Radio Tadio

Ziara

8 January 2024, 14:11

NDC Mbeya yapokea wanafunzi toka nchi nne

Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera leo Januari 08, 2024 amekutana na wanafunzi kutoka Chuo Cha Taifa Cha Ulinzi NDC waliofika mkoani Mbeya kwa lengo la kuendeleza mafunzo yao kwa njia ya vitendo. Ziara…

23 November 2023, 18:27

Mbeya kukaguliwa miradi ya maendeleo

Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh.Juma Zuberi Homera anatarajia kuanza ziara katika halmashauri za Jiji la Mbeya na Mbeya Dc lengo likiwa ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali. Akitoa taarifa ya ziara hiyo kwa vyombo…

10 November 2023, 4:07 pm

Makonda azulu kaburi la JPM Chato

Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Makonda amezulu kaburi la Maguli leo hii. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa, leo November 10, 2023…

10 November 2023, 3:59 pm

Makonda atua Chato, asema Rais Samia hana ubaguzi

Akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda , leo November 10, 2023 amefika wilayani Chato na kuzungumza na wananchi. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na…

2 October 2023, 10:11 pm

Katibu mkuu CCM taifa Daniel Chongolo awasili Katavi

KATAVIKatibu mkuu wa chama cha mapinduzi CCM taifa Daniel Chongolo Amewasili Mkoani Katavi kuanza Ziara ya Siku 6 kwa ajili ya kukagua miradi na kuzungumza na wananchi. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na chama cha Mapinduzi mkoani Katavi mara baada…

9 September 2023, 17:01 pm

Rais Samia kufanya ziara ya siku 4 Mtwara

Hii ni Mara ya kwanza kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani kufanya ziara mkoani Mtwara akiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambapo kwa mara ya mwisho alifanya mwaka 2016 akiwa Makamu wa Rais. Na Musa Mtepa Rais wa…

21 July 2023, 3:10 pm

Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini

Ziara hiyo ambayo ilianzia shule ya sekondari Chilonwa kwaajili ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa na Mabweni ilihitimishwa shule ya Msingi mizengo pinda ambapo benki ya NMB ilikuwa ikikabidhi vifaa mbalibali vya ujifunzaji shuleni hapo iliwemo viti na vifaaa…