Uvinza FM

Recent posts

27 September 2025, 10:15 pm

‎Himidi Kisobwe Aanadi sera kwa wananchi kata ya Uvinza

Nitashirikiana nanyi katika kuleta maendeleo yeti hapa Uvinza, kukamilisha barabara ya Karuele Hadi Shekeshe na kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa ardhi. ‎Na. Abdunuru Shafii Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi Kisobwe, amefanya mkutano wa…

22 September 2025, 2:01 pm

Mwenge wa Uhuru 2025 Kugusa Miradi ya Bilioni 2.4 Uvinza

‎Mwenge wa Uhuru utakimbizwa ndani ya wilaya kwa umbali wa kilomita 131 Na Abdunuru Shafii Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.4 inayojumuisha sekta za elimu, afya, Maji na nishati inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine…

22 August 2025, 6:51 pm

Wananchi watakiwa kuripoti wanaotoa na kupokea rushwa Uvinza

Wananchi watoe ushirikiano watakaobaini vitendo vya rushwa vikifanyika kwa wagombea na wananchi kuelekea uchaguzi 29 Octoba 2025. Na Theresia Damasi Wananchi wa wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma wametakiwa kuripoti taarifa za wale wote wanaojihusisha na utoaji na upokeaji wa…

20 August 2025, 11:11 pm

Rasmi Ntabaye achukua fomu ya kugombea udiwani Uvinza

Mgombea katika nafasi ya udiwani kata ya uvinza kupitia chama cha mapinduzi CCM amewaahidi wananchi kuwa mtiifu na kuwaletea maendeleo endapo akifanikiwa kuchaguliwa. Na Theresia Damasi Wananchi wa kata ya uvinza wilaya ya uvinza  mkoa wa kigoma wametakiwa kujitokeza kupiga…

17 August 2025, 7:34 pm

Tanzania,Burundi zaweka jiwe la msingi SGR Msongati

Waziri mkuu Majliwa amesema mradi huo ni muhimu katika kuimarisha mahusiano mazuri kati ya Tanzania na Burundi. Na Theresia Damasi Tanzania na Burundi zimeandika historia mpya katika uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi, baada ya kuwekwa rasmi jiwe la msingi la…

15 August 2025, 6:57 pm

Waziri Mavunde azindua chumvi lishe ya mifugo Nyanza Uvinza

Waziri wa madini Athony Mavunde pamoja na watumishi wengine wa serikali wakikagua chumvi inayodhalishwa katika kiwanda cha nyanza salt uvinza Waziri mavunde amesema Kiwanda cha Nyanza kina msaada mkubwa katika kuchangia pato la taifa na kuzindua chumvi lishe ya wanyama…

11 August 2025, 8:33 pm

Mikopo ya 10% ilivyowainua kiuchumi wanawake Uvinza

Kikundi cha akina mama wajasiriamali kajeje kata ya ilagala wameeleza mafanikio ya miradi mitatu 3 ikiwemo kulima pamba, kununua nyumba na kulima mbogamboga ambayo imeondoa adhaa ya umasikini  katika familia zao mara baada ya kupata mkopo wa milion kumi {10}. Na…

8 August 2025, 9:23 pm

Rushwa Uvinza bado kizungumkuti kuelekea uchaguzi 2025

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa wilaya ya Uvinza imewataka wananchi kujiepusha na vitendo  vya rushwa vinavyorudisha nyuma maendeleo ya taifa hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika octoba 2025. Na Theresia Damasi Taasisi ya…

1 August 2025, 1:46 pm

Uvinza wahimizwa kuacha ukatili wa ulawiti, ubakaji

Jamii wilayani Uvinza imetakiwa kuacha matukio ya kikatili hasa ulawiti na ubakaji kwa watoto na wanawake ili jamii iwe salama huku wakitakiwa kujikita katika maendeleo. Na Theresia Damasi Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na Watoto wakishirikiana na Idara…

9 July 2025, 1:50 pm

Uvinza Malaria sasa basi

Zaidi ya vyandarua elfu 16 vitagawiwa kwa wananchi wa Kata ya Uvinza kama sehemu ya juhudi za kuendelea kutokomeza ugonjwa hatari wa malaria katika Wilaya ya Uvinza. Na Abdunuru Shafii Wananchi wa kata ya uvinza wilaya ya uvinza wamepokea vyandarua…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm