Radio Tadio

Polisi

30 January 2024, 12:46 pm

Polisi: Hakuna malipo kupata dhamana

Kutokana na uwepo wa malalamiko kutoka kwa wananchi kuwa huwezi kupata mdhamana kutoka polisi bila kutoa rushwa jeshi la polisi limekanusha taarifa hizo. Na Mrisho Shabani: Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Geita kamishna msaidizi wa polisi ACP Safia Jongo…

21 December 2023, 4:52 pm

Jeshi la polisi laanza uchunguzi madai ya raia kunyanyaswa na maaskari

SACP Misime amewaomba wananchi wenye ushahidi kulingana na malalamiko yalivyowasilishwa na walalamikaji katika mitandao ya kijamii asisite kujitokeza ili uchunguzi huo ukamilike mapema na hatua zingine za kisheria zifuate. Na Mariam Kasawa.Jeshi la polisi limesema kuwa limeanza kufanyia uchunguzi malalamiko…

30 November 2023, 2:00 pm

Polisi wanawake watakiwa kutafuta fursa kufikia malengo

Jeshi la polisi mkoani Dodoma linashiriki katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani zilizoanza novemba 25 na zinatarajiwa kufikia tamati Disemba 10. Na Arafa Waziri. Maofisa wa Jeshi la Polisi wanawake Mkoani Dodoma wametakiwa kufanya kazi…

20 October 2023, 15:41

Wafanyabiashara Kigoma watakiwa kufuata kanuni na sheria za BoT

Wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kufuata sheria za kubadilisha fedha za kigeni ili kuepuka kuingia kwenye migogoro na kuhujumu uchumi. Na, Lucas Hoha. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma ACP Filemon Makungu amewataka wafanyabiashara wanaofanya biashara ya kubadilishana fedha za…

24 September 2023, 6:07 pm

Kamishna wa Polisi Zanzibar atoa onyo wanaobambikia watu kesi

Ujenzi wa kituo cha Mkoani umekuja kufuatia kuchakaa kwa kituo cha polisi Mkoani ambacho kimerithiwa tokea wakati wa ukoloni na kinatumika hadi sasa. Na. Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi kuacha tabia ya kutumia vituo…

13 September 2023, 14:04

Watu sita mbaroni matukio ya uvunjaji, wizi Kigoma

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma wakituhumiwa kufanya uhalifu na wizi katika maeneo mbalimbali mkoani wa Kigoma. Na, Kadislaus Ezekiel. Jeshi la Polisi mkoani Kigoma, limethibitisha kuwakama watu sita wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi…

13 August 2023, 4:08 pm

Kituo cha polisi Tumbatu kwa mara ya kwanza

Kituo hicho cha polisi Tumbatu chenye hadhi ya daraja “c” kinatarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa kisiwa hicho. Na Said Bakari. Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema kukamilika kwa mradi wa kituo cha Polisi katika Kisiwa cha Tumbatu kutapelekea…

7 August 2023, 11:13 am

Wananchi Micheweni watakiwa kushirikiana na Polisi Jamii

Kamishina Msaidizi wa polisi Dkt Emmanuel amesema bado kuna mwamko mdogo kwa wananchi wa micheweni katika kushirikiana na polisi jamii. Na Omary Hassan. Mkuu wa Polisi jamii Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi Dkt. Egyne Emmanuel awewataka wananchi kuzitumia kamati za…

31 January 2023, 12:02 pm

Askari 12 watunukiwa vyeti Iringa

Askari waliotunukiwa vyeti vya utendaji kazi bora wamehimizwa kuwa wazalendo za kuzingatia haki pindi wanapotekeleza majukumu yao. Na Elizabeth Shirima Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP. Allan L. Bukumbi amewatunuku vyeti vya pongezi Askari Polisi 12 na mtumishi raia…