Uvinza FM

Recent posts

23 October 2025, 10:00 am

Mawakala wa vyama vya siasa wala kiapo Uvinza

“Sisi kama wasimamizi tunatamani Uchaguzi ufanyike kwa amani kwa kufata sheria na taratibu zote za uchaguzi kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi na kila mmoja afanye yale yanayomuhusu kwa kuzingatia amani na utulivu.” Na Theresia Damas Katika mwendelezo wa…

22 October 2025, 8:47 pm

Wananchi andamaneni kupiga kura sio kuvunja amani Kigoma

“Wananchi acheni kudanganyana kuandamana bila sababu za msingi bali mnatakiwa muandamane kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi sahihi.“ Na Theresia Damasi Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa kigoma Kamishna msaidizi mwandamizi Emmanuel Filemon Makungu amewataka wananchi wa mkoa wa…

20 October 2025, 6:54 pm

Hakikisheni mnafahamu vituo vya kupigia kura

wananchi  mfike kwenye vituo vya kupiga kura ili kutambua mapema kama majina yenu yapo kwenye orodha Na Emmanuel kamangu Wananchi wilayani kasulu wamearifiwa kuhakikisha wanafahamu  kwa wakati  vituo watakavyopigia kura  kabla ya siku yenyewe ya octoba 29  ambayo ni siku…

7 October 2025, 4:14 pm

Nipeni kura bima kwa wazee uhakika Uvinza

“Wazee wa Uvinza wengi hawana bima za msamaha hivyo kupata changamoto ya matibabu wanapopata maradhi nipe ridhaa ya kuwa diwani” Na Dunia Stephano Mgombea udiwani kata ya Uvinza kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Nillis  Ntabaye amesema endapo atapewa…

2 October 2025, 7:11 pm

Wazee ni tunu tuwajali na kuwatunza

Wananchi wametakiwa kushilikiana na serikali katika kuibua changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa wazee. Na Dunia Stephano Kaimu mtendaji ambaye pia ni Afisa maendeleo wa kata ya nguruka wilaya ya Uvinza Sarafina jonijo mapasi amewataka wananchi kushilikiana na serikali…

2 October 2025, 3:55 pm

Wananchi watakiwa kuiamini tume huru ya uchaguzi Uvinza

Hili ni zoezi la utoaji wa fomu za mfano za kuweka tiki kwa mgombea atakaye chaguliwa, ili iwe rahisi kutumika katika mikutano ya ugombea udiwani wakati wa kunadi sera zao. Na Dunia Stephano Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mtendaji…

1 October 2025, 11:40 am

Mahwa: Jimbo la Kigoma Kusini sio shamba la bibi

“Nitahakikisha  naishauri serikali kurekebisha sheria na sera rafiki za uwekezaji ili vijana wanaosoma wapate ajira rasmi.” Eliya Mahwa Na. Theresia Damasi Mgombea wa ubunge jimbo la Kigoma Kusini  kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA BW. Eliya Mahwa…

29 September 2025, 11:42 pm

Kisobwe: Nipeni udiwani changamoto za Uvinza naziweza

“Nina uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali ambazo zinawakabili wananchi wa kata ya uvinza nipeni ridhaa ya kuwa diwani wenu tukafanye kazi kwa maslahi ya Wanauvinza” Na Theresia Damasi Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi…

27 September 2025, 10:15 pm

‎Himidi Kisobwe Aanadi sera kwa wananchi kata ya Uvinza

Nitashirikiana nanyi katika kuleta maendeleo yeti hapa Uvinza, kukamilisha barabara ya Karuele Hadi Shekeshe na kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa ardhi. ‎Na. Abdunuru Shafii Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi Kisobwe, amefanya mkutano wa…

22 September 2025, 2:01 pm

Mwenge wa Uhuru 2025 Kugusa Miradi ya Bilioni 2.4 Uvinza

‎Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm