitalini siku ya kujifungua. Na Theresia Damasi. Ikiwa ni siku ya Mkunga Duniani Kituo cha Afya uvinza wilayani uvinza kimewataka akina mama wajawazito kuhudhuria clinik mapema pale tu wanapogundua ni…
29 March 2025, 7:09 pm
Kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu wake kwa kuchukua tahadhari kwa kila hatua ili kujikinga na kuwakinga wengine. Na Abdunuru Shafii Kamati ya afya ya msingi ya wilaya ya Uvinza imefanya kikao katika ukumbi wa halmashauri kwa lengo la kutoa elimu…
Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.
Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.
This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.
96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.
VISION:
Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.
MISSION:
To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.
Radio uvinza fm